bbc

  1. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Kikwete atoa tamko kuu kwa TCRA kuifungia BBC swahili

    Ikiwa ni siku chache tangu chombo cha habari cha kimataifa cha BBC News kuchapisha makala iliyomhusu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, zimeendelea kusambaa taarifa kwenye mitandao ya kijamii zikidai kuwa Rais mstaafu wa Awamu ya Nne wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, ametoa kauli ya kutaka...
  2. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania Mnatoa milio kuhusu makala za BBC?

    Hiki kikundi cha wahuni kinachojiita Serikali kumetoa tamko kuhusu mfululizo wa makala kupitia kipindi cha AFRICA EYE DOCUMENTARIES,wanalalamika kwamba BBC haizingatii weledi. Ukiangalia na kufuatilia kwa umakini utagundua namna gani sehemu nyeti zinaongozwa na matakataka ambao wanajina maarufu...
  3. Superbug

    JamiiForums Tanzania Nawaomba BBC DW ALJAHEZZERA NA CNN wafungue page zao JamiiForums

    Nayaomba mashirika haya yafungue page zao rasmi humu JamiiForums ili iwe rahisi sisi wananchi tuliotelekezwa na vipeperushi vya CCM tuteme nyongo. Naamini ujumbe huu utaenda viral kwenye mashirika hayo Mimi nitaanza na CNN ambayo ni rahisi kuifikia.
  4. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Government Statement on BBC Documentary

    Taarifa kwa umma kuhusu makala ya BCC . Statement by the Government of the United Republic of Tanzania on the BBC Documentary 📌
  5. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Ila Msigwa Sasa Documentary ya BBC kumuhusu Lissu na Maisha yake , nayo unaitolea Ufafanuzi ? Uwe unatumia Akili

    HIi Documentary kihalisia imezungumzia Lissu na Madhira yake Kwan ni uongo Lissu amekua anaharasiwa na Polisi? Ni uongo Lissu amekua hakamatwi? Ni uongo Lissu amekua anafunguliwa Kesi? Ni uongo Lissu hakupigwa Risasi ili auwawe?. Ni uongo Lissu amepewa Kesi ya Uhaini? Ni uongo mpaka sasa Yuko...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Serikali: Makala ya BBC haina ushahidi. Tutachukua hatua kulinda uhuru, heshima na usalama wa nchi

    TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MAKALA YA BBC Serikali imesikitishwa na makala iliyochapishwa leo tarehe 13 Julai, 2026 na Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) kupitia kipindi chake cha "BBC Africa Eye" ambayo ime-beba maudhui ya upande mmoja, yaliyokosa ushahidi thabiti, yenye upungufu wa taar-ifa...
  7. McLaren

    JamiiForums Tanzania BBC Africa imeachia Documentary mpya kuhusu Tundu Lissu. Mke wake Lissu Alicia nae yumo

    Wakuu, Hili suala la Tundu Lissu limeendelea kutuchafua Tanzania Kimataifa Documentary za aina hii tushazoea kuziona zikifanyika kwenye Banana Republics kama Burundi, Sudan na kwingineko lakini leo inafanyika Tanzania Kwa Documentary kama hizi, watu kama Dangote watakuja kuwekeza Tanzania...
  8. Nyani Ngabu

    JamiiForums Tanzania BBC News Africa: Tundu Lissu: A Fight Too Far?

    Ahsante BBC. Endeleeni kumuangazia mwanga huyu dikteta muuaji Samia. Hii makala imerushwa mapema leo Jumapili, Julai 12, 2026. https://youtu.be/9V11iRcPX1A?is=XxVPX6elzuSWUZI-
  9. E

    JamiiForums Tanzania Tanzania kati ya mataifa 10 yenye madeni makubwa Afrika

    Tanzania imetajwa kuwa miongoni mwa nchi 10 zenye madeni makubwa katika Bara la Afrika ikishika nafasi ya nane kwa kuwa na deni kubwa la nje, huku nchi ya Misri ikiongoza kwa kuwa na deni la zaidi ya dola bilioni 7.2 (Sh 18.76 trilioni). Taarifa iliyotolewa na Shirika la Utangazaji la Uingereza...
  10. W

    JamiiForums Tanzania Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) Kutangaza Panga la waajiriwa

    Shirika la utangazaji la Uingereza, BBC, limetangaza mpango wa kupunguza wafanyakazi 550, hususan katika vitengo vyake vya habari na uzalishaji wa vipindi. Hatua hii ni sehemu ya mkakati mpana wa kubana matumizi unaolenga kuokoa kiasi cha Pauni milioni 500 ndani ya miaka mitatu ijayo. Uamuzi...
  11. Parabolic

    JamiiForums Tanzania Tanzania inatafuta nini Urusi? (BBC)

    Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameanza ziara ya siku tatu nchini Urusi kuanzia Juni 3 hadi 5, 2026, ambapo atafanya mazungumzo rasmi na Rais wa nchi hiyo, Vladimir Putin, pamoja na kushiriki katika Jukwaa la Kimataifa la Uchumi la St. Petersburg (SPIEF 2026). Hii ni ziara ya kwanza ya...
  12. X

    JamiiForums Tanzania BBC: "Watengenezaji wa magari duniani wanapata shida kushindana na China"

    Baada ya BBC kutembelea viwanda vya magari ya umeme Beijing na Hefei kisha ikatembelea Beijing Auto Show 2026, maonyesho makubwa zaidi ya magari duniani: "China imepiga hatua kubwa ya kiteknolojia, ubunifu, ufanisi na kasi ya maendeleo inayovutia na kutisha kwa wakati mmoja. Kiasi kwamba hata...
  13. C

    JamiiForums Tanzania Nimesoma mahali, kuna mwaka BBC walidanganya watu kwenye sikukuu ya wajinga

    Walidanganya watu kwa kupitia watangazaji wao maarufu, walitangaza kwamba kuna sehemu watu wanavuna Tambi, Walielezea kwa kina kilimo cha Tambi kiasi kwamba ma milioni ya wasikilizaji wakaanza kupiga simu kuulizia jinsi ya kupanda tambi nyumbani kwao. Hii inaonyesha jinsi ambavyo watu...
  14. 5

    JamiiForums Tanzania BBC: Meli zashambuliwa Hormuz, nyengine zageuza baada ya onyo la Iran

    Inaonekana US hawako tayari kwa maridhiano, mlango ulifunguliwa rasmi lakin US wakaendelea kupaki meli zao huko bahari kuu sasa umefungwa tena rasmi.
  15. M

    JamiiForums Tanzania BBC LAWAMANI

    Dkt. Marandi wa Iran alisema "BBC ni mbaya sana, mbaya sana." Mmoja wa waandishi wao wa habari alidai Wairani wanataka silaha za nyuklia zitumike dhidi yao.
  16. M

    JamiiForums Tanzania Waandishi wa bbc swahili hawapati kumuuliza maswali trump?

    Waandishi wa bbc swahili hawapati kumuuliza maswali trump? Karibu mwezi sasa wanaandika habari za Trump 1. Ndani ya siku 1 wataingamiza Iran 2. Ndani ya siku 10, mara wiki 2, mara siku 5, mara siku 30 Yaani ukisoma page yao ukiamka ndio habari hizo tu. Jee hawapati ya kumuuliza maswali? Huyo...
  17. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Wanajeshi wa Urusi waliiambia BBC: 'Tulishuhudia wenzetu wakiuawa kwa amri ya makamanda wetu'

    Dima anasema alishuhudia askari mwenzake akiuawa kwa amri ya moja kwa moja ya kamanda wake. Dima anasema alishuhudia askari mwenzake akiuawa kwa amri ya moja kwa moja ya kamanda wake. Maelezo kuhusu taarifa Onyo: Taarifa hii ina maelezo ya vurugu iliyokithiri na marejeleo ya kujiua...
  18. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Inadaiwa umoja wa mataifa umeitaka mamlaka ya Tanzania imuachie Lissu mara moja kutokana na habari zinazosambazwa na BBC, DW

    Inadaiwa umoja wa mataifa umeitaka mamlaka ya Tanzania imuachie Lissu mara moja kutokana na habari zinazosambazwa na BBC, DW Vyombo hivi vimekuwa viki ripoti habari zote ya kinacho endelea mahakamani na inaonesha kwamba kesi ni ya uongo hali ambayo imechochea shinikizo la kimatifa kutaka Lissu...
  19. USSR

    JamiiForums Tanzania BBC Swahili imekuwa too cheap hadi kuchapisha ishu za dodoso la Lissu kule mahakamani, what went wrog ?

    Ili heshimika kama chombo kikubwa cha kidunia kikiangazia ishu kubwa kubwa za kidunia na kikanda tangu ihamishiwe Kenya imekuwa garasa hadi kuhoji vitu vya kitoto kama ndoa na mahusinanaleo ukurasa mzima ni maswali ya lisu na shahidi. Kweli? Leo BBC ni kulipiza ishu za kina Hilder na Boni yai...
  20. Digaller

    JamiiForums Tanzania Tovuti ya BBC Swahili imefungiwa Tanzania

    Najaribu kuperuzi wavuti wa BBC Swahili ila siwezi kuufikia, Nimejaribu mara kadhaa bila mafanikio ila baada ya kutumia vpn nimeweza kuufikia. Swali kwa TCRA: Je mmefungia baada ya repoti ya BBC eye au?
Back
Top Bottom