Benki ya Dunia yaitangaza Tanzania kuingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati

Kawe Alumni

JF-Expert Member
Mar 20, 2019
8,685
11,988
Leo 1 of july 2020 Tanzania imeingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati "middle income economies "

Tanzania imeweka rekodi hii haraka kuliko ilivyotarajiwa hapo awali

Benki ya Dunia na taasisi nyingine duniani zimeendelea kumwaga sifa za pongezi kwa Rais Magufuli kwa kuongoza vyema Tanzania kupeleka uchumi wakati

Sisi ni matajiri

Soma pia: World Bank to officially declare Tanzania a Middle Income Country (MIC) on July 01, 2020

============

Rais Magufuli said:
Benki ya Dunia leo tarehe 01 Julai, 2020 imeitangaza Tanzania kuingia UCHUMI WA KATI.Nawapongeza Watanzania wenzangu kwa mafanikio haya.Huu ni ushindi mkubwa na kazi kubwa tumeifanya, tulipanga kuingia uchumi wa kati ifikapo 2025 lakini tumefanikiwa 2020.MUNGU IBARIKI TANZANIA!
eeedafb6-a374-4f53-b9d7-2115c36a6662.jpg
2ff11260-738b-46d4-94aa-c48a2f4d05e2.jpg
 
Tulikesha misikitini na makanisani kumuomba mwenyezi mungu atupe wa kutupeleka Kanaan, hakika AMEJIBU....

Mwenyezi Mungu aendelee kumbariki, kumpa hekima, afya, maisha marefu, amlinde na kila jicho la husda na kila madhila aaaamin aaaamin

Na Mungu ampe uhai mrefu mh. Ally Kessy mbunge wa Nkasi aaamin,ili ufike ule muda wake ATAKAPOWASHAWISHI WABUNGE wamuongezee miaka 5 ya uongozi mh. Magufuli ili atuwezeshe TUIJENGE KANANI YETU na kuisimika vyema ARDHINI aaaamin aaaamin.
 
Duh! Hata Lesotho wamo mkuu?, Halafu mh Kabudi si alituambia inaitwa United Republic of Tanzania mkuu?

Nitaendelea kusema siku zote Rais Magufuli anaweka historia ambayo itachukua vizazi vingi hadi kuja kufikiwa na viongozi wajao wa taifa hili.
 
Back
Top Bottom