Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,247
Mfadhili wa Zamani wa Simba na Mfanyabiashara wa Tanzania , Mnyaturu wa Singida , Azim Dewji , amekutana na Makamu mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu , katika kilichoitwa Kikao cha dharula , kilichofanyika kwenye Hotel moja ya Nyota 5 Jijini DSM .
Lissu na Dewji wamezungumza mengi likiwemo la Waandamanaji kuacha njia ili watu wengine wapite bila bughudha , Japo hili ni la Polisi zaidi lakini Tundu Lissu amelipokea .
Mengine yaliyozungumzwa hayatawekwa hadharani .