mawazo

  1. VERIFY

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hali ya kua na mawazo baada ya kufanya ngono

    Mara nyingi mtu hujuta baada ya kufanya ngono isiyo sahihi kwa sababu tamaa huisha, lakini matokeo yake hubaki — hisia za aibu, huzuni, kutotimia kwa matarajio, na hisia ya kujidharau. Mwili hushiba kwa muda, lakini roho huumia kwa muda mrefu. Na mara nyingi hii hali huwakuta watu wenye tabia...
  2. OMOYOGWANE

    JamiiForums Tanzania Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA) linachangia Wanafunzi na walimu wasielewe kile kinachofundishwa. Hili baraza lina mawazo ya kizamani

    Nijuavyo mimi Kiswahili ni mchanganyiko wa lugha nyingi mfano kisukuma, kichaga, kihaya (kibantu) kiingereza, kijerumani, kiarabu n.k huu mchanganyiko ukaunda lugha moja ambayo ni kiswahili. Huu mchanganyiko ulitokana na muingiliano wa watu wa jamii mbali mbali hapo zamani wakifanya biashara...
  3. W

    JamiiForums Tanzania KUMBUKIZI | Rais Samia: Siasa ni mchezo wa fikira na mawazo na kulumbana kwa hoja

    Rais Samia 08 Machi 2023 akiongea na BAWACHA alinukuliwa kusema "Wote tumejawa na furaha. Na hiyo ni kwa sababu ya matunda ya mazungumzo na maridhiano. Ndugu zangu siasa ni mchezo. Mchezo wa fikira na mawazo, kulumbana kwa hoja, kuangalia kakosea wapi tumzodoe na mimi naona kaongea nini namjibu...
  4. R

    JamiiForums Tanzania Tuliokoe taifa, Uonevu ukizidi watu wanaanza kuwa na mawazo mtambuka. , Tusifike huko hakufai

    Msikilize huyu, naomba tusifike huko
  5. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Mawazo yangu kuhusu kilimo Tanzania

    Wakuu Tanzania ni nchi kubwa sana na ina resources nyingi sana. Kwa muda mrefu nimekuwa nikiwaza sana hivi tukianza kuwa makini na resources zetu hatuwezi kujikomboa kutoka kwenye umasikini kweli? Hii Tanzania ina ardhi kubwa sana, kuna madini, ardhi yenye rutuba, vyanzo vya maji, watu wengi...
  6. MAFIA MGAX

    JamiiForums Tanzania Nilianza kujitambua kuwa ni mgonjwa wa akili tangu mwaka 2021(msongo)

    Habari wanajamiiforum. Muda huu ninaona ni vyema nitoe dukuduku langu ili nipate msaada na ushauri nasaha Nilianza kujitambua kuwa ni mgonjwa wa akili tangu mwaka 2021(msongo).kipindi hicho nilikuwa mdogo kiasi lakini nilikuwa naona vitendo vya hali ya kunyenyekewa sana Pale...
  7. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania Msongo wa Mawazo: Janga Lisilopewa Kipaumbele

    Msongo Wa Mawazo ni tatizo kubwa barani Afrika, lakini bado haupewi uzito unaostahili. Watu wengi wanateseka kimya kimya kwa hofu ya kuhukumiwa, wakibeba maumivu ya kiakili yanayoharibu afya zao, familia zao, na maisha yao kwa ujumla. Jamii zetu zimezoea kuficha mateso ya ndani kwa maneno kama...
  8. R

    JamiiForums Tanzania Anaye trend sasa ni Humphrey Polepole, tupitie mawazo ya wadau wanasema nini kuhusu kujiuzulu

    Maria Sarungi NASEMA KILA SIKU #TutaelewanaTu 🚨‼️ Pole zako kaka Humphrey Mara ya mwisho tuliongea ana kwa ana ulikuwa insider wa utawala wa Magufuli na ulinifokea sana! Uzuri mi naamini muda ni mwalimu mzuri! Nikakuacha sikukujibu! Ulikuwa sehemu ya genge lililoniPERSECUTE na kuninyanyasa...
  9. DR HAYA LAND

    JamiiForums Tanzania Psychological crisis -Mgogoro wa kisaikolojia katika Maisha ya binadamu ni chanzo kikubwa cha msongo wa mawazo

    Psychological crisis Mgogoro wa kisaikolojia ni chanzo cha stress katika maisha . Inaanza hivi. Katika utafutaji -wengi tumejikuta tunasafiri , kutoka eneo moja mpaka eneo lingine. Ila wengi tukifika katika baadhi ya maeneo bado tunakuwa na ile hali ya kuendelea kutamani ulipotoka . Yaani...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Mbona kama hawapo bungeni na mawazo yao ni kama watarudi au hatawatarudi?

    Wote hawapo hapo walipo. Wanagonga meza kama ushahidi tu. Wengi wao wanawaza tu juu ya kurudi mjengoni maana walishazoea maposho na malipo ya kikao .
  11. Muimba SINGELI

    JamiiForums Tanzania Nimetoswa hadi na Marry! Nina msongo wa mawazo jamani mkiona nacomment ujinga kwenye nyuzi zenu nisameheni tu ni POMBE.

    Ninamzigo wa mawazo ambao haupimiki kama mnavoniona. Mimi na pombe pombe na mimi. Nimekuwa mtu wa kudance popote ninapokuta sebene. Suti zangu hazinipendezi tena kama zamani Nikiona watu na wapenzi wao roho inaniuma hata kama hayanihusu. Hali yangu imefikia huku sasa. Nisiwasumbue...
  12. Prof_Adventure_guide

    JamiiForums Tanzania Safari ya Ndoto: Tembea Mount Kilimanjaro, Serengeti, Ngorongoro, Tarangire, Arusha NP, Chemka & Serval, Tuondoe Mawazo, Tuijue Tanzania Yetu!

    Ndugu wanajamvi wa JamiiForums, Kwa heshima na taadhima, naomba kuwasilisha rasmi pendekezo la safari ya kipekee ya adventure na utalii wa ndani (Domestic Tourism) inayolenga kutuvusha kutoka katika pilikapilika za maisha ya kila siku, kwenda kwenye maeneo yenye utulivu, mandhari ya kuvutia...
  13. Adiya5

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta Marafiki wa kubadilishana nao mawazo

    Hello watanzania, Nimetokea Facebook, Insta na Tiktok nimekuja Jamiiforums kujifunza mambo mbalimbali na kutengeneza marafiki pia, Nahitaji marafiki makini, wenye akili timamu, wacheshi, wakarimu, wenye uelewa wa mambo ya duniani, wenye fikra pevu, jinsia yoyote, Mimi ni Mwanamke, elimu darasa...
  14. MK254

    JamiiForums Tanzania Trump abadili msimamo, asema Iran iache kabisa mawazo ya nyuklia, hamna tena ruhusa kumiliki nyuklia ya nishati

    Kilichokua kinajadiliwa ilikua Iran ipunguze nyuklia au madini ya uranium, na kubaki na ya matumizi ya nishati tu, ila sasa inashurutishwa iache kabisa mawazo ya nyuklia, na mpaka sasa anga ya Irani imetekwa na Israel, ndege zinapiga zitakavyo...... US President Donald Trump said on Tuesday...
  15. Dr isaya febu

    JamiiForums Tanzania Msongo Wa Mawazo: Athari za msongo wa mawazo kwa mwanamke

    Msongo Wa Mawazo Ni Nini? Msongo wa mawazo ni mfadhaiko wa akili anaoupata mtu kutokana na shida, taabu, dhiki, matatizo au changamoto zinazomkabili katika maisha ya kila siku. Kwa kawaida mtu hupata msongo wa mawazo pale anaposhindwa au kukosa namna ya kukabiliana na jambo linalomsumbua...
  16. Prayallthetime

    JamiiForums Tanzania Vijana Tuzitunze Afya Zetu Maana Ndiyo Mtaji Wetu , Nimejawa Na Msongo Wa Mawazo Mwenzenu

    Poleni na majukumu ndugu zanguni . Ni siku nyingine tena tunakaribia kuifunga Mwenyezi Mungu ametujalia kwa tuliobahatika kuiona na tunapoelekea kuifunga . Mimi ni kijana umri wangu miaka 30 , mpaka sasa nina watoto 02 kila mtoto na mama yake , mtoto kwanza ilikuwa enzi za ujana wangu...
  17. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwenye uzoefu wa aina hii ya mahusiano. Mawazo yake

    Mapenzi sio mchezo. Kuna mushangazi mmoja niliingia nao kwenye mahusiano, kwa nia ya kuuoa. Ndoa ilikuwa tufunge nao majira ya kabla ya mwezi 10 kuisha. Navumilia mengi ana badirika kama kinyonga, Leo story kesho ugomvi mala anitishie kuni block , hataki kupokea simu, hajibu sms . Nikikaa...
  18. Mayor of kingstown

    JamiiForums Tanzania Changamoto ya uwasilishaji wa mawazo kwa viongozi wa Afrika hasa mkuu wa nchi ya Comoro

    WITO KWA VIONGOZI: JIFUNZENI KUZUNGUMZA BILA KUTEGEMEA MAANDISHI Ni jambo la kusikitisha kuona baadhi ya viongozi wakishindwa kabisa kuwasiliana kwa ufasaha mbele ya umma bila kutegemea karatasi au "vi-memo". Mfano wa karibu ni Kiongozi wa Kisiwa cha Comoro ambaye hata salamu au pole za kawaida...
  19. Fbn

    JamiiForums Tanzania Idi Amin alipendwa kudanganywa kwa kusifiwa hata kubadilishwa mawazo ndio kilichopelekea kuanguka kwake

    Idi Amini alishawai kudanganywa na askari wa mpaka uganda na Tanzania kuwa askari wake kawapiga askari wa Tanzania. Walifanya sherehe na kumpa vyeo. Kuna siku alidanganywa kuwa wanaweza kufika mpaka Dar es Salaam na kuitisha vyombo vya habari hatafika mpaka huko.
  20. Wakuperuzi

    JamiiForums Tanzania Nina kiasi cha milioni 3.5 naweza kuifanyia ishu gani?

    Salama wakuu wa JF! Last wiki nilikuwa na milioni 6 Kash Ila mpaka wakati huu naandika huu uzi nimebakiwa na milioni 3.5 na hii ndio ya kwngu sasa baada ya kulipa madeni na kufanya manunuzi binafsi ya baadhi ya mahitaji. Kifupi nilikuwa hovyo km miezi 12 hivi iliyopita, hii hovyo sitailezea...
Back
Top Bottom