maulid kitenge

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Bujibuji Simba Nyamaume

    Serikali imdhibiti Maulid Kitenge na kundi lake la wahuni wanaojiita Wasafi Jogging Group

    Huyu jamaa Kwa kutambua kwamba nchi Sasa Ina mbululaz wengi wanaojipendekeza Kwa watu maarufu huku wakijiita machawa akaanzisha kundi la kukimbia mchakamchaka barabarani. Mazoezi ni muhimu Kwa afya ya mwili na akili, lakini yasifanywe kihuni, yafanywe mahali sahihi na salama Kwa wafanya mazoezi...
  2. M

    Mbunge wa Viti Maalumu aolewa na Maulid Kitenge

    Mtangazaji nguli wa Michezo Maulid Kitenge amefunga ndoa na mbunge wa Viti Maalum Nusrat Hanje. Harusi hiyo iliyofanyika kwa usiri mkubwa katikati ya wiki iliyopita imeibua mjadala mkubwa kwa kile kinachodaiwa mtangazaji huyo mkongwe kutowaalika marafiki zake wa karibu ambapo watu saba tu ndio...
  3. Boss la DP World

    Maulid Kitenge punguza dharau Brother

    Si mara moja wala mara 2 unapokuwa ukiripoti matukio mbalimbali umekuwa ukitumia lugha za kejeli especially kwa watu wenye mawazo tofauti na yako. Hata kama unatekeleza kazi maalumu hupaswi kudharau watu. Haya, Endelea na lile jukumu letu.
  4. Pfizer

    Maulid Kitenge amepotosha. Dumila kuna tuta na alama ya barabarani

    Maulid Kitenge nilimsikia akitoa malalamiko aliyo dai ni ya wananchi na kuyaelekeza kwenye mamlaka ya barabara nchini-Tanroads, kuhusiana na maeneo ya Dumila kwambakuna tuta halina alama ya barabarani na kudai kwamba inahatarisha maisha ya watu wanaotumia usafiri wa moto wanaopita eneo hilo...
  5. Chachu Ombara

    Uchawa kwa DP World umemlipa Maulid Kitenge? Naona kavuta ndinga

    Nimekutana na picha ya ndinga ikiwa na jina la KITENGE, nikakumbuka siku za hivi karibuni Maulid Kitenge alikuwa busy kuipigia upatu kampuni ya DP World kuwekeza nchini. Akiwa na wenzake wawili Zembwela na Hando waliweza kusafiri mpaka Dubai ziliko ofisi kuu za kampuni hii. Je, uchawa umewalipa...
  6. Erythrocyte

    Maulid Kitenge adai kwamba watu wanaopinga kubinafsishwa kwa Bandari hawajawahi hata kufika Bandarini

    Bado haijafahamika hasa alikuwa analenga nini kama kutetea uuzwaji wa Bandari yeye ni mtetezi mkubwa sana na anafahamika, sasa huku alikoenda ambako ni kushambulia Wanaopinga Bandari zetu kuuzwa kwa Wadubai, kwa kudai kwamba wapingaji walipaswa kuwa wale tu waliowahi kufika bandarini kutazua...
  7. N

    Nani yupo Nyuma ya Wanahabari kwenye Sakata la Bandari? Au ni 'Uzalendo wao'?

    MAULIDI KITENGE NA WENZAKE WANAVYOWAPENDA WATANZANIA. Na Thadei Ole Mushi. Maulid Kitenge, Gerald Hando na Zembwela wakiwa nje ya Ofisi za makao makuu ya DP World kutuhabarisha manufaa ya DP World. Ni vijana wazalendo sana maana wametumia nauli zao, wamelipia hoteli kwa mishahara yao, na...
  8. M

    Napenda kujua elimu ya Maulid Kitenge, Gerald Hando na Zembwela

    Nimesukumwa kutaka kuwajua vema hawa watu baada ya kufuatilia mijadala wanayoiendesha katika vipindi. Juzi nilimsikia Kitenge akisoma Magazeti kwa bashasha lakini nikashangaa kuna neno la kiingereza likampa ugumu kulitamka na alivyo mjanja akapiga blaah blaah zingine ili kutoka hapo...
  9. Mnada wa Mhunze

    Huenda Maulid Kitenge ni wakala wa Mafisadi?

    Ukimfuatilia mlolongo wa matukio kadha wa kadha ya hivi karibuni lazima mwanzoni mwa picha utamushuhudia Kitenge akiwaandaa watu kisaikolojia. Mfano la Waarabu wa Loliondo na lile na Wamasai kule Ngorongoro Kitenge alitangulia kufanya kipindi cha kizushi. Hili la Bandari tena Kitenge huyohuyo...
  10. M

    Je, hii hama hama ya huku na kule ya Mtangazaji Maulid Kitenge ina Afya na Tija Kitasnia?

    EFM to Wasafi FM mara Wasafi FM to EFM mara tena EFM to Wasafi FM kulikoni? Maulid Kitenge tafuta Mfadhili mkubwa ufungue Media yako Kubwa hii hama hama inashusha Value yako kwani ni kama Mwanamke asiyetulia na Ndoa yake au na Bwana / Mume Mmoja aliye sahihi.
  11. Teko Modise

    Maulid Kitenge na Ushamba wa Pods zake katika ibada ya Umra

    Ndugu zetu waislam, huyu jamaa sasa mshaurini akiwa katika ibada apunguze kukengeuka na ushamba wake usiomuisha. Kwenye inada ya Umra huko Mecca ameonekana akiwa airpods zake. Huu sasa ni ushamba mzee wetu Kitenge.
  12. GENTAMYCINE

    Mtangazaji wa EFM Radio Maulid Kitenge acha Dharau na Sanifu zako kwa wana EFM Jogging Club wako

    "Wengine wameondoka na basi jana na huenda kwa sasa bado wako njiani kufika Mkoani Mwanza ili sisi wengine na Jitu la Mitumba tunaondoka kwa Ndege tu na tutafika kabla yao na Kesho tutakimbia pamoja kisha nitakwea tena Pipa na Kurejea zangu Dar es Salaam" alisema Mtangazaji Maulid Kitenge leo...
  13. M

    Majizo na EFM Radio yako huu Utangazaji wa Kinafiki na Majungu wa Watangazaji Maulid Kitenge na Twalib Muwa utaiponza Radio yako

    Haiwezekani Watangazaji wako hawa Maulid Kitenge na Twalib Muwa ambao si tu ni Mashabiki wa Yanga SC bali pia ni Wanachama wa Yanga SC kila wakiwa pamoja Hewani katika Kipindi cha Sports Headquarters cha EFM Kazi yao ni Kuisakama Simba SC, Kuinanga, Kuidhalilisha na Kuichokonoa ili mradi tu...
  14. GENTAMYCINE

    Mtangazaji Maulid Kitenge wa EFM unapata wapi uhalali wa Kukicheka Kiingereza hafifu cha Kocha wa Simba SC wakati Wewe ndiyo hukijui kabisa?

    Kitenge nina uhakika pamoja na kwenda Kwako Ulaya / Marekani / Asia kila mara tukikuweka Wewe na Kocha wa Simba SC Mbrazil Roberto Olivieira bado atakuzidi na humuwezi hivyo tunakushangaa Kumkejeli Kocha Olivieira hewani kama ufanyavyo sasa. Hakuna asiyejua kuwa Wabrazil Lugha yao Mama ni...
  15. GENTAMYCINE

    Huyu ndiyo Maulid Kitenge anayeshangaa Simba SC Kubebwa na Ratiba ya Ligi, ila hashangai Yanga SC yake Kutwa Kubebwa na Waamuzi Viwanjani

    Maulid Kitenge labda nikusaidie leo hakuna ambacho kinafanyika kwa Simba SC hakijawahi au hakifanyiki kwa Yanga SC sema tu kwakuwa una Umasikini wa Fikra (Upeo) hili huwezi Kulijua. Haya Maulid Kitenge kwakuwa leo hapo Sports Headquarters ya EFM ukiwa kama Boss Wao (Sports Department) umekuja...
  16. M

    Kiwango cha elimu cha Maulid Kitenge?

    Mwenye kujua kiwango cha juu kabisa cha Elimu ya Mtangazaji Nguli Maulid Mbaraka Kitenge atujuze. NB: Hapa usitaje elimu ya dini, nazungumzia elimu hii ya dunia.
  17. saidoo25

    Maulid Kitenge wa E-FM amvaa Mwigulu kuhusu Deni la Taifa. Maswali ni mengi kuliko majibu, kulikoni?

    MTANGAZAJI Maarufu nchini Maulid Baraka Kitenge amemtaka Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Lameck Nchemba kujitokeza hadharani na kujibu hoja zinazohusu Mikopo kwani sasa Deni limefikia Trilioni 91 na walipaji ni sisi wananchi tunataka majibu "tunazungumza na wewe Mwigulu kama taifa haya maswali ni...
  18. saidoo25

    Hando aungana na Ndugai kupinga Serikali inavyokopa kopa ovyo

    MTANGAZAJI maarufu na Mchambuzi maarufu wa Siasa za Tanzania, Gerald Hando ameweka wazi msimamo wake kutokubaliana na utaratibu wa Serikali inavyokopa poka hovyo na kusisitiza kuwa uamuzi wa Job Ndugai kuzungumzia mikopo haukuwa mbaya na hakupaswa kujiuzulu. "Hakuna kibaya alichokisema Ndugai...
  19. M

    Video: Maulid Kitenge yuko Qatar kikazi ama kula bata?

    Nauliza tu yuko Qatar kikazi ama kuponda raha? Na nani anagharamikia hizi anasa? Isije kuwa tu ni kodi zetu.
  20. GENTAMYCINE

    Mtangazani Maulid Kitenge wa EFM na wa Redio zingine msiache Kuisifia Unbeaten Record ya Yanga SC iliyoishia rasmi leo

    Yaani kama Simba SC na Argentina zinafungwa tena zikiwa na Nyota wao akina Chama na Messi Wewe Yanga SC ni Nani Usifungwe? Kudadadeki. Wana Yanga SC Wote mlioko hapa JamiiForums jiandae Kunichukia GENTAMYCINE kuanzia sasa (leo) na tukutane hapa hapa baadae Saa 4 Kamili Usiku.
Back
Top Bottom