social media

  1. Ghost MVP

    Namna Wadukuzi wanavyoweza Kudukua Account zako za Social Media

    Usifate maelekezo Kutoka kwa Watoa huduma 'FAKE' Njia kubwa wanayoitumia Kwa sasa ni hii Mdukuzi hukutafuta kama Mtoa Huduma kutoka katika Kitengo cha huduma kama instagram, facebook na mitandao mengine ya kijamii, wakikutaka Uthibitishe Taarifa zako ili 'Account' yako isifungiwe. Watakupatia...
  2. kavulata

    Online Media zinazoongoza Tanzania kwa kuaminika taarifa zake mitandaoni

    Online Media (tv na radio) ni nyingi sana humu mitandaoni. Watu wanapata taarifa mbalimbali kwa haraka kupitia vyombo hivi kuliko Redio na Television za kawaida. Instagram na YouTube ndio mitandao inayotumika kupata habari na taarifa nyingi za vyombo vingi vya habari. Lakini Kuna social media...
  3. BARD AI

    Is social media emerging as the primary platform for holding politicians accountable?

    In an event that brings to light the evolving role of social media in political communication, Kenya’s President William Ruto on Friday, July 5 apologized for police brutality during an online forum with anti-tax protesters on X formerly known as Twitter. The apology came in response to a...
  4. D

    Kila nikifungua mitandao ya kijamii ni habari mbaya tu za Serikali

    Nina miaka 4 sijawahi kuona habari njema ya maendeleo kwa wananchi, kila siku habari mbaya tu. Nipeni link ya habari nzuri ya maendeleo miaka 4 hii hata nifarijike. Na huzuni tu, nipeni 1 good news for the past 4 years nisome nifurahi kuwa nipo na Serikali yangu. Kura yangu inaniuma...
  5. L

    Tabia ya kuchanganya content kwenye social media account za kibiashara, inatukosesha Sana wateja na Kama sio wote Basi wateja serious tunawapoteza

    Habari wadau, nikiwa Kama kijana naepambana katika kizazi hiki Cha teknolojia, Mimi ni mdau mkubwa Sana wa mitandao ya kijamii, na ni miongoni mwa watumiaji wazuri wa mitandao ya kijamii kujipatia kipato. Moja ya vitu nilivyo vi observe na nikaona vinatugharimu Sana hasa kwenye mtandao wa...
  6. Mwl.RCT

    The REAL Cost of Social Media 📱

    The REAL Cost of Social Media 📱 We all love scrolling, right? It's easy, it's fun, and it's always there. But have you ever stopped to think about what we're sacrificing for those fleeting moments of virtual connection? 🤯 The truth is, the constant "likes" and notifications can make us blind to...
  7. Mathanzua

    The Cuban Banking system has reportedly collapsed. Cubans are reporting via Social Media that all their money is gone from their accounts

    The Banking system of Cuba has reportedly collapsed. Cubans are reporting via Social Media all their money is gone from their accounts, and all Automated Teller Machines (ATM's) have been emptied. This news is being heavily suppressed but it is getting out slowly. At banks all over the country...
  8. U

    Youtube na platform social media zingine zina nguvu kubwa kusambaza habari kwa kasi kuliko main stream & print medias kama TV, radio na magazeti..

    Serikali chini ya Chama Cha Mapinduzi - CCM pamoja na kutunga sheria kali ya mitandao na kuweka udhibiti kwa sheria na kanuni ngumu kwa yeyote anayetaka kuanzisha TV au radio au gazeti, lakini kwa upande wa social media imefeli big time.. Social media kama Youtube, TikTok, Twitter X, instagram...
  9. Jamii Opportunities

    Senior producer, social media at BBC

    BBC MEDIA ACTION JOB DESCRIPTION Location: Tanzania Job title: Senior producer, social media Reports to: Head of production Duration: 12 months Special requirements: The right to live and work in Tanzania. Fluent...
  10. N

    Social media BOUNCER

    Habari zenu wanazengo. Moja kwa moja nijikite kwenye hii maada aisee ukisitaajabu ya musa utaona ya farao,na mengine mengi. Hizi social media zote zinawatu waajabu sana,hata huku jamii forums kuna watu waajabu sana. Kuna watu wapo nyuma ya button za simu wanajiona mabouncer hata kwenye mkono...
  11. F

    Kwenye biashara usiogope majina makubwa yaliyokutangulia; Hill water, mabasi ya Tilisho ni somo kubwa la kuingia sokoni ukiwa mpya

    Watu wengi tunaogopa kuanzisha biashara fulani kwa kuogopa kwamba ma giant wameshajaa hivyo hatutapata wateja. Soko la maji ya kunywa lilikuwa limetawaliwa na kilimanjaro, kila sherehe ya harusi utakayoenda maji unakuta Kilimanjaro. Kila hotel kubwa ama bar kubwa maji unakuta kilimanjaro, leo...
  12. Jamii Opportunities

    Graphic Designer and Social Media Officer at Gaini Company Limited (GCL) February, 2024

    Position: Graphic Designer and Social Media Officer Employment Condition: Full Time Job Gaini Company Limited (GCL) is among the leading Building Material and Hardware items sellers in Lake Zone, Dodoma and Dar Es Salaam regions. The company is now expanding to Southern Highlands and Northern...
  13. B

    Kwanini CCM ya Sasa Imekosa Watetezi kwenye Social Media Mithiri ya Cypirian Musiba na akina Zack wa Twitter?

    Katika hali ya kushangaza kumetoka aidha mgomo au chama kimekosa Mvuto kabisa. Wengine wanadai aaah wapi sio kukosa mvuto bali chama hakitoi maokoto kama zamani hivyo watu wanaovutwa na mafumba wamekikacha. Enzi za huko nyuma tulishuhudia social media zilizobamba kwenye anga la Tanzania...
  14. Kijana LOGICS

    Kwanini watanzania wana tabia ya kukomenti kwa maneno ya ovyo kwenye mitandao ya kijamii?

    Watanzania wengi wana kaushamba ka kutoa maoni kwenye mitandao ya kijamii. Sehemu Pekee wanacomment kwa adabu ni post za Vifo vya ajali hususan ajali za barabaran Lakini post nyingine zote wanatoa maneno ya chuki na roho mbaya Wenzetu ulaya wanacomment kwa adabu hâta kwa wale wacheza picha za...
  15. S

    Vipi kama enzi za Mfalme Sulemani kungekuwa na mitandao ya kijamii angekuwa anapata comments 1000 za wake zake

    Ongezea pia comments za watoto, ndugu wa upande wa wake na masulia pamoja na majirani. Jamaa angeupiga mwingi sana. Mtandao X wangempa blue ticks mpaka wakome. Halafu anatokea mtu katika zama hizi anawadanganya watu waoe mke mmoja! Aaah! Mfalme Sulemani wewe! Yaani jamaa angeishi zama hizi...
  16. Relief Mirzska

    Graphic designer & social media expert

    Habarini wadau, Nimewakumbuka sana. Anyways, kuna nafasi ya kazi na anahitajika Graphic designer and social media expert. Vigezo : 1. Awe mwanamke 2. Asiwe na majukumu ya kifamilia 3. Muaminifu na asie muongomuongo 4. Awe tayari kujifunza new skills 5. Ajue kuzungumza kiingereza, akijua lugha...
  17. G-Mdadisi

    TAMWA Zanzibar Calls for a halt of Abuse of Children through Social Media

    Tanzania Media Women’s Association, Zanzibar (TAMWA - ZNZ) urges the community to refrain from recording children and posting on the social media networks after they have been subjected to humiliating acts. By doing so, is to aggravate the problem and is humiliating them even more. Following...
  18. F

    Watoto wa kishua walisumbua sana Dar miaka ya 90s. Via Social media na internet watoto wa uswaz wamepindua meza

    Habari wadau. Nimekumbuka Dar ya miaka ya 90s. Vijana waliokuwa wanatamba mjini ni wale wa kishua. Watoto wa o bey, upanga, mikocheni ndio walikuwa habari ya mjini. Viwanja kama bills, slipway, mikadi beach, coco beach walikuwa wanatamba wao tu. Vijana maarufu ni wale washua wanaosoma...
Back
Top Bottom