Mapato ya Zanzibar yafikia shilingi bilioni 2874, sawa na trilioni 2.874 kwa mwaka. Tanzania Bara tunayo ya kujifunza kutoka Zanzibar

fundimchundo

JF-Expert Member
Jul 23, 2010
609
898
Rais wa Zanzibar, Dr. Mohamed Shein, ameeleza kuwa mapato ya Zanzibar kwa mwaka yamefikia Tanzania Shillings Bilioni 2874, sawa na Trilioni 2.874.

Taarifa hii inaonyesha waziwazi kuwa Tanzania Bara tukijifunza kutoka Zanzibar, mapato ya Mikoa yetu inaweza kuongeza mapato yake ya ndani kwa kiwango cha kutosha, na kuifanya nchi yetu kuwa ya Uchumi wa Kati kimapato.

Idadi ya watu katika mikoa yote mitano ya Zanzibar inalingana na idadi ya watu katika mkoa mmoja mmoja ya Tanzania Bara.

Kama kila mkoa utakuwa na mapato kama Zanzibar, au zaidi, nchi yetu itakuwa kwenye njia sahihi ya kuboresha maisha yetu.
 
Taarifa yako inaukweli sehemu ya Zanzibar kukusanya Tsh2T+ kwa mwaka basi. Ila kwenye kulinganisha mikoa ya Tz bara na Zanzibar hapo taarifa imejaa unafiki na upotoshaji. Huwezi ukasema mkoa kama wa kigoma,Geita,Simiyu na n.k idadi ya watu kila mkoa heti ni sawa na idadi ya watu wote Zanzibar.

Harafu kitu kingine umeshindwa kutambua vitu vinavyochangia mapato kuongezeka. Nikutoe tu ushamba kuwa idadi ya watu haichangii Sana kuongezeka kwa mapato Bali vyanzo vya uchumi ndo vinafanya uchumi kuongezeka.

Taarifa yako Ni nyepesi Sana haina hoja za kiuchumi kabisaa.
 
Kasomee uchumi kwanza ndo uje uanze kupuyanga hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli anatoa mada akiwa haelewi ulinganifu wake. Hata mikoa inatofauti ya njia za uchumi, wengine utegemea kodi ya kuingiza na kutoa mizigo, kituo cha biashara za jumla wanunuzi toka nje na ni center ya biashara uwezi linganisha mapato ya ushuru wa mazao ya kilimo na biashara ndogo ndogo.
 
Rais wa Zanzibar, Dr. Mohamed Shein, ameeleza kuwa mapato ya Zanzibar kwa mwaka yamefikia Tanzania Shillings Bilioni 2874, sawa na Trilioni 2.874.

Taarifa hii inaonyesha waziwazi kuwa Tanzania Bara tukijifunza kutoka Zanzibar, mapato ya Mikoa yetu inaweza kuongeza mapato yake ya ndani kwa kiwango cha kutosha, na kuifanya nchi yetu kuwa ya Uchumi wa Kati kimapato.

Idadi ya watu katika mikoa yote mitano ya Zanzibar inalingana na idadi ya watu katika mkoa mmoja mmoja ya Tanzania Bara.

Kama kila mkoa utakuwa na mapato kama Zanzibar, au zaidi, nchi yetu itakuwa kwenye njia sahihi ya kuboresha maisha yetu.
Mkuu unaweza kuwa na hoja lakini zanzibar ina sovereignty yake tofauti na mikoa ya Tanzania bara hasa halmashauri. Mikoa kama Geita ikivuna rasilimali zote zinaenda dodoma kwanza ndio zinapangiwa kazi ya kufanya ila zanzibar licha ya udogo wa eneo au idadi sawa na mikoa yetu ila inajitegemea kiutawala hivyo ni rahisi kuretain mapato yake unayoona makubwa.

Mfano Halmashauri za huku bara ziliporwa kodi ya majengo ikaenda serikali kuu..... Gesi ya mtwara ni ya serikali sio halmashauri ya Mtwara n.k. kule kigoma ujiji halmashauri ilitaka kuingia MoU na mashirika ya nje kuwekeza miradi mbalimbali ya maendeleo ila yalitaka wasaini OGI ambayo serikali ya Tanzania ilijitoa. Mwisho wa siku mradi ukafa ila ingekua zanzibar jambo lingeamuliwa mara moja na baraza la wawakilishi na wangevuna hiyo miradi kuboost mapato ya ndani ila bara mpaka dodoma ndio iamue kwa niaba ya Halmashauri.

Suluhisho ili tuwe sawa ungesema sera ya ugatuzi wa majimbo Mtwara ijikamulie gesi yake na korosho.... Geita wavune dhahabu zao etc trust me kuna mikoa ingekua na mapato ya ndani makubwa kuliko hata hyo zanzibar kwa mbali sana ila ingekua na cost zake kwa mikoa ambayo bado haijawa na rasilimali za kutosha.
 
Rais wa Zanzibar, Dr. Mohamed Shein, ameeleza kuwa mapato ya Zanzibar kwa mwaka yamefikia Tanzania Shillings Bilioni 2874, sawa na Trilioni 2.874.

Taarifa hii inaonyesha waziwazi kuwa Tanzania Bara tukijifunza kutoka Zanzibar, mapato ya Mikoa yetu inaweza kuongeza mapato yake ya ndani kwa kiwango cha kutosha, na kuifanya nchi yetu kuwa ya Uchumi wa Kati kimapato.

Idadi ya watu katika mikoa yote mitano ya Zanzibar inalingana na idadi ya watu katika mkoa mmoja mmoja ya Tanzania Bara.

Kama kila mkoa utakuwa na mapato kama Zanzibar, au zaidi, nchi yetu itakuwa kwenye njia sahihi ya kuboresha maisha yetu.
Hizo hesabu hi za kupika na kudanganya kama makusanyo ndiyo hayo mbona Hali za wananchi ni za dhiki na Shida hakuna Shira mishahara dduni kuliko huko bara kuliko na utitiri wa watu na angalau mishahara Yao iko juu sana ukilinganisha na Zanzibar ndiye huyo huyo aliyesema ufaulu unapanda wakati shule za serikali Zanzibar ndizo zinaongozana mkiani.
 
Mkuu unaweza kuwa na hoja lakini zanzibar ina sovereignty yake tofauti na mikoa ya Tanzania bara hasa halmashauri. Mikoa kama Geita ikivuna rasilimali zote zinaenda dodoma kwanza ndio zinapangiwa kazi ya kufanya ila zanzibar licha ya udogo wa eneo au idadi sawa na mikoa yetu ila inajitegemea kiutawala hivyo ni rahisi kuretain mapato yake unayoona makubwa.

Mfano Halmashauri za huku bara ziliporwa kodi ya majengo ikaenda serikali kuu..... Gesi ya mtwara ni ya serikali sio halmashauri ya Mtwara n.k. kule kigoma ujiji halmashauri ilitaka kuingia MoU na mashirika ya nje kuwekeza miradi mbalimbali ya maendeleo ila yalitaka wasaini OGI ambayo serikali ya Tanzania ilijitoa. Mwisho wa siku mradi ukafa ila ingekua zanzibar jambo lingeamuliwa mara moja na baraza la wawakilishi na wangevuna hiyo miradi kuboost mapato ya ndani ila bara mpaka dodoma ndio iamue kwa niaba ya Halmashauri.

Suluhisho ili tuwe sawa ungesema sera ya ugatuzi wa majimbo Mtwara ijikamulie gesi yake na korosho.... Geita wavune dhahabu zao etc trust me kuna mikoa ingekua na mapato ya ndani makubwa kuliko hata hyo zanzibar kwa mbali sana ila ingekua na cost zake kwa mikoa ambayo bado haijawa na rasilimali za kutosha.
Unaongelea sera ya majimbo wewe.
 
Hii taarifa napingana nayo 100%. Budget ya Zanzibar haifikii hiyo hela wanayo claim wamekusanya. Ina maana unataka kutwambia Zanzibar inajitegemea ki budget na kuna surplus.katika.makusanyo?

Soma. habari kutoka THE CITIZEN hiyo hapo chini:

>Zanzibar’s budget up by 7.9pcThursday June 20 2019 Unguja. The Zanzibar Finance and Planning minister Mohamed Ramia Abdiwawa tabled the Sh1.419 Trillion before the House of Representative for the 2019/20 fiscal year, saying it was up from Sh1.315 trillion as compared to the 2018/19 budget, which is equivalent to 7.9 per cent increase. Zanzibar Finance and Planning minister Mohamed Ramia Abdiwawa BY Haji Mtumwa @TheCitizenTZ news@tz.nationmedia.com IN SUMMARY The budget of the Zanzibar Revolutionary Government (ZRG) for 2019/20 fiscal year has increased by 7.9 per cent from to Sh1.419.4 trillion in 2019/20 financial year from Sh1.315.1 trillion in 2018/19 fiscal year.
 

Attachments

  • Screenshot_20200113-223015.jpg
    Screenshot_20200113-223015.jpg
    52.5 KB · Views: 1
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom