Binafsi nimekuwa mtu ambaye niko so addicted na hizi vitu, huwa naondoka najipa break ila boredom inanirudiasha.
Sasa hii constant stimulation na addiction inafanya ujihisi accomplished kwa kuscroll kuliko actuality..
According to neuroscience dopamine hits, zinakufanya ucrqve higher version...
Mwenendo wa wanaotukana badala ya kujenga hoja kwenye mijadala katika mitandao ya kijamii limeanza kupungua.Naamini waliokuwa wanafanya hivyo wengi wao hawakuwa Raia wa Tanzania na walikuwa na nia ya kuambukiza tabia chafu ya kutokujali kwa watanzania wenye ustaarabu na heshima.
The Commercial Division of the High court has ruled that original content published on social media is protected by copyright, in a decision expected to shape how journalists and media organisations use online content.
In a landmark judgment delivered on July 27, Justice Dr Ginamia Melody...
Kuna tofauti kubwa sana kati ya sisi watu weusi especially tunavyotumia social social media na wenzetu . hilo group lipo USA na angalia post za mtu anatka msaada anavyoandika jamii forum. wazungu sio kama wana akili sana ila community zao zinafanya mtu anajua kujielezea na fanya watu waweze...
Je, Biashara Yako Ina Social Media Accounts Lakini Hazileti Wateja?
Au upo busy na unahitaji mtu wa kukusaidia kumanage social media accounts zako??
Habari wakuu,
Leo kuwa na Instagram, Facebook, TikTok au LinkedIn account pekee haitoshi. Kinachotofautisha biashara zinazokua na zinazobaki...
Social media has once again demonstrated its power in holding leaders and public institutions accountable. A resident's videos documenting several potholes along a busy urban road attracted significant public attention online, sparking widespread discussion and criticism over the poor state of...
Baada ya kutumia social media nimeona comments nyingi sana za chuki baina ya mataifa
For example kukiwa na topic yoyote ile inayosifia Tanzania, utaona a lot of negative comments za Wakenya. Watanzania ni mara chache sana kukuta wanacomment negatively kwenye posts za Kenya. Zaidi utawakuta...
The Utumishi Girls fire tragedy is a case study on misinformation...
There are reports circulating online about the door being locked from inside...
That the door was locked by students...
That the door was locked from outside by the matron.
That there were two doors.
That the matron only...
Watanzania tujifunze forensics ya kuunga mambo kiundani.
Hata balozi Polepole naona kama angekuwa nchi za nje tungejua mengi ila ndio hivo sababu ya kuwa cheguvara kwa nchi yake.
Hapa kuna fail sitaki kuweka ripoti yao ila ni taifa kubwa na wanawachora siku wakitaka kuwatumia wanaanza...
AN OPEN LETTER TO ALL NIGERIANS: LET US PROTECT OUR NATIONAL PRIDE – AIRPEACE
My dear fellow Nigerians,
I write this not as a distant observer, but as a proud son of the soil, a patriotic Nigerian who has travelled the length and breadth of our great country and beyond, and as a loyal...
A viral cash giveaway by Zimbabwean social media personality Tinotenda Tungwarara has sparked debate after she posted a video inviting the public to search for US$500 hidden around a major interchange in Harare.
The money was reportedly split into five separate US$100 hiding spots, with clues...
Hii tabia ya kuwaweka watoto wadogo kwenye mitandao ya kijamii(social media) Facebook Instagram nk nk
hii ni tabia mbaya sana. Ni kawaida kuwaonyesha watu damu zetu, uzur wetu lakini sio sawa.
Yeyote aliyemuweka mwanae kwenye hii mitandao, na hata Whatsapp mnawekwa sio busara.
Ule uzao wako...
Social media imekuwa sehemu kubwa ya maisha ya kila siku ya vijana. Platforms kama Facebook, Instagram, TikTok, X, na YouTube zimeleta faida nyingi kama elimu, mawasiliano, na biashara.
Lakini pia zimeanza kuleta changamoto kubwa sana kwenye thinking system (mfumo wa kufikiri) wa vijana...
DAR ES SALAAM – In a ruling handed down yesterday, the District Court of Temeke has ordered social media influencer Clemence Kenan Mwandambo to surrender all his social media accounts and report to the police monthly for a year, despite prosecutors admitting they possess insufficient evidence to...
Hii December nimepigwa ban mara sita
Nimetumia number mpya hiyo hiyo ikapigwa ban
Nimeadd member kwenye group nikapigwa ban
Nimetuma text kwa chatgpt nikapigwa ban
Kurud hiv vitu vikawa vinarecover
Kutuma text kidogo ti ban
Ban ban
Christmas ban
Je wewe hii hali ishawahi kukutokea?
Ni...
Habari wakuu
Nimekuja kwenu kuomba yeyote mwenye kazi au connection ya kazi anisaidie.
Sifa zangu
Jinsia: Me
Umri: 28
Eneo: Dar es salaam
Elimu: Bachelor’s Degree in Procurement and Logistics Management
Naonngea kiingereza vizuri sana
Kazi ninazoweza kufanya kutokana na taaluma yangu ni idara...
The Tanzanian government has imposed sweeping internet restrictions on major social media platforms, effectively blocking access to TikTok, Instagram Live, X (formerly Twitter), and local forums in a calculated move to disrupt online youth mobilization on the eve of tomorrow’s general elections...
The Tanzania Police Force, through its spokesperson, the Deputy Commissioner of Police (DCP) David Misime, has revealed the deployment of more than 3,900 officers across Mainland Tanzania and 388 in Zanzibar to conduct public education on the responsible use of social media
Speaking to the...
Kuna mtalii alikuja Africa (specfically Kenya) kuja kutalii wanyama kisha akapost video mtandaoni kuonesha kuwa hajavutiwa na safari hiyo. Kwamba no overrated
Matokeo yake anepokea backlash kubwa mno kutoka kwa social media
Angalia hapa, everything is in the pictures
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.