deni la taifa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. S

    Rais Samia: Kukua kwa deni la taifa kunatokana pia na mikopo ya marais wa awamu zilizopita, sio yeye peke yake

    Katika vitu ambavyo vimeniacha mdomo wazi ni taarifa ya Rais Samia akihutubia bunge, kwamba kukua kwa deni la taifa hakutokani tu na mikopo anayoomba yeye peke yake, bali fedha madeni mengine ni mikopo iliyoombwa na maraisi wa awamu zilizopita. Kwa maneno mengine ni kwamba, katika kipindi...
  2. E

    Pamoja na ufafanuzi wa Dkt. Mwigulu, bado kuna shida kwenye deni la Taifa

    Akihitimisha mjadala wa Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa mwaka 2025/26 Juni 24 bungeni jijini Dodoma, Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba alifafanunua kuhusu deni la Taifa akisema wanakosoa deni hilo kupanda wasijikite kwenye wingi wa fedha, bali waangalie matumizi. Dk Maigulu...
  3. Waufukweni

    Mwigulu afafanua utofauti wa deni la Serikali na deni la Taifa

    Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka wananchi kutopata hofu kuhusu deni la Taifa pale linapotangazwa, kwani deni hilo lina sehemu kubwa inayoenda kwenye upande wa kampuni binafsi na wala si Serikali inayotakiwa kulipa. Dkt. Nchemba amesema hayo bungeni jijini Dodoma wakati...
  4. Roving Journalist

    Nini suluhisho la kudhibiti Deni la Taifa?

    Wakati deni la Taifa lizidi kupaa, baadhi ya wataalamu wa uchumi wameonya kuhusu matumizi ya fedha za mikopo, wakitaka Serikali iwekeze nguvu kudhibiti upotevu wa mapato kabla ya kufikiria kuongeza wigo wa mapato. Soma> Serikali: Deni la taifa lafikia Tsh. Trilioni 107 ikiwa ni ongezeko la...
  5. Lord Denning

    Kwa deni la Taifa lilipofikia, CCM Wakilazimisha kufanya Uchaguzi bila Reforms, Kati ya 2026-2029 Tanzania inaanguka kiuchumi rasmi

    Kwa sasa nchi yetu inakusanya takribani Trilioni 2.0- 2.7 kwenye makusanyo yake ya kila mwezi kwa mujibu wa takwimu za TRA. Wakati huo huo deni la Taifa limefikia Trilioni 107 plus interest hivyo kupelekea kila mwezi nchi yetu kutakiwa kulipa kiasi cha Trilioni 1.4 mpaka 1.7 kulipia deni la...
  6. The Burning Spear

    Angalia jinsi CCM wanavyochezea hela zetu hapa lazima deni la taifa lifike trilion 107

    GT Jioneeni wenyewe, msisahau.na matamasha kule mwanza na simiyu pesa inachezewa kama haina mwenyewe.
  7. T

    Deni la taifa linalipwa na nani

    Nimemskia rais samia akisema kuwa ufaransa wapo tayari kuendelea kutupa mikopo zaidi kwa maendeleo ya nchi yetu. Mpaka sasa deni la taifa limeshavuka trillion 107 na bado tunaambiwa nchi yetu itaendelea kukopa kwa sababu deni la nchi bado ni stahimilivu. Najiulizaga maswali mengi sana juu ya...
  8. Just Pray

    Mchinjita: Kasi ya ongezeko deni la taifa chini ya Rais Samia haijawahi kutokea tangu nchi yetu ipate uhuru

    "Hadi kufikia Aprili 2025 deni la Serikali limefikia shilingi trilioni 107.70 ikilinganishwa na shilingi trilioni 91.7Machi mwaka 2024. Hili ni ongezeko la shilingi trilioni 16. sawa na 17.23% kutoka mwaka wa Fedha uliopita. Ambapo Deni la Nje ni Trilioni 72.94 na Deni la Ndani ni Trilioni 34.76...
  9. The Father of All

    Napendekeza kukopa na kuombaomba ziwe sera za taifa ili tuzidi kupaa kuliko hata Marekani

    Kuna malalamiko juu ya ufumkaji wa deni la taifa ambalo kimsingi si la taifa bali la CCM. Napendekeza tutangaze kukopa na kubomu kuwa sera za taifa kwa sababu tunakopesheka na tunatumia tunavyotaka. Hata hivyo, tukumbuke. Kukopa harusi na kulipa matanga. Najisemea tu.
  10. S

    Unajua kwa nini Mobutu wa Zaire (DRC) alipoondoshwa madarakani Nyerere alimshauri Laurent Kabila akatae kulipa deni la taifa la Zaire?

    Mojawapo wa wageni wa kwanza kabisa kualikwa nchini Zaire (DRC ya sasa) na Laurent Kabila, baada ya kumwondosha Mobutu Seseseko kama raisi, alikuwa mwalimu Julius Nyerere. Alikubali mwaliko huo. Kipindi hicho wala hakuwa Raisi wa Tanzania, alikuwa ameshang'atuka. Sasa katika moja ya hotuba...
  11. Lord Denning

    Hitimisho langu! Kwa nilivyomsikia Lissu jana na nilivyomsikia Samia leo, Acha tu nchi izidi kuwa masikini na deni la taifa lizidi kuongezeka

    Kwa nilivyomsikia Tundu Lissu jana akitema madini kwa ufasaha wa hali ya juu na akili iliyotulia bila hata papara huku akiwa anaishi na kuteswa Gerezani na namna nilivyomsikia Rais Samia leo akimsema vibaya mbunge wa CCM Luhaga mpina kwa namna alivyosimama kutetea maslahi ya wananchi wake...
  12. 4

    Kama unalipa deni na kukopa lazima litakua linapungu ,kwa nini deni la Taifa linapaa bila kupungua, tupeni majibu

    Wakuu amani ya Bwana ikawe juu yenu wanajf popote mlipo . Leo sina mengi wakuu ,ila nataka majibu toka kwenu. Deni la Taifa leo ni T 100 plus ,ila yule mnafiki anasema kama watz tusiwe na wasiwasi. Why tusiwe na wasiwasi wakati walipa deni ni sie wananchi kupitia kodi zetu? Wasiwasi kwanza...
  13. M

    Deni la Taifa limefikia Tril 107 lakini hali ya maisha ya watanzania wa hali yanazidi kuwa mabaya.

    Hii inaleta tafsiri gani? Mbona hizo pesa nyingi zinazokopwa mbona hazileti mzunguko wa pesa mitaani ili kusisimua uchumi wa taifa. Tembelea biashara za mama ntilie, wafanyabiashara wadogo wadogo , kwenye mabaa na vilabu vya pombe za kienyeji hali ni ngumu. Hii dhahiri kuwa tunakopa matrilion...
  14. sammosses

    Deni la taifa limefura hakuna Mtanzania atakeyegongewa mlango kulilipa

    Takribani miaka minne toka Rais mrithi wa awamu ya tano B apokee kijiti baada ya kifo cha aliyekuwa Rais na mtawala wa Tanzania John Pombe Magufuli. Kipindi cha miaka minne ya mwisho ya Awamu ya Tano B chini ya Rais aliyepatikana kwa mujibu wa katiba,tumeona mambo mengi makubwa...
  15. The Burning Spear

    Ni Ngumu kuamini ndani ya miaka 4 deni la Taifa limeongezeka kwa 50%. Aisee Kazi tunayo

    Wadau hili jambo linatia hasira sana pamoja na kuogopesha kabisa. Raisi atakayeipokea hii nchi atakuwa na wakati mgumu sana. Kabla ya kusomwa hii bajeti Chadema walipigwa stop kwa sababu wangeeneza habari hizi kwa wananchi nakuwatia uchungu mkubwa sana. Maana hata matumizi yake hayaeleweki...
  16. PSPA Pundit

    Wafahamu "Economic Hitmen" na jinsi wanavyoharibu Uchumi wa nchi

    Kuna watu wanaitwa 'ECONOMIC HITMEN". Hawa ni wataalamu wa uchumi wa mataifa ya Ulaya, Uarabuni, na Taifa la Marekani ambao kazi yao Pekee ni kujenga urafiki wa karibu na Marais na watawala wa nchi za Africa na America ya Kusini. Baada ya kujenga urafiki na ukaribu na Marais pamoja na...
  17. K

    Sabubu za kuongezeka deni la taifa

    Kwa thamini yangu haya ndo mambo yanayapelekea deni la taifa liwe kubwa. 1. Ukosefu wa ueledi wa viongozi wetu. Maana viongozi wengi Wana upeo ndogo kwenye maswala ya kiuchumi. 2.Rushwa imekishamili sana kwenye Sekta mbalimbali za serikali hakuna mradi wa serikali ambapo unafanyika bila Rushwa...
  18. Daraja2

    Deni la Taifa (Tanganyika na Zanzibar)

    Habari watanzania wenzangu, Jioni ya leo ningependa tujadili suala hili la deni letu kwa heshima,unyenyekevu,busara na hekima tulizo jaaliwa na Mwenyezi Mungu (mwingi wa rehma mwenye kurehemu). Kwanza napenda kuipongeza serikali yetu kwa kuliweka wazi kwetu sote. USHAURI WANGU. 1. Uandaliwe...
  19. Raia Fulani

    Kuhusu Bajeti Kuu, mmesikia tu deni la Taifa na ufafanuzi wa bajeti ya Tr 56?

    Habari za mchana. Leo nimepata nafasi ya kusikiliza hotuba ya bajeti toka kwa Waziri. Pamoja na deni la Taifa kuendelea kukua, hii itupe ishara kwamba tunaenda uelekeo usio sahihi. Sijui ni kwa nini wananchi huku chini wanasononeka ila wakubwa huko juu wako kimya. Kubwa ninalotaka kulisemea...
  20. S

    Serikali iwe wazi deni la Taifa, waziri atoe orodha ya waliotukopesha na kiasi walichotukopesha na muda wa kulipa

    Watanzania wachache wanafuatilia kuhusu deni la Taifa na wamebaki na maswali mengi hasa deni hilo kupaa kutoka trilioni 50 hadi trilioni 107 kwa kipindi kifupi. Ni vizuri serikali kupitia waziri wa fedha Dkt. Mwigulu akatoa orodha inayoonyesha taasisi zilizotukopesha, kiasi cha mkopo kwa kila...
Back
Top Bottom