At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,513
- 3,554
Hana haja ya kulindwa na watanzania, atalindwa na mabeberu.
Ni yeye tu#Ni yeye , Tundu A Lissu ndio anauzika hapa Tanzania kwenye Chaguzi za mwaka huuu 2020 kuliko habari yoyote ile.
Farhia Middle, Leo ameanza na Habari pendwa ya Tundu Lissu,
Uzi tayari.
Napenda kufuatilia habari za Lissu kuliko MaguNategemea Lissu atashinda, ila Sina uhakika Kama atatangazwa. Vyovyote itakavyokua Lissu ataingia kwenye kumbukumbu Kama mgombea Urais alieshinda kwa mbinde. Lissu anagombea wakati Vyombo vya habari vinatishwa visitangaze habari zake hasa za kampeni, Lissu anafanyiwa kila aina ya hujuma....
Kama yule wa chato.Na hata urais atashinda wa mitandao ya kijamii
Sio wewe tu hiyo ndo habari ya Mjini.Napenda kufuatilia habari za Lissu kuliko Magu
Lol!John hapendwi hata na mkewe
Atashinda jamiiforums kabla ya October, 28. Baada ya hapo wengi wa wafuasi wake watabadili majinaNa hata urais atashinda wa mitandao ya kijamii
WeweeeeeJohn hapendwi hata na mkewe
Unavyosema ni kweli ndg watu wengi nimewasikia wakisema Sasa watapiga kura.Kabla ya huyu mwamba kurejea toka ulaya watu wengi walikuwa wamekata tamaa kabisa na walishafanya maamuzi kwamba huu mwaka hawatapiga kura. Ila baada ya Lissu kurudi tu na kutangaza kwamba atapambana na jiwe watu wameonyesha imani kubwa kwake na sasa wameamua kwenda kupiga kura kwa wingi ili kuiondoa ccm madarakani.
Lissu ndio habari ya mjini kwa sasa. Ni Yeye2020