TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,773
- 21,270
Majuzi kati hapo nilifika kisiwani Unguja nilishangaa sana kupita huku na huko katika pilika pilika za maisha.
MADA; Ukweli Zanzibar pamoja na sensa iliyopita kuonyesha kuwa na watu 1,8mil ambao kwa muktadha wa wingi wa watu na waliopo Tanganyika ni chini ya mkoa wa Manyara yenye watu 1.9mil kiuwiano.
Katika kuangalia maendeleo ya maisha kwa ujumla inaonekana si kwa kiwango kikubwa wananchi wakiwa na kipato kikubwa kutokana na maisha ya kila siku.
Naona Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inafanya uwekezaji mkubwa sana kwenye ujenzi wa shule, ambapo nyingi ya Shule hizi huwezi kuikuta popote nchini Tanganyika landa iwe ya binafsi.
Ujenzi wa hizi shule ni kama hauendani na wingi wa wanafunzi waliopo Zanzibar, tofauti na wingi wa wanafunzi waliopo Tanganyika.
Hiyo juu ni moja ya skuli ya sekondari ambayo kwa sasa ipo asilimia (kwa kukadilia) 90% kukamilika na pembeni yake kuna jengo lingine kubwa kama hilo, hapo naambiwa yapo majengo mengine sehemu nyingine kama hilo yanajengwa.
Ukija hapa Tanganyika, sijui serikali inawaza nini na ndiyo maana hatuwezi kiwa sawa.
Bajeti kubwa ya muungano inaenda Zanzibar na Tanganyika inabaki ukiwa kwenye suala la ujenzi wa majengo ya elimu.
MADA; Ukweli Zanzibar pamoja na sensa iliyopita kuonyesha kuwa na watu 1,8mil ambao kwa muktadha wa wingi wa watu na waliopo Tanganyika ni chini ya mkoa wa Manyara yenye watu 1.9mil kiuwiano.
Katika kuangalia maendeleo ya maisha kwa ujumla inaonekana si kwa kiwango kikubwa wananchi wakiwa na kipato kikubwa kutokana na maisha ya kila siku.
Naona Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inafanya uwekezaji mkubwa sana kwenye ujenzi wa shule, ambapo nyingi ya Shule hizi huwezi kuikuta popote nchini Tanganyika landa iwe ya binafsi.
Ujenzi wa hizi shule ni kama hauendani na wingi wa wanafunzi waliopo Zanzibar, tofauti na wingi wa wanafunzi waliopo Tanganyika.
Hiyo juu ni moja ya skuli ya sekondari ambayo kwa sasa ipo asilimia (kwa kukadilia) 90% kukamilika na pembeni yake kuna jengo lingine kubwa kama hilo, hapo naambiwa yapo majengo mengine sehemu nyingine kama hilo yanajengwa.
Ukija hapa Tanganyika, sijui serikali inawaza nini na ndiyo maana hatuwezi kiwa sawa.
Bajeti kubwa ya muungano inaenda Zanzibar na Tanganyika inabaki ukiwa kwenye suala la ujenzi wa majengo ya elimu.