Barabara , kajenga Mama
Dpw kawaleta Mama
Flyover.... mama
Mwendokasi...mama
Shirika la ndege la Zanzibar, Mama
Watalii kuongezeka kwa wingi licha ya Tanapa kutokutoa gawio zuri kama inavyopambwa... ni Mama, sjui wanampiga tu huko, mi sijui
Ngorongoro kote kule ni Mama
Deni kalipaisha kwa...
Tangu tuanze siasa za uchawa nchini, kila kitu kinachonasibiwa ni cha kimaendeleo kinaitwa cha mama. Sasa kwanini wanaCCM wanakunja ndita tukisema hili ni deni la mama?
DENI LA TAIFA
Naomba kutoa hoja hii tafakarishi kwa mustakabali wa nchi yetu.
Naomba tuwapime viongozi wetu katika ukuaji wa uchumi wa nchi ukilinganisha na ongezeko la deni.
Tulinganishe ukuaji wa deni kati ya awamu ya Nne ya JK (miaka 10) na awamu hizi mbili za JPM na SSH.
Wakati JK anaingia...
Kumekuwa na utamaduni wa kila pesa ya taifa inapotumika kwa maendeleo inasemwa ni pesa ambayo mama yetu ametoa kama fadhila kwa wananchi wake anaowapenda.
Lakini pia umeonekana kuwa, kumbe sehemu kubwa ya hizo pesa ambazo mama yetu anazitoa huwa anakopa na mwisho hubakia kuwa deni la taifa...
Kuna vitu na mambo ukiyatafakari yanaumiza na kutia hasira mnoo.
Hii nchi ina laana?
Nini logic ya deni la taifa kuzidi kuongezeka kwa speed ya ajabu kuliko kipindi kingine chochote na wakati huo huo uwezo wetu wa kinchi kuwa na mapato na kukua kiuchumi ukielezwa kuwa juu kuliko kipindi kingine...
"Mama hana deni" kwa hiyo sisi ndo tuna deni?. Hizi hela zinazokopwa na kuambiwa sisi Wananchi ndo tunadaiwa huwa zinaenda wapi jamani, mkeka wa matumizi ya fedha kwenye miradi hauwekwi wazi tunaambiwa tu kuna miradi imefanyika. Tunataka kujua ni shing ngapi zimetumika?
Kufikia Machi 2025...
Kutoka kwa Prof. Kitila akiwa bungeni muda huu amesema,
Hadi kufikia Machi 2025, deni la Taifa lilifikia Sh107.7 trilioni kutoka Sh91.7 trilioni katika kipindi kama hicho mwaka 2024 ikiwa ni sawa na ongezeko la asilimia 14.9.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila...
Architect wa ukuaji wa haraka sana wa deni la Taifa mpaka navyoongea ni hayati John pombe Magufuli- alianzisha miradi mikubwa kama ya reli, na kununua ndege kwa kisingizio ni fedha zetu na sio mkopo ilihali ilikuwa ni mikopo
Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina amesema kasi ya ukuaji wa deni la Taifa unatia shaka. Amedai mashaka hayo pia yanaletwa na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba kufuatia kutopeleka Bungeni taarifa ya pesa za mikopo zilizopokelewa na namna zilivyotekeleza miradi.
Ameongeza:
"Deni la Serikali katika...
If foreign markets don’t trust the US gov’t debt instruments what gov’t do they trust more.
1. United States.
• GDP (2023, nominal): ~$25.5 trillion (world’s largest economy).
• National Debt (2023): ~$31.4 trillion
• Debt-to-GDP Ratio: ~123% (2023).
2. Japan
• GDP (2023, nominal): ~$4.2...
Wakati Bunge la 12 linaendelea na linaelekea mwishoni nina hoja moja ya msingi Kwa wabunge wote wa bunge hili hata wale wa bunge la 13 hasa wakati huu ambao kila nchi duniani inajifikiria yenyewe na watu wake tu, Kimsingi ubinafsi unazidi kumea sana duniani.
Waheshimiwa wabunge, nimeyasikia...
Wanabodi,
Suala la serikali mbalimbali kukopa fedha kwenye taasisi za fedha kama vile benki ya dunia au IMF halijaanza leo na wala halitaisha hivi karibuni. Katika dunia ya sasa, inaaminika kwamba mikopo ni njia mojawapo inayoweza kutumiwa na serikali yoyote katika kuendeleza miradi yake na...
Waziri anatumia hadi mfano wa deni la songesha ili kuelezea deni la serikali, hahah patam hapo.
"Acha nianzie na songesha mana mimi huwa nasongesha, nini maana ya kukopa? Kukopa ni pale ambapo una matumizi ambayo ni makubwa ama ni ya ghafla kutokana na kipato chako, kwahiyo unaamua kusongesha...
Kuna kitu hapa nimeelezwa kama ujanja fulani unaofanyika ambao kama ni kweli basi Tanzania bara tuna kila sababu ya kupiga kelele.
Nimeambiwa hii mikopo mingi tunayomshangilia mama, kimsingi ni kwa ajili ya kuwainua Zanzibar. Inasemwa kila mkopo unaochukuliwa na Tanzania, Zanzibar lazima...
.. Ukweli Ni Kwamba Deni La Taifa,ni deni la kinachoitw Tanzania,kwa Muktadha wa deni la Taifa la Tanzania,
Ikumbukwe Zanzibar wana Deni lao kama Zanzibar mwaka jana lilikuwa Trillion moja tu
Hivi karibun CAG wa Zanzibar watasoma report ya Zanzibar na Wazanzibar kuhusu deni lao la Taifa La nchi...
deni la taifa mpaka sasa limekishwa kufikia asirimia 97 ambayo ni sambamba na sifa za mchi zisizo weza kukopesheka kwa baadae kama tu halito rejeshwa kwa wakati.
nini sababu za kukua kwa deni hilo. kuna sababu kadha wa kadha, na miongoni mwake ni kama;
01 Rais kukosa washauri wazuri na...
Mkurugenzi wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC), David Kafulila amesema serikali inavuta mitaji kutoka sekta binafsi kwasababu kodi na mikopo hayatoshi kufikia matarajio ya wananchi.
Katika mazungumzo maalum na The Chanzo Machi 29,2025, Kafulila amesema deni la...
Makamu mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Stephen Wasira amesema nchi inakopa kwa ajili ya kufanya mambo tukayoishi nayo na faida zake zitakuwepo kwa miaka mingi kwa kizazi cha sasa na hata kijacho.
Amesema deni lililopo la Sh. trioni 97 sio kwamba lote limekopwa na Rais Dk. Samia Suluhu...
wananchi masikini wanahangaika ila mabeberu wapo bize kununua magari ya milioni mia nne ++ wakiendelea kula rushwa na kurundika madeni nchini, mwisho wa siku wanaachia ngazi na madeni yakushiba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.