siro

San Siro, officially known as Stadio Giuseppe Meazza, is a football stadium in the San Siro district of Milan, Italy, which is the home of A.C. Milan and Internazionale. It has a seating capacity of 80,018, making it one of the largest stadiums in Europe, and the largest in Italy.
On 3 March 1980, the stadium was named in honour of Giuseppe Meazza, the two-time World Cup winner (1934, 1938) who played for Inter and briefly for Milan in the 1920s, 1930s, and 1940s and served two stints as Inter's manager.
San Siro is a UEFA category four stadium. It hosted three games at the 1934 FIFA World Cup, six games at the 1990 FIFA World Cup, three games at the UEFA Euro 1980, and four European Cup finals, in 1965, 1970, 2001 and 2016. The stadium will also host the opening ceremony of the 2026 Winter Olympics of Milan and Cortina d'Ampezzo.

View More On Wikipedia.org
  1. kavulata

    Awamu ya 6 inamuhitaji Kamanda Sirro?

    Awamu ya SITA imejikita kwenye kuliponya na kuliunganisha taifa dhidi ya Yale yasiyofaa ya awamu ya Tano. Kuna waliomizwa na kuteswa sana na hata kupotea wengine. Jeshi la polisi Lina jukumu la kulinda usalama wa raia na Mali zao. Afande Sirro alikuwa mkuu wa chombo cha kulinda usalama wa raia...
  2. B

    Mzee Siro ile Vita yako na Ma-RPC waliokuwa wanataka U-IGP iliisha au inaendelea? Nadhani toka adharani uwakemee Tena wajue unawajua

    Mzee Siro ni Moja ya IGP aliyewahi kuongoza jeshi kipindi Kuna mauaji mengi Sana akifutiwa Kwa karibu na Mzee Mahita. Siro amepokea jeshi kipindi Cha saga la Kibiti na Toka hapo mauaji yaliendelea Hadi Sasa. Nakumbuka Kuna kipindi mauaji yalizidi na uhalifu kuongezeka enzi ya Magu akawaita ma...
  3. Sanyambila

    Maoni yangu: Benedict Wakulyamba amrithi IGP Sirro

    Salamu kwenu wadau!!! Nchi yetu kupitia jeshi la polisi imeingia dosari kubwa baada ya polisi kuhussishwa na mauaji mengi ya RAIA nchini, hii nikutokana na aidha majukumu yao au ni ishara ya kuhitaji uongozi mwingine mpya. Au bahati mbaya yawezekana. Rejea maujaji ya Mtwara ya mfanyabiashara...
  4. Prof Koboko

    IGP Simon Sirro unasubiri nini kujiuzulu kwa kashfa hizi za Jeshi la Polisi?

    Mzee Siro kutokana na uzoefu wako wa Operations mbalimbali ulizosimamia nchini kwa mafanikio makubwa tulijua unaweza kuliongoza jeshi la Polisi katika weledi mkubwa lakini matokeo yake umeonekana kushindwa kabisa kuja na mbinu mpya na za kisasa kuendesha jeshi hili. Jeshi linakuwa na kashfa...
  5. Superbug

    Makosa ya IGP Sirro akiwa ofisini yaanze kukusanywa, Hana kinga kikatiba

    IGP Sirro ni Kati ya ma-IGP wa hovyo Sana kuwahi kutokea Tanzania. Tulijua wa mwisho atakuwa mahita Ila siro kaharibu mno. Tuanze kukusanya ushahidi ili akistahafu mwaka 2022 asafishwe na mahakama. Siro ni doa ndani ya serikali.
  6. Jabali la Siasa

    Shaka Hamdu Shaka: CCM haitavumilia wananchi kubambikwa kesi

    Shaka : IGP Simon Siro tupia jicho lako kwa baadhi ya askari wako wilayani Kahama na kwingineko | Wanabambika watu kesi kubwa na nzito na baadae kuwatoza faini tena bila risiti kamwe CCM hatutavumilia hili | "Wananchi ninazo taarifa juu ya vitendo viovu vya kupambikwa kesi za kukamatwa na bangi...
  7. Fundi Madirisha

    IGP Simon Siro, ondoa ACP Ramadhani Kingai mrudishe HQ

    Huu ni ushauri wangu mfupi tu kwako IGP, huyu bwana atakuharibia kazi yako. Kama kweli inavyotajwa na Mashahidi alichukua shilingi 260,000 za mtuhumiwa Adamoo, ingawa huu ni ushahidi lakini tayari imeshamtia doa na hataaminika popote. Arudishe pesa za watu, hata akizikana lakini tayari...
  8. K

    IGP Sirro, bado unawahitaji Hawa watu au uhalifu wao umekoma?

    Je, IGP bado anamtafuta Kigogo2014 ? Je, IGP bado anamtafuta Mange Kimambi? Je IGP bado ana kesi na Manji? Tunaamini Polisi ya Tanzania inapambana na wahalifu au inapambana na watu wenye mtizamo tofauti na CCM na viongozi wake? Kama wanapambana na mitizamo hasi dhidi ya CCM ni lina tutapata...
  9. K

    Kesi ya Mbowe isizuiwe watu kutaarifiwa

    Jana dunia nzima ilifaidi kesi ya Mbowe na hata Jaji alisema ana taarifa kwamba proceedings za kesi hiyo zinataarifiwa mitandaoni. Tulifaidi RPC wa Kinondoni alivyhojiwa na Advocate Kibatala hadi akaomba kwenda kukojoa. Jioni watu wakanusa mkakati wa kukatazwa kuingia na simu, siyo Mahakama...
Back
Top Bottom