mapato

The Natural Gas Revenue Fund (NGRF) is the proposed sovereign wealth fund of Tanzania expected to be launched in October 2014 or February 2015 after the enactment of a bill by the National Assembly. It will manage the revenue accrued from the sale of its natural gas. As of April 2014, Tanzania has a recoverable gas reserve of 43.1 tcf. The fund will be managed by the Bank of Tanzania. However, according to PFC Energy, 25 to 30 trillion cubic feet of recoverable natural gas resources have been discovered in Tanzania since 2010.

View More On Wikipedia.org
  1. Robert Heriel Mtibeli

    Mamlaka ya Mapato - TRA, Nasema Nanyi

    MAMLAKA YA MAPATO- TRA, NASEMA NANYI Na, Robert Heriel Kumekuwa na malalamiko yanayoelekezwa Mamlaka ya Mapato - TRA. Malalamiko ya wafanyabiashara na wajasiriamali wadogo dhidi ya TRA yamekuwa kama sehemu ya wimbo katika taifa hili. Hii imepelekea baadhi ya wanasiasa kujipatia ujiko kwa...
  2. Kawe Alumni

    Benki ya Dunia yaitangaza Tanzania kuingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati

    Leo 1 of july 2020 Tanzania imeingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati "middle income economies " Tanzania imeweka rekodi hii haraka kuliko ilivyotarajiwa hapo awali Benki ya Dunia na taasisi nyingine duniani zimeendelea kumwaga sifa za pongezi kwa Rais Magufuli kwa...
  3. CHIPESI NAMISUKU

    Tanzania kuingia Uchumi wa Kati maana yake nini?

    Jumatano tarehe 1 Julai, 2020 Benki ya Dunia iliitangaza rasmi nchi ya Tanzania kuingia katika uchumi wa kati ikiwa ni miaka mitano kabla ya muda ambao Tanzania ilijipangia katika Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025 Hakika hii ni jambo la kufurahiwa na kila mtanzania kama alivyosema Rais wa Jamhuri...
  4. Return Of Undertaker

    Shs 31.8217 bili za machinga na zisizojulikana za DPP hazijaonyeshwa zimeingia wapi kwenye mapato ya nchi

    Kwenye bajeti ya mapato ya waziri wa fedha hizi fedha hazijaonyeshwa zimeingia katika fungu lipi ambazo ni shs 31,821,700,000 za vitambulisho vya machinga wapatao 1,592,085 na mabilioni ya DPP yaliyokusanywa kwa waliokiri kutakatisha fedha na kukubaliana kulipa mamilioni ya shilingi ambayo...
  5. Cvez

    Wadau wa utalii mna mtazamo gani kuhusu uamuzi mpya ukusanyaji wa mapato yanayotokana na utalii?

    Serikali imeazimia kuipa mamlaka TRA kuhusika moja kwa moja na ukusanyaji wa mapato yanayotokana na utalii katika taasisi hizi TANAPA, NCCA, na TAWA. Je, huu uamuzi kwa mtazamo wako una athari chanya au hasi katika utalii?
  6. Mzukulu

    Ni kwanini Wafanyakazi wengi wa TRA siku hizi hasa wale wa vitengo muhimu vya ukusanyaji mapato wamekuwa waoga na hawajiamini mitaani?

    Kwa baadhi niliokutana nao ( ambao nakiri hapa ) wazi wazi kuwa ni Marafiki zangu wazuri na wakubwa tu ila tokea Awamu hii ya Tano iingie Madarakani wengi Wao wamekuwa ni Waoga Waoga Kimuonekano na hata Hawajiamini tena huku hata mkiwa mmekaa nao tu mahala muda mwingi wanakuwa ni Watu wa...
  7. K

    Waziri Simbachawene amwagiza IGP kuwapangia kazi nyingine matrafiki wenye vitambi. Je, ni kosa askari kuwa na kitambi?

    Waziri Simbachawene amemwagiza IGP kuwaondoa trafiki wote wenye vitambi na kuwapangia kazi nyingine. Najiuliza, ipo sheria inayokataza trafiki kuwa na kitambi? Shughuli ya utrafiki Ni ngumu kuliko majukumu ya OCD, OCS na RPC? Natamani awamulike pia hao, ila pia tofauti na utrafiki kazi...
  8. chiembe

    Wana MATAGA tunawaza, jamaa yetu ataacha LEGACY ipi? Maana haka ka corona kamevuruga mapato, na miradi haijaisha

    Sisi MATEGE msituone tuko kimya, tuna mawazo sana, tulijua tungemaliza miradi mingi 2021, baada ya hapo tukaanza nyimbo za kuimba na kusifu mafaniko na kumpa send off jamaa yetu iliyojaa furaha na jina lisilosahaulika kwa wananchi. Ng'ombe wa masikini hazai, kamekuja ka korona, biashara...
  9. Zitto

    Zitto: Serikali ya awamu ya Tano yatia fora kutofikia malengo ya Bajeti

    Serikali ya Awamu ya Tano yatia fora kutofikia malengo ya Bajeti
  10. T

    Kwanini Serikali huwa inatangaza bajeti kubwa kuliko uwezo wa makusanyo na vyanzo vya mapato?

    Nilikuwa najisomea taarifa ya mkaguzi wa hesabu za Serikali kwa mwaka 2018/2019, hizi taarifa zinaonyesha serikali ya wanyonge inavyodanganya wanyonge wake. Serikali ya wanyonge imekua ikitaja bajeti kubwa sana lakini uhalisia unaoneysha kua hizi taarifa ni kama vile hua zinaandaliwa na watu...
  11. Roving Journalist

    Mahakama ya Kisutu imewatia hatiani Viongozi wa CHADEMA na kuwahukumu kulipa faini ya Tsh. Milioni 350 au kwenda jela, Wapelekwa Segerea

    Mahakama ya Kisutu leo Machi10, inatarajia kutoa hukumu kwa Viongozi wa CHADEMA wanaokabiliwa na kesi ya uchochezi Mahakamani hapo, Viongozi hao ni pamoja na Mwenyekiti CHADEMA, Freeman Mbowe, pia John Mnyika, Halima Mdee, Ester Bulaya, Ester Matiko, Heche, Msigwa na Mashinji. Katika kesi hiyo...
  12. M

    Serikali iache kuwaonea wafanyakazi, itafute vyanzo vingine vya mapato

    Inasikitisha kuona kuwa Serikali inagawana sawa mshahara wa mfanyakazi, Yaani mfanyakazi anachukua nusu na Serikali nusu harafu bado mnatushauri tuisifu Serikali.
  13. J

    Dr Kigwangala: Sekta ya utalii hatutafikia malengo ya mapato, itabidi tujipange upya virusi vya korona huko China vimetuangusha

    Waziri wa mali asili na utalii Dr Kigwangalla amesema wizara yake na wadau wote wa utalii ni lazima wajipange upya kimkakati kwani ugonjwa wa Corona huko China umewafanya washindwe kufikia malengo. Naye mtendaji mkuu wa Tanapa Dr Kijaxi amesema mapato ya utalii yameshuka baada ya watalii...
  14. miamiatz

    Process unayoweza kuitumia kujitwalia wateja zaidi na mapato zaidi katika biashara

    1. Andaa orodha ya watu na taasisi ambazo unadhani zaweza kuhitaji huduma yako. Kwa mfano kama wewe ni mtengenezeji wa websites basi tafuta makampuni yote ambayo hayana website ama yana websites zisizokuwa relevant kwao. Kwa huduma ama bidhaa yoyote kuna orodha kubwa sana unaweza tengeneza ya...
  15. Analogia Malenga

    Mji unaoongoza kwa Kamari duniani (Kwa kuangalia mapato)

    Macau, moja kati ya jiji linalopatikana China, limevunja rekodi ya kuwa ni mji ambao unaongoza kwa kucheza Kamari kwa kuangalia kipato kinachopatikana kutokana na Kamari Mwaka 2016, ilikadiriwa kipato kilichotokana na Kamari ilikuwa ni $27.8 bilion sawana na Tsh 64.2trillion , Kipato...
  16. F

    Mapato ya Zanzibar yafikia shilingi bilioni 2874, sawa na trilioni 2.874 kwa mwaka. Tanzania Bara tunayo ya kujifunza kutoka Zanzibar

    Rais wa Zanzibar, Dr. Mohamed Shein, ameeleza kuwa mapato ya Zanzibar kwa mwaka yamefikia Tanzania Shillings Bilioni 2874, sawa na Trilioni 2.874. Taarifa hii inaonyesha waziwazi kuwa Tanzania Bara tukijifunza kutoka Zanzibar, mapato ya Mikoa yetu inaweza kuongeza mapato yake ya ndani kwa...
  17. elivina shambuni

    Masoki ya madini yapaisha mapato mkoa wa Geita

    TANGU kuanzishwa kwa masoko ya madini nchini, mkoa wa Geita umeongeza ukusanyaji wa mapato kwenye sekta ya madini kutoka chini ya Sh bilioni moja kwa mwaka mpaka kufikia zaidi ya Sh bilioni 3.5 kwa mwaka. Hayo yameelezwa na Waziri wa Madini, Doto Biteko, alipokuwa akifungua Soko Kuu la Madini...
  18. beth

    Waziri Kalemani aitaka TANESCO kubaini vyanzo vipya vya umeme

    Waziri wa Nishati, Dkt Medard Kalemani ameiagiza Bodi na Menejimenti ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuhakikisha kuwa wanafanya tafiti kubaini vyanzo vipya vya uzalishaji umeme ili kuongeza kiasi cha nishati hiyo nchini na kuweza kufikia lengo la kuwa na megawati 10,000 ifikapo mwaka...
Back
Top Bottom