Muungano wa Tanganyika na Zanzibar Uvunjwe Kwasababu Hauna Faida Tanganyika

Mr Why

JF-Expert Member
Nov 27, 2019
1,118
1,915
Rejelea kichwa cha habari. Kuna haja ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kuvujwa kwasababu hauna faida yeyote Tanganyika. Tangu muungano huu Zanzibar ndiyo imekuwa ikinufaika kutoka Tanganyika lakini Tanganyika haijawahi kunufaika kutoka Zanzibar.

Zanzibar wamekuwa wakichota mchanga na mawe kutoka Tanganyika kwasababu ya tatizo la udongo wao, siyo hivyo tu Zanzibar inamiliki eneo lenye ukubwa wa hekta 6000 tangu mwaka 1977 katika Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.

Wakazi wa Tanganyika wanapokwenda Zanzibar hawapokelewi mpaka pale wanapokuwa na vitambulisho mbaya zaidi Watanganyika hawaruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar huku Wazanzibari wakimiliki ardhi Tanganyika. Katika nyanja za siasa Watanganyika hawapewi fursa ya kuwa viongozi Zanzibar huku Wazanzibari wakipewa nafasi nyingi kwenye serikali ya Tanganyika.
 
Rejelea kichwa cha habari. Kuna haja ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kuvujwa kwasababu hauna faida yeyote Tanganyika. Tangu muungano huu Zanzibar ndiyo imekuwa ikinufaika kutoka Tanganyika lakini Tanganyika haijawahi kunufaika kutoka Zanzibar.

Zanzibar wamekuwa wakichota mchanga na mawe kutoka Tanganyika kwasababu ya tatizo la udongo wao, siyo hivyo tu Zanzibar inamiliki eneo lenye ukubwa wa hekta 6000 tangu mwaka 1977 katika Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.

Wakazi wa Tanganyika wanapokwenda Zanzibar hawapokelewi mpaka pale wanapokuwa na vitambulisho mbaya zaidi Watanganyika hawaruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar huku Wazanzibari wakimiliki ardhi Tanganyika. Katika nyanja za siasa Watanganyika hawapewi fursa ya kuwa viongozi Zanzibar huku Wazanzibari wakipewa nafasi nyingi kwenye serikali ya Tanganyika.
Sirejelei!!! Kamwe!
 
Rejelea kichwa cha habari. Kuna haja ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kuvujwa kwasababu hauna faida yeyote Tanganyika. Tangu muungano huu Zanzibar ndiyo imekuwa ikinufaika kutoka Tanganyika lakini Tanganyika haijawahi kunufaika kutoka Zanzibar.

Zanzibar wamekuwa wakichota mchanga na mawe kutoka Tanganyika kwasababu ya tatizo la udongo wao, siyo hivyo tu Zanzibar inamiliki eneo lenye ukubwa wa hekta 6000 tangu mwaka 1977 katika Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.

Wakazi wa Tanganyika wanapokwenda Zanzibar hawapokelewi mpaka pale wanapokuwa na vitambulisho mbaya zaidi Watanganyika hawaruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar huku Wazanzibari wakimiliki ardhi Tanganyika. Katika nyanja za siasa Watanganyika hawapewi fursa ya kuwa viongozi Zanzibar huku Wazanzibari wakipewa nafasi nyingi kwenye serikali ya Tanganyika.
Hakuna mahusiano magumu kama haya ya..
CHANGU NI CHANGU NA CHAKO NI CHANGU🙄
 
IMG-20230531-WA0013.jpg
Permanent Representative of Zanzibar to the United Nations, Ambassador Hilal M. Hilal.
 
Rejelea kichwa cha habari. Kuna haja ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kuvujwa kwasababu hauna faida yeyote Tanganyika. Tangu muungano huu Zanzibar ndiyo imekuwa ikinufaika kutoka Tanganyika lakini Tanganyika haijawahi kunufaika kutoka Zanzibar.

Zanzibar wamekuwa wakichota mchanga na mawe kutoka Tanganyika kwasababu ya tatizo la udongo wao, siyo hivyo tu Zanzibar inamiliki eneo lenye ukubwa wa hekta 6000 tangu mwaka 1977 katika Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.

Wakazi wa Tanganyika wanapokwenda Zanzibar hawapokelewi mpaka pale wanapokuwa na vitambulisho mbaya zaidi Watanganyika hawaruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar huku Wazanzibari wakimiliki ardhi Tanganyika. Katika nyanja za siasa Watanganyika hawapewi fursa ya kuwa viongozi Zanzibar huku Wazanzibari wakipewa nafasi nyingi kwenye serikali ya Tanganyika.


Wapo teyari uvunjwe. Sikiliza kiongozi Zanzibar leo ameongea.
Dakika ya 9.15 hadi 12
 
Waoga pekee ndio wanaotaka muungano uvunjwe bila ya kudai marekebisho ya vipengele vya huo mkataba
 
Rejelea kichwa cha habari. Kuna haja ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kuvujwa kwasababu hauna faida yeyote Tanganyika. Tangu muungano huu Zanzibar ndiyo imekuwa ikinufaika kutoka Tanganyika lakini Tanganyika haijawahi kunufaika kutoka Zanzibar.

Zanzibar wamekuwa wakichota mchanga na mawe kutoka Tanganyika kwasababu ya tatizo la udongo wao, siyo hivyo tu Zanzibar inamiliki eneo lenye ukubwa wa hekta 6000 tangu mwaka 1977 katika Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.

Wakazi wa Tanganyika wanapokwenda Zanzibar hawapokelewi mpaka pale wanapokuwa na vitambulisho mbaya zaidi Watanganyika hawaruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar huku Wazanzibari wakimiliki ardhi Tanganyika. Katika nyanja za siasa Watanganyika hawapewi fursa ya kuwa viongozi Zanzibar huku Wazanzibari wakipewa nafasi nyingi kwenye serikali ya Tanganyika.
Muungano uvunjwe
 
Back
Top Bottom