maulid

Mawlid (Arabic: مَولِد‎, romanized: Mawlid, lit. 'Birth [of Muhammad]'), is the observance of the birthday of the Islamic prophet Muhammad which is commemorated in Rabi' al-awwal, the third month in the Islamic calendar. 12th Rabi' al-awwal is the accepted date among most of the Sunni and Shia scholars, while few Shia scholars regard 17th Rabi' al-awwal as the accepted date.The history of this celebration goes way back to the early days of Islam when some of the Tabi‘un began to hold sessions in which poetry and songs composed to honour Muhammad were recited and sung to the crowds. It has been said that the first Muslim ruler to officially celebrate the birth of Muhammad in an impressive ceremony was Muzaffar al-Din Gökböri (d. 630/1233). The Ottomans declared it an official holiday in 1588,
known as Mevlid Kandil.
The term Mawlid is also used in some parts of the world, such as Egypt, as a generic term for the birthday celebrations of other historical religious figures such as Sufi saints.Most denominations of Islam approve of the commemoration of Muhammad's birthday; however, with the emergence of Wahhabism-Salafism, Deobandism and Ahl-i Hadith, many of the followers of these movements began to disapprove its commemoration, considering it an illicit religious innovation (bid'ah or bidat). Mawlid is recognized as a national holiday in most of the Muslim-majority countries of the world with the exception of Saudi Arabia and Qatar. Some non-Muslim majority countries with large Muslim populations such as India also recognise it as a public holiday.

View More On Wikipedia.org
  1. Bujibuji Simba Nyamaume

    Serikali imdhibiti Maulid Kitenge na kundi lake la wahuni wanaojiita Wasafi Jogging Group

    Huyu jamaa Kwa kutambua kwamba nchi Sasa Ina mbululaz wengi wanaojipendekeza Kwa watu maarufu huku wakijiita machawa akaanzisha kundi la kukimbia mchakamchaka barabarani. Mazoezi ni muhimu Kwa afya ya mwili na akili, lakini yasifanywe kihuni, yafanywe mahali sahihi na salama Kwa wafanya mazoezi...
  2. M

    Mbunge wa Viti Maalumu aolewa na Maulid Kitenge

    Mtangazaji nguli wa Michezo Maulid Kitenge amefunga ndoa na mbunge wa Viti Maalum Nusrat Hanje. Harusi hiyo iliyofanyika kwa usiri mkubwa katikati ya wiki iliyopita imeibua mjadala mkubwa kwa kile kinachodaiwa mtangazaji huyo mkongwe kutowaalika marafiki zake wa karibu ambapo watu saba tu ndio...
  3. Erythrocyte

    Freeman Mbowe awatakia Maulid njema Waislam Wote .

    Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe , ambaye anajulikana pia kama Ustaadh Aboubakar Mbowe , amejitokeza hadharani kushiriki pamoja na Watukufu Waislam Mawlid al Nabi , ambayo ni maadhimisho ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad S.A .W Ujumbe wake huu hapa
  4. Boss la DP World

    Maulid Kitenge punguza dharau Brother

    Si mara moja wala mara 2 unapokuwa ukiripoti matukio mbalimbali umekuwa ukitumia lugha za kejeli especially kwa watu wenye mawazo tofauti na yako. Hata kama unatekeleza kazi maalumu hupaswi kudharau watu. Haya, Endelea na lile jukumu letu.
  5. Pfizer

    Maulid Kitenge amepotosha. Dumila kuna tuta na alama ya barabarani

    Maulid Kitenge nilimsikia akitoa malalamiko aliyo dai ni ya wananchi na kuyaelekeza kwenye mamlaka ya barabara nchini-Tanroads, kuhusiana na maeneo ya Dumila kwambakuna tuta halina alama ya barabarani na kudai kwamba inahatarisha maisha ya watu wanaotumia usafiri wa moto wanaopita eneo hilo...
  6. Mohamed Said

    Historia ya Maulid Hassan na Julius Nyerere Namtumbo 1955

    HISTORIA IMEMSAHAU MZALENDO HUYU MAULID HASSAN Imeandikwa na Kizito Mpangala Anapatikana Wilaya ya Namtumbo, Mkoa wa Ruvuma. Ni kamanda mwenye umri wa miaka 90 sasa. Maulid Hassan ni anayestahili kutunzwa vema. Maulid Hassan anatajwa kuwa alimficha Mwalimu Julius Nyerere kwa muda wa saa...
  7. Maghayo

    Hizi jeuri za fedha Maulid Kitenge anazitoa wapi?

    Mzuka wanajamvi! Huyu Mwamba Mungu amtangulie. Hizi jeuri za pesa na matanuz anazitoa wapi? Ikumbukwe kuna lindi la umaskini katika jamii yetu. Na hulka ya mtu mweusi ni chuki, uchawi, fitina, umbea na majungu. Punguzeni hizi jeuri na jazba Maulid asidhanu tunafurahi kutanua na kula bata...
  8. Chachu Ombara

    Uchawa kwa DP World umemlipa Maulid Kitenge? Naona kavuta ndinga

    Nimekutana na picha ya ndinga ikiwa na jina la KITENGE, nikakumbuka siku za hivi karibuni Maulid Kitenge alikuwa busy kuipigia upatu kampuni ya DP World kuwekeza nchini. Akiwa na wenzake wawili Zembwela na Hando waliweza kusafiri mpaka Dubai ziliko ofisi kuu za kampuni hii. Je, uchawa umewalipa...
  9. Erythrocyte

    Maulid Kitenge adai kwamba watu wanaopinga kubinafsishwa kwa Bandari hawajawahi hata kufika Bandarini

    Bado haijafahamika hasa alikuwa analenga nini kama kutetea uuzwaji wa Bandari yeye ni mtetezi mkubwa sana na anafahamika, sasa huku alikoenda ambako ni kushambulia Wanaopinga Bandari zetu kuuzwa kwa Wadubai, kwa kudai kwamba wapingaji walipaswa kuwa wale tu waliowahi kufika bandarini kutazua...
  10. M

    Napenda kujua elimu ya Maulid Kitenge, Gerald Hando na Zembwela

    Nimesukumwa kutaka kuwajua vema hawa watu baada ya kufuatilia mijadala wanayoiendesha katika vipindi. Juzi nilimsikia Kitenge akisoma Magazeti kwa bashasha lakini nikashangaa kuna neno la kiingereza likampa ugumu kulitamka na alivyo mjanja akapiga blaah blaah zingine ili kutoka hapo...
  11. Mnada wa Mhunze

    Huenda Maulid Kitenge ni wakala wa Mafisadi?

    Ukimfuatilia mlolongo wa matukio kadha wa kadha ya hivi karibuni lazima mwanzoni mwa picha utamushuhudia Kitenge akiwaandaa watu kisaikolojia. Mfano la Waarabu wa Loliondo na lile na Wamasai kule Ngorongoro Kitenge alitangulia kufanya kipindi cha kizushi. Hili la Bandari tena Kitenge huyohuyo...
  12. U

    Ukweli ni kuwa Masanja ana uzoefu na mkali kuliko Maulid na Hando

    Kwenye sekta ya habari labda Masanja hajafanya sana, lakini sote tukikumbuka enzi ya ze comedy tutakumbuka Masanja ndo alikuwa msoma habari mkubwa na alivutia mamilioni ya watanzania kuliko Maulid ama Hando ambavyo wamewahi kufanya Kwa wakati wote. Masanja kwenye magazeti akichanganya na...
  13. M

    Je, hii hama hama ya huku na kule ya Mtangazaji Maulid Kitenge ina Afya na Tija Kitasnia?

    EFM to Wasafi FM mara Wasafi FM to EFM mara tena EFM to Wasafi FM kulikoni? Maulid Kitenge tafuta Mfadhili mkubwa ufungue Media yako Kubwa hii hama hama inashusha Value yako kwani ni kama Mwanamke asiyetulia na Ndoa yake au na Bwana / Mume Mmoja aliye sahihi.
  14. Teko Modise

    Maulid Kitenge na Ushamba wa Pods zake katika ibada ya Umra

    Ndugu zetu waislam, huyu jamaa sasa mshaurini akiwa katika ibada apunguze kukengeuka na ushamba wake usiomuisha. Kwenye inada ya Umra huko Mecca ameonekana akiwa airpods zake. Huu sasa ni ushamba mzee wetu Kitenge.
  15. GENTAMYCINE

    Mtangazaji wa EFM Radio Maulid Kitenge acha Dharau na Sanifu zako kwa wana EFM Jogging Club wako

    "Wengine wameondoka na basi jana na huenda kwa sasa bado wako njiani kufika Mkoani Mwanza ili sisi wengine na Jitu la Mitumba tunaondoka kwa Ndege tu na tutafika kabla yao na Kesho tutakimbia pamoja kisha nitakwea tena Pipa na Kurejea zangu Dar es Salaam" alisema Mtangazaji Maulid Kitenge leo...
  16. M

    Majizo na EFM Radio yako huu Utangazaji wa Kinafiki na Majungu wa Watangazaji Maulid Kitenge na Twalib Muwa utaiponza Radio yako

    Haiwezekani Watangazaji wako hawa Maulid Kitenge na Twalib Muwa ambao si tu ni Mashabiki wa Yanga SC bali pia ni Wanachama wa Yanga SC kila wakiwa pamoja Hewani katika Kipindi cha Sports Headquarters cha EFM Kazi yao ni Kuisakama Simba SC, Kuinanga, Kuidhalilisha na Kuichokonoa ili mradi tu...
  17. GENTAMYCINE

    Huyu ndiyo Maulid Kitenge anayeshangaa Simba SC Kubebwa na Ratiba ya Ligi, ila hashangai Yanga SC yake Kutwa Kubebwa na Waamuzi Viwanjani

    Maulid Kitenge labda nikusaidie leo hakuna ambacho kinafanyika kwa Simba SC hakijawahi au hakifanyiki kwa Yanga SC sema tu kwakuwa una Umasikini wa Fikra (Upeo) hili huwezi Kulijua. Haya Maulid Kitenge kwakuwa leo hapo Sports Headquarters ya EFM ukiwa kama Boss Wao (Sports Department) umekuja...
  18. M

    Kiwango cha elimu cha Maulid Kitenge?

    Mwenye kujua kiwango cha juu kabisa cha Elimu ya Mtangazaji Nguli Maulid Mbaraka Kitenge atujuze. NB: Hapa usitaje elimu ya dini, nazungumzia elimu hii ya dunia.
  19. saidoo25

    Maulid Kitenge wa E-FM amvaa Mwigulu kuhusu Deni la Taifa. Maswali ni mengi kuliko majibu, kulikoni?

    MTANGAZAJI Maarufu nchini Maulid Baraka Kitenge amemtaka Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Lameck Nchemba kujitokeza hadharani na kujibu hoja zinazohusu Mikopo kwani sasa Deni limefikia Trilioni 91 na walipaji ni sisi wananchi tunataka majibu "tunazungumza na wewe Mwigulu kama taifa haya maswali ni...
  20. M

    Video: Maulid Kitenge yuko Qatar kikazi ama kula bata?

    Nauliza tu yuko Qatar kikazi ama kuponda raha? Na nani anagharamikia hizi anasa? Isije kuwa tu ni kodi zetu.
Back
Top Bottom