Wakati akihubiri kwenye kanisa lake la FGBF, Mwenge jijini Dar es Salaam, Askofu Zakary Kakobe amesikika akisema kuwa Tanzania ni mpango wa shetani ndio maana kila mara hoja ya kuitaka Tanganyika inaibuka. Hebu msikilize wewe mwenyewe:
MAONI YANGU
Askofu Kakobe ni miongoni mwa viongozi wa dini...
ASKOFU wa Kanisa la Full Gospel Bible Felloship (BGBF), Zachary Kakobe yupo wapi?
Ni mwaka wa pili sasa haonekani Kanisani. Hata Mke wake anaweza kuja Kanisani mara Moja kwa mwezi.
Je, kuna aliyemuona Askofu huyu huko mliko au kukutana naye?
Na wanaosambaza habari eti kapoteza kumbukumbu...
Amani iwe kwenu.
Katiba pitapita zangu nimekutana na hii clip ya Youtube inayoonesha Mtoto wa Askofu Kakobe akizungumza mahusiano na madhila anayopitia baina yake na baba yake yaani Askofu Kakobe. click hiyo link hapo uweze kuona mwenyewe umsikie.
๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Mtoto wa Askofu Kakobe aibuka na...
Amani iwe kwenu.
Katiba pitapita zangu nimekutana na hii clip ya Youtube inayoonesha Mtoto wa Askofu Kakobe akizungumza mahusiano na madhila anayopitia baina yake na baba yake yaani Askofu Kakobe. click hiyo link hapo uweze kuona mwenyewe umsikie.
๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Mtoto wa Askofu Kakobe aibuka na...
TAZAMA VIDEO YA SOMO CHANJO YA CORONA SIYO CHAPA YA 666
Baada ya maombi ya Maaskofu na Wachungaji kadha wa kadha, wa madhehebu mbalimbali ya Kikristo; jana Alhamisi 12.8.2021, akiwa ofisini kwake Askofu mkuu Zachary Kakobe amefundisha Somo muhimu, lenye kichwa, "CHANJO YA CORONA SIYO CHAPA...
YALIYOJIRI KONGAMANO LA WATUMISHI WA MUNGU KUMWOMBA NA KUMSHUKURU MUNGU KWA SIKU 100 ZA MHESHIMIWA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KUWA MADARAKANI KUONGOZA NCHI YA TANZANIA
Kongamano lilianzia kwa maneno ya salamu za viongozi mbalimbali wa dini sawa na kusudi la kongamanona sambamba na...
Ilikuwa siku ya Ijumaa 19.2.2021, ni siku nyingine ya kukumbukwa, katika Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Dar-Es-Salaam, lililoko Barabara ya Sam Nujoma; pale ambapo jumla ya wahusika 84 waliposhiriki katika kufungwa kwa Ndoa 21, zilizofungwa kwa pamoja katika Ibada ya Ndoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.