CCM MKAMBARANI
JF-Expert Member
- Mar 15, 2017
- 1,403
- 954
Tundu lissu anaeleka ACT wazalendo kujiandaa kuchukua nchi 2025, ninaamini kabisa kama Mungu akituruzuku uhai Lissu akiungana na akina Ismail Jussa, Lema, Babu Duni, Othman na vijana kama Nondo bila shaka CCM mkambarani kama mwanamikakati nitaachana na ccm na kuifuata ACT
Ninayasema haya baada ya kuridhika kuwa Lissu anaipenda sana Tanzania lkn kuna wanaotumika na wamagharibi kumbania nafasi yake, hali ya ushawishi wa Lissu ni kubwa na anachokosa ni sapoti kutoka visiwani.
Jambo hili likitimia ndani ya siku chache hizi basi tutatangaza kampeni kubwa kuhakikisha Lissu anakamata dola ili atusaidie.
Go Lissu go.
ACT ni mahala sahihi kwako.
Ninayasema haya baada ya kuridhika kuwa Lissu anaipenda sana Tanzania lkn kuna wanaotumika na wamagharibi kumbania nafasi yake, hali ya ushawishi wa Lissu ni kubwa na anachokosa ni sapoti kutoka visiwani.
Jambo hili likitimia ndani ya siku chache hizi basi tutatangaza kampeni kubwa kuhakikisha Lissu anakamata dola ili atusaidie.
Go Lissu go.
ACT ni mahala sahihi kwako.