Hiyo ndo maana ya hapa kazi tu na utendaji uliotukuka wa kiongozi mtarajiwa wa malaikaSerikali ya Awamu ya Tano yatia fora kutofikia malengo ya Bajeti
Hiyo ndo maana ya hapa kazi tu na utendaji uliotukuka wa kiongozi mtarajiwa wa malaika
Ndiyo kawaida ya wanasiasa uchwara ili wapate mtaji wa siasaZitto mdogo wangu unajitia aibu ,sote ni watanzania,sahau uccm na uact- wazalendo,sasa unaposhangilia jambo la serikali kukusanya mapato chini ya makadilio sioni kama ni sawa.
Wewe kama mtanzania na kiongozi unayo nafasi ya kushauri kipi kifanyike ili lengo la ukusanyaji mapato lifikiwe kwa asilimia mia moja
Unaposhamgilia ukusanyaji hafifu wa mapato, kwa dhana hii naona pia unafrahia watanzania kuishi maisha magumu na kukosa huduma muhimu ,wewe ni sawa na nyani anayeshangilia pindi kichaka kinapokuwa kinateketea kwa moto pasina kujua ikiwa kinatateketea chote atajificha wapi,
Pole sana mkuu zitto.
Sent using Jamii Forums mobile app
Zitto mdogo wangu unajitia aibu ,sote ni watanzania,sahau uccm na uact- wazalendo,sasa unaposhangilia jambo la serikali kukusanya mapato chini ya makadilio sioni kama ni sawa.
Wewe kama mtanzania na kiongozi unayo nafasi ya kushauri kipi kifanyike ili lengo la ukusanyaji mapato lifikiwe kwa asilimia mia moja
Unaposhamgilia ukusanyaji hafifu wa mapato, kwa dhana hii naona pia unafrahia watanzania kuishi maisha magumu na kukosa huduma muhimu ,wewe ni sawa na nyani anayeshangilia pindi kichaka kinapokuwa kinateketea kwa moto pasina kujua ikiwa kinatateketea chote atajificha wapi,
Pole sana mkuu zitto.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh!..Serikali ya Awamu ya Tano yatia fora kutofikia malengo ya Bajeti
Serikali ya Awamu ya Tano yatia fora kutofikia malengo ya Bajeti
Hii presentation yako ya Leo haina text ? Nimeisaka wapi?
Ushauri serikali iliyokuwa inajisifu kukusanya mapato kuliko serikali zote zilizopita? Corona pia itatusaidia kujua Kama hii serikali imejenga vituo vya afya na zahanati nyingi kuliko zote zilizojengwa toka uhuru ama zilikuwa fix tu Kama yale makusanyo hewa ya mapatoZitto mdogo wangu unajitia aibu ,sote ni watanzania,sahau uccm na uact- wazalendo,sasa unaposhangilia jambo la serikali kukusanya mapato chini ya makadilio sioni kama ni sawa.
Wewe kama mtanzania na kiongozi unayo nafasi ya kushauri kipi kifanyike ili lengo la ukusanyaji mapato lifikiwe kwa asilimia mia moja
Unaposhamgilia ukusanyaji hafifu wa mapato, kwa dhana hii naona pia unafrahia watanzania kuishi maisha magumu na kukosa huduma muhimu ,wewe ni sawa na nyani anayeshangilia pindi kichaka kinapokuwa kinateketea kwa moto pasina kujua ikiwa kinatateketea chote atajificha wapi,
Pole sana mkuu zitto.
Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali ya Awamu ya Tano yatia fora kutofikia malengo ya Bajeti
asante mh Zitto. hii iko vizuri.Serikali ya Awamu ya Tano yatia fora kutofikia malengo ya Bajeti