Katika vitu ambavyo vimeniacha mdomo wazi ni taarifa ya Rais Samia akihutubia bunge, kwamba kukua kwa deni la taifa hakutokani tu na mikopo anayoomba yeye peke yake, bali fedha madeni mengine ni mikopo iliyoombwa na maraisi wa awamu zilizopita.
Kwa maneno mengine ni kwamba, katika kipindi...
Akihitimisha mjadala wa Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa mwaka 2025/26 Juni 24 bungeni jijini Dodoma, Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba alifafanunua kuhusu deni la Taifa akisema wanakosoa deni hilo kupanda wasijikite kwenye wingi wa fedha, bali waangalie matumizi.
Dk Maigulu...
Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka wananchi kutopata hofu kuhusu deni la Taifa pale linapotangazwa, kwani deni hilo lina sehemu kubwa inayoenda kwenye upande wa kampuni binafsi na wala si Serikali inayotakiwa kulipa.
Dkt. Nchemba amesema hayo bungeni jijini Dodoma wakati...
Wakati deni la Taifa lizidi kupaa, baadhi ya wataalamu wa uchumi wameonya kuhusu matumizi ya fedha za mikopo, wakitaka Serikali iwekeze nguvu kudhibiti upotevu wa mapato kabla ya kufikiria kuongeza wigo wa mapato.
Soma> Serikali: Deni la taifa lafikia Tsh. Trilioni 107 ikiwa ni ongezeko la...
Kwa sasa nchi yetu inakusanya takribani Trilioni 2.0- 2.7 kwenye makusanyo yake ya kila mwezi kwa mujibu wa takwimu za TRA.
Wakati huo huo deni la Taifa limefikia Trilioni 107 plus interest hivyo kupelekea kila mwezi nchi yetu kutakiwa kulipa kiasi cha Trilioni 1.4 mpaka 1.7 kulipia deni la...
Nimemskia rais samia akisema kuwa ufaransa wapo tayari kuendelea kutupa mikopo zaidi kwa maendeleo ya nchi yetu. Mpaka sasa deni la taifa limeshavuka trillion 107 na bado tunaambiwa nchi yetu itaendelea kukopa kwa sababu deni la nchi bado ni stahimilivu. Najiulizaga maswali mengi sana juu ya...
"Hadi kufikia Aprili 2025 deni la Serikali limefikia shilingi trilioni 107.70 ikilinganishwa na shilingi trilioni 91.7Machi mwaka 2024. Hili ni ongezeko la shilingi trilioni 16. sawa na 17.23% kutoka mwaka wa Fedha uliopita. Ambapo Deni la Nje ni Trilioni 72.94 na Deni la Ndani ni Trilioni 34.76...
Kuna malalamiko juu ya ufumkaji wa deni la taifa ambalo kimsingi si la taifa bali la CCM. Napendekeza tutangaze kukopa na kubomu kuwa sera za taifa kwa sababu tunakopesheka na tunatumia tunavyotaka. Hata hivyo, tukumbuke. Kukopa harusi na kulipa matanga. Najisemea tu.
Mojawapo wa wageni wa kwanza kabisa kualikwa nchini Zaire (DRC ya sasa) na Laurent Kabila, baada ya kumwondosha Mobutu Seseseko kama raisi, alikuwa mwalimu Julius Nyerere. Alikubali mwaliko huo. Kipindi hicho wala hakuwa Raisi wa Tanzania, alikuwa ameshang'atuka.
Sasa katika moja ya hotuba...
Kwa nilivyomsikia Tundu Lissu jana akitema madini kwa ufasaha wa hali ya juu na akili iliyotulia bila hata papara huku akiwa anaishi na kuteswa Gerezani na namna nilivyomsikia Rais Samia leo akimsema vibaya mbunge wa CCM Luhaga mpina kwa namna alivyosimama kutetea maslahi ya wananchi wake...
Wakuu amani ya Bwana ikawe juu yenu wanajf popote mlipo .
Leo sina mengi wakuu ,ila nataka majibu toka kwenu.
Deni la Taifa leo ni T 100 plus ,ila yule mnafiki anasema kama watz tusiwe na wasiwasi. Why tusiwe na wasiwasi wakati walipa deni ni sie wananchi kupitia kodi zetu?
Wasiwasi kwanza...
Hii inaleta tafsiri gani?
Mbona hizo pesa nyingi zinazokopwa mbona hazileti mzunguko wa pesa mitaani ili kusisimua uchumi wa taifa.
Tembelea biashara za mama ntilie, wafanyabiashara wadogo wadogo , kwenye mabaa na vilabu vya pombe za kienyeji hali ni ngumu.
Hii dhahiri kuwa tunakopa matrilion...
Takribani miaka minne toka Rais mrithi wa awamu ya tano B apokee kijiti baada ya kifo cha aliyekuwa Rais na mtawala wa Tanzania John Pombe Magufuli.
Kipindi cha miaka minne ya mwisho ya Awamu ya Tano B chini ya Rais aliyepatikana kwa mujibu wa katiba,tumeona mambo mengi makubwa...
Wadau hili jambo linatia hasira sana pamoja na kuogopesha kabisa. Raisi atakayeipokea hii nchi atakuwa na wakati mgumu sana.
Kabla ya kusomwa hii bajeti Chadema walipigwa stop kwa sababu wangeeneza habari hizi kwa wananchi nakuwatia uchungu mkubwa sana. Maana hata matumizi yake hayaeleweki...
Kuna watu wanaitwa 'ECONOMIC HITMEN". Hawa ni wataalamu wa uchumi wa mataifa ya Ulaya, Uarabuni, na Taifa la Marekani ambao kazi yao Pekee ni kujenga urafiki wa karibu na Marais na watawala wa nchi za Africa na America ya Kusini.
Baada ya kujenga urafiki na ukaribu na Marais pamoja na...
Kwa thamini yangu haya ndo mambo yanayapelekea deni la taifa liwe kubwa.
1. Ukosefu wa ueledi wa viongozi wetu. Maana viongozi wengi Wana upeo ndogo kwenye maswala ya kiuchumi.
2.Rushwa imekishamili sana kwenye Sekta mbalimbali za serikali hakuna mradi wa serikali ambapo unafanyika bila Rushwa...
Habari watanzania wenzangu,
Jioni ya leo ningependa tujadili suala hili la deni letu kwa heshima,unyenyekevu,busara na hekima tulizo jaaliwa na Mwenyezi Mungu (mwingi wa rehma mwenye kurehemu).
Kwanza napenda kuipongeza serikali yetu kwa kuliweka wazi kwetu sote.
USHAURI WANGU.
1. Uandaliwe...
Habari za mchana.
Leo nimepata nafasi ya kusikiliza hotuba ya bajeti toka kwa Waziri. Pamoja na deni la Taifa kuendelea kukua, hii itupe ishara kwamba tunaenda uelekeo usio sahihi. Sijui ni kwa nini wananchi huku chini wanasononeka ila wakubwa huko juu wako kimya.
Kubwa ninalotaka kulisemea...
Watanzania wachache wanafuatilia kuhusu deni la Taifa na wamebaki na maswali mengi hasa deni hilo kupaa kutoka trilioni 50 hadi trilioni 107 kwa kipindi kifupi.
Ni vizuri serikali kupitia waziri wa fedha Dkt. Mwigulu akatoa orodha inayoonyesha taasisi zilizotukopesha, kiasi cha mkopo kwa kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.