Tanganyika was a colonial territory in East Africa which was administered by the United Kingdom in various guises from 1916 to 1961. It was initially administered under a military occupation regime. From 20 July 1922, it was formalised into a League of Nations mandate under British rule. From 1946, it was administered by the UK as a United Nations trust territory.
Before World War I, Tanganyika formed part of the German colony of German East Africa. It was gradually occupied by forces from the British Empire and Belgian Congo during the East Africa Campaign, although German resistance continued until 1918. After this, the League of Nations formalised the UK's control of the area, who renamed it "Tanganyika". The UK held Tanganyika as a League of Nations mandate until the end of World War II after which it was held as a United Nations trust territory. In 1961, Tanganyika gained its independence from the UK as Tanganyika. It became a republic a year later. Tanganyika now forms part of the modern-day sovereign state of Tanzania.
Wakazi wa eneo la Jaws Corner, Mji Mkongwe Zanzibar, wamempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa ziara yake katika eneo hilo, wakisema imewapa faraja na kuthibitisha kuwa ni kiongozi anayewathamini na kuwajali wananchi wa Zanzibar.
Wakazi hao...
Suala la muungano sio suala la hitaji binafsi la mtu maana ni suala ambalo linagusa taifa vizazi na vizazi.
Ninadhani mpaka kufika suala la kuungana au kutoungana ilibidi maoni yakusanywe kutoka kwa wananchi wa pande zote mbili .
Yani kama ilivyo utaratibu wa kupiga kura za rais ilibidi iwe...
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar - Mafunzo kutoka kitabu "Pan-Africanism or Pragmatism?" cha Prof. Issa Shivji
https://www.youtube.com/watch?v=AcK2xEIZJN8
Sisi watu wa Tanganyika ni ama hatuna akili na hatujitambui hata kidogo au tunajizima tu data ilimradi liende kwamba hatujipendi.
Fikiria kuwa Zanzibar ina majimbo 54 ya uchaguzi. Katika majimbo hayo kila jimbo lina muwakilishi mmoja kwenda baraza la wawakilishi lakini pia lina mbunge kwenda...
Victor Madaha ananukuu malalamiko ya watu: "Wazanzibari wanalalamika kazi zao zinachukuliwa na hawa kutoka Tanganyika... wamekuja kuwa watanganyika wasitibiwe kwenye hospitali zanzibar".
Kuhusu mzigo wa bima ya afya: "Mahospitali kwa maana ya bima zile wamekuwa wakitibiwa sana watu wa bara sana...
Utangulizi
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulianzishwa tarehe 26 Aprili 1964 na kuzaa taifa la Tanzania. Muungano huu umeendelea kudumu kwa zaidi ya nusu karne licha ya changamoto mbalimbali zilizojitokeza katika vipindi tofauti. Wapo wanaodhani kuwa Muungano unaweza kuvunjika siku moja...
Kwanza kabisa ni muungano ambao wananchi hawakushirikishwa kuhusu muungano wenyewe.
Baraza la wawakikishi halikurudhia kuwepo kwa muungano huu. Ratification haikufanyika kabisa.
Wazanzibari hawautaki Muungano tangu zamani. Muungano ulifanyika kwa hofu tu kuw Waarabu watarudi kuchukua nchi...
Kuna mambo hapa Afrika ndio pekee kufichwa sana au kupoteza ushaidi. Ndio maana Afrika ni ngumu kupata ushahidi wa makaratasi.
Mfano October 29, 2025 inatosha kusema ushahidi unafutwa kwa nguvu kubwa.
Suala la muungano lilikuwa la ubabe na lenye mambo ya ajabu.
Kwanini Aboud Jumbe alipata...
Hamjambo wote!
Kama swali linavyoeleza hapo juu. Mwenye Majibu ya haki aje hapa na atoe majibu.
Pili, ni maeneo gani yaliyopo Tanganyika ni himaya halali ya Zanzibar?
Maana GenZ wanasema hawaoni umuhimu wa Zanzibar. Ila wakiambiwa historia halisi wanaweza kuuona umuhimu wa Muungano.
Tatu...
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulianzishwa tarehe 26 Aprili 1964 na kuzaa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hata hivyo, kwa miaka mingi kumekuwa na mijadala na maswali kuhusu namna uamuzi huo ulivyofikiwa na kama wananchi walishirikishwa vya kutosha katika kuamua hatima yao.
Ninapoangalia...
Watanzania tupige kura kuhusu huu muungano au maagano
laZima muungano uwepo Kwa mahitaji ya wananchi
Andika NDIYO kama unaupenda muungano
Andika HAPANA kama huitaji Muungano
Kwa mtazamo wangu, huu Muungano usipo fanyiwa marekebisho miaka ijayo Kizazi cha Gen Z kitakapo kuwa madarakani, mambo yanaweza kuwa tofauti kabisa;
Wazee wangu nawakumbusha tu kwani muda wa kufanya mabadiliko bado mnao….
Leo tarehe 26 Aprili 2026, Tanzania inaadhimisha miaka 62 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar (1964 - 2026). Hata hivyo, hatukutakuwa na maadhimisho ya kitaifa kwa sababu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ameelekeza fedha zilizokuwa zimepangwa...
Hello
Hivi jeuri ya wazanzibar ni nini? Yaani mtanganyika siyo mzanzibar lakini mzanzibar ni mtanganyika hapo tulipigwa.
Mzanzibar anaweza.miliki aridhi bara.mtanganyika marufuku kumiliki aridhi zanzibar ooh noooo hu ujinga
Imekuwa ni jadi na utamaduni kufurahia sikukuu hii na kuwaenzi waasisi wa Muungano wetu Mwalimu Nyerere na Mzee Abeid Karume kwa matamasha, gwaride na shangwe kebekebe.
Lakini imekuwa ni dhambi, tena yenye sumu kali kwa mtu yeyote kuhoji au kutaka kuuchambua Muungano huu.
Lengo langu si...
all
faida za muungano wa tanzania
hisnis the
historia ya muungano wa tanzania
kero za muungano
kuhusu
kura
matatizo ya muungano wa tanzania
muungano
muungano wa tanganyikanazanzibar
mwinyi
raisi
tanganyikatanganyikanazanzibar
tupige kura
umuhimu
uwepo
wazi
zanzibar
Hivi karibuni kumekuwa na hoja kutoka kwa watu mbalimbali kuhusu muungano , wakisema uvunjwe. mimi kwa maoni yangu nitawapinga. waje waseme ni kipengele gani kwenye muungano wanchoona hakifai kibadilishwe.
Wengi wamekua wakilalamikia
1 Hawataki mtu kutoka zanzibar aruhusiwe au awe Rais au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.