Thailand
JF-Expert Member
- Nov 15, 2019
- 262
- 778
Kifupi Zanzibar hawatupendi wa Tanganyika kwa kudhani wao ni waarabu koko wa oman (fikra za kimaskini)
Sasa kuliko kuleteana shida huko mbele ya safari, naomba serikali ifikirie kuuvunja huu muungano kwa amani bila damu kumwagika.
Haiwezekani kero za muungano zinatatuliwa tu zile zinazo wa favor wazanzibar huko Wabara tunaonekana punguani ndani ya muungano.
Sasa Zanzibar lazima iamue kuwa mkoa ndani ya Tanzania au ijitoe kwenye muungano.
Mawakili wa Tanzania wenye utaalamu juu ya mambo ya sheria fungueni kesi ya kupinga huu muungano sisi wananchi tutawaunga mkono. Hili jambo la Zanzibar kujiona bora kuliko nchi kamili ya Tanzania na wananchi wake halikubaliki hata kidogo.
Baada ya kuuvunja huu muungano huu uchwara, Wazanzibar mlio bara mjiandae kurudi kwenu Zanzibar au muukane uraia wa Zanzibar na muwe raia kamili wa Tanzania.
Heli kufadhili na kuithamini mbuzi Utakunywa mchuzi kuliko kuthamini watu fulani hivi wasiojitambua na kujali utu wa ndugu zao.
Naomba viongozi wetu muweke usawa kwenye huu muungano, Watanganyika tusibaguliwe tunapoitaji ajira na ardhi ya Zanzibar kwa sababu tunaaminishwa kwamba hii ni nchi moja.
Sasa kuliko kuleteana shida huko mbele ya safari, naomba serikali ifikirie kuuvunja huu muungano kwa amani bila damu kumwagika.
Haiwezekani kero za muungano zinatatuliwa tu zile zinazo wa favor wazanzibar huko Wabara tunaonekana punguani ndani ya muungano.
Sasa Zanzibar lazima iamue kuwa mkoa ndani ya Tanzania au ijitoe kwenye muungano.
Mawakili wa Tanzania wenye utaalamu juu ya mambo ya sheria fungueni kesi ya kupinga huu muungano sisi wananchi tutawaunga mkono. Hili jambo la Zanzibar kujiona bora kuliko nchi kamili ya Tanzania na wananchi wake halikubaliki hata kidogo.
Baada ya kuuvunja huu muungano huu uchwara, Wazanzibar mlio bara mjiandae kurudi kwenu Zanzibar au muukane uraia wa Zanzibar na muwe raia kamili wa Tanzania.
Heli kufadhili na kuithamini mbuzi Utakunywa mchuzi kuliko kuthamini watu fulani hivi wasiojitambua na kujali utu wa ndugu zao.
Naomba viongozi wetu muweke usawa kwenye huu muungano, Watanganyika tusibaguliwe tunapoitaji ajira na ardhi ya Zanzibar kwa sababu tunaaminishwa kwamba hii ni nchi moja.