tanganyika na zanzibar

Tanganyika was a colonial territory in East Africa which was administered by the United Kingdom in various guises from 1916 to 1961. It was initially administered under a military occupation regime. From 20 July 1922, it was formalised into a League of Nations mandate under British rule. From 1946, it was administered by the UK as a United Nations trust territory.

Before World War I, Tanganyika formed part of the German colony of German East Africa. It was gradually occupied by forces from the British Empire and Belgian Congo during the East Africa Campaign, although German resistance continued until 1918. After this, the League of Nations formalised the UK's control of the area, who renamed it "Tanganyika". The UK held Tanganyika as a League of Nations mandate until the end of World War II after which it was held as a United Nations trust territory. In 1961, Tanganyika gained its independence from the UK as Tanganyika. It became a republic a year later. Tanganyika now forms part of the modern-day sovereign state of Tanzania.

View More On Wikipedia.org
  1. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Wakazi Jaws Corner: Muungano wa Tanganyika na Zanzibar una manufaa mapana

    Wakazi wa eneo la Jaws Corner, Mji Mkongwe Zanzibar, wamempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa ziara yake katika eneo hilo, wakisema imewapa faraja na kuthibitisha kuwa ni kiongozi anayewathamini na kuwajali wananchi wa Zanzibar. Wakazi hao...
  2. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Nyerere alishauriana na nani kuunganisha Tanganyika na Zanzibar?

    Suala la muungano sio suala la hitaji binafsi la mtu maana ni suala ambalo linagusa taifa vizazi na vizazi. Ninadhani mpaka kufika suala la kuungana au kutoungana ilibidi maoni yakusanywe kutoka kwa wananchi wa pande zote mbili . Yani kama ilivyo utaratibu wa kupiga kura za rais ilibidi iwe...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

    Muungano wa Tanganyika na Zanzibar - Mafunzo kutoka kitabu "Pan-Africanism or Pragmatism?" cha Prof. Issa Shivji https://www.youtube.com/watch?v=AcK2xEIZJN8
  4. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Chanzo Cha Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na Sura Yake 1964 - 2026

    https://youtu.be/MMjqlioWkrE?si=s4JlXcHPmN_pZzjq
  5. G Sam

    JamiiForums Tanzania Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni mzigo mzito kwa Tanganyika. Ni wa kuvunja tena iwe ajenda namba moja kwa watanganyika

    Sisi watu wa Tanganyika ni ama hatuna akili na hatujitambui hata kidogo au tunajizima tu data ilimradi liende kwamba hatujipendi. Fikiria kuwa Zanzibar ina majimbo 54 ya uchaguzi. Katika majimbo hayo kila jimbo lina muwakilishi mmoja kwenda baraza la wawakilishi lakini pia lina mbunge kwenda...
  6. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Mjadala wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

    Victor Madaha ananukuu malalamiko ya watu: "Wazanzibari wanalalamika kazi zao zinachukuliwa na hawa kutoka Tanganyika... wamekuja kuwa watanganyika wasitibiwe kwenye hospitali zanzibar". Kuhusu mzigo wa bima ya afya: "Mahospitali kwa maana ya bima zile wamekuwa wakitibiwa sana watu wa bara sana...
  7. G

    JamiiForums Tanzania Hongera CHADEMA kuunda kikosi kazi cha maoni ya Katiba Mpya. Hawa wajumbe mmezingatia uwiano mzuri wa Tanganyika na Zanzibar?

    Wajumbe wa kamati ya Maoni ya chadema Dk. Rugemeleza Nshala Wakili Deogratius Mahinyila Wakili Ali Ibrahim Suzan Lyimo Ruthy Moleli Pamela Maasay Wakili Gaston Garubindi Zeud Mbano Boniface Jacob (maarufu Boni Yai) Wakili Mpale Mpoki Wakili Jeremia Ntobesia Nimeanza na pongezi maana hii...
  8. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kamwe hautakaa uvunjike

    Utangulizi Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulianzishwa tarehe 26 Aprili 1964 na kuzaa taifa la Tanzania. Muungano huu umeendelea kudumu kwa zaidi ya nusu karne licha ya changamoto mbalimbali zilizojitokeza katika vipindi tofauti. Wapo wanaodhani kuwa Muungano unaweza kuvunjika siku moja...
  9. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Watanganyika msinug'unike, Muungano wa Tanganyika na Zanzibar utavunjika wenyewe automatically

    Kwanza kabisa ni muungano ambao wananchi hawakushirikishwa kuhusu muungano wenyewe. Baraza la wawakikishi halikurudhia kuwepo kwa muungano huu. Ratification haikufanyika kabisa. Wazanzibari hawautaki Muungano tangu zamani. Muungano ulifanyika kwa hofu tu kuw Waarabu watarudi kuchukua nchi...
  10. Fbn

    JamiiForums Tanzania Muungano wa Tanganyika na Zanzibar siku ukiwekwa wazi kuna viongozi watakuwa uchi na wengine kuwa mashujaa

    Kuna mambo hapa Afrika ndio pekee kufichwa sana au kupoteza ushaidi. Ndio maana Afrika ni ngumu kupata ushahidi wa makaratasi. Mfano October 29, 2025 inatosha kusema ushahidi unafutwa kwa nguvu kubwa. Suala la muungano lilikuwa la ubabe na lenye mambo ya ajabu. Kwanini Aboud Jumbe alipata...
  11. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Nielimishwe: Je, Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ukivunjika baadhi ya mikoa ya Tanganyika ni himaya halali ya Zanzibar?

    Hamjambo wote! Kama swali linavyoeleza hapo juu. Mwenye Majibu ya haki aje hapa na atoe majibu. Pili, ni maeneo gani yaliyopo Tanganyika ni himaya halali ya Zanzibar? Maana GenZ wanasema hawaoni umuhimu wa Zanzibar. Ila wakiambiwa historia halisi wanaweza kuuona umuhimu wa Muungano. Tatu...
  12. SMART PASSENGER

    JamiiForums Tanzania Wananchi walipaswa kushirikishwa moja kwa moja katika uamuzi wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

    Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulianzishwa tarehe 26 Aprili 1964 na kuzaa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hata hivyo, kwa miaka mingi kumekuwa na mijadala na maswali kuhusu namna uamuzi huo ulivyofikiwa na kama wananchi walishirikishwa vya kutosha katika kuamua hatima yao. Ninapoangalia...
  13. ngara23

    JamiiForums Tanzania Tupige kura ya wazi kuhusu uwepo wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar

    Watanzania tupige kura kuhusu huu muungano au maagano laZima muungano uwepo Kwa mahitaji ya wananchi Andika NDIYO kama unaupenda muungano Andika HAPANA kama huitaji Muungano
  14. S

    JamiiForums Tanzania MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR

    Kwa mtazamo wangu, huu Muungano usipo fanyiwa marekebisho miaka ijayo Kizazi cha Gen Z kitakapo kuwa madarakani, mambo yanaweza kuwa tofauti kabisa; Wazee wangu nawakumbusha tu kwani muda wa kufanya mabadiliko bado mnao….
  15. Yoda

    JamiiForums Tanzania Faida za muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni zipi?

    Muungano wa Tanganyika na Zanzibar una faida zipi? Isije ikawa tunapinga tu jambo lenye faida/manufaa.
  16. Sifael Mpollo

    JamiiForums Tanzania Hatua saba za muungano wa Tanganyika na Zanzibar

    Leo tarehe 26 Aprili 2026, Tanzania inaadhimisha miaka 62 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar (1964 - 2026). Hata hivyo, hatukutakuwa na maadhimisho ya kitaifa kwa sababu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ameelekeza fedha zilizokuwa zimepangwa...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Tume ya Chande. Imevunja Umoja wa Tanganyika na Zanzibar

    Tunzeni hii kumbukumbu
  18. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Hii vita ya mtandaoni Tanganyika na Zanzibar mbona kama imepamba moto

    Hello Hivi jeuri ya wazanzibar ni nini? Yaani mtanganyika siyo mzanzibar lakini mzanzibar ni mtanganyika hapo tulipigwa. Mzanzibar anaweza.miliki aridhi bara.mtanganyika marufuku kumiliki aridhi zanzibar ooh noooo hu ujinga
  19. Rev. Kishoka

    JamiiForums Tanzania Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Una faida gani na kwa manufaa ya nani?

    Imekuwa ni jadi na utamaduni kufurahia sikukuu hii na kuwaenzi waasisi wa Muungano wetu Mwalimu Nyerere na Mzee Abeid Karume kwa matamasha, gwaride na shangwe kebekebe. Lakini imekuwa ni dhambi, tena yenye sumu kali kwa mtu yeyote kuhoji au kutaka kuuchambua Muungano huu. Lengo langu si...
  20. B M F ICONIC

    JamiiForums Tanzania Kwanini MUUNGANO wa Tanganyika na Zanzibar Husivunjwe?

    Hivi karibuni kumekuwa na hoja kutoka kwa watu mbalimbali kuhusu muungano , wakisema uvunjwe. mimi kwa maoni yangu nitawapinga. waje waseme ni kipengele gani kwenye muungano wanchoona hakifai kibadilishwe. Wengi wamekua wakilalamikia 1 Hawataki mtu kutoka zanzibar aruhusiwe au awe Rais au...
Back
Top Bottom