Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 9,508
- 19,320
Kuna watu wanajitoa ufahamu kwamba Pwani yote hadi Bagamoyo ni part ya Zanzibar. Wanashindwa kuelewa kwamba hadi tunapata uhuru, 1961 Sultan alishauza maeneo mengi kwa wazungu na Tanganyika iliyachukua toka kwa wazungu yakiwa sio mali ya Zanzibar.
Swali la kujiuliza, kama ni kweli, Nyerere alipotuma mjumbe kwa karume, kwanini Karume alimwambia kuwa mamlaka ya Nyerere yanaishia Nungwi?
Hadi Mafia, Sultan aliiuza kwa wajerumani na hadi anapinduliwa alibakiwa na maeneo yale tu ambayo Zanzibar wanayo sasa hivi.
Swali la kujiuliza, kama ni kweli, Nyerere alipotuma mjumbe kwa karume, kwanini Karume alimwambia kuwa mamlaka ya Nyerere yanaishia Nungwi?
Hadi Mafia, Sultan aliiuza kwa wajerumani na hadi anapinduliwa alibakiwa na maeneo yale tu ambayo Zanzibar wanayo sasa hivi.