Search results

  1. JokaKuu

    Mtaalam atoa elimu ya kuotesha miche ya michungwa

    ..Mtaalamu anaeleza hatua kwa hatua namna bora ya kuotesha miche ya Michungwa. ..Nadhani maarifa haya ni nadra kuyapata kwingine.
  2. JokaKuu

    John Mnyika atiwa msukosuko na Kamati ya Bunge. Nyaraka za mapendekezo yake zakaguliwa kabla ya kuwasilishwa. Baadhi ya nyaraka zimezuiliwa!

    ..Hicho ndicho alichokutana nacho Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika alipokwenda Bungeni kuwasilisha mapendekezo ya chama chake. ..Msikilize hapa chini akieleza kilichomtokea alipofika Bungeni. https://www.youtube.com/watch?v=A7tp2deYb-w
  3. JokaKuu

    Maoni na mapendekezo ya Mabaraza ya Maaskofu kuhusu Tume Huru na Sheria ya vyama vya siasa haya hapa

    ..Maoni ya CCT / Non-Catholic Churches. https://www.youtube.com/watch?v=2ou_i8vl-Tk
  4. JokaKuu

    Sikiliza Mabishano yaliyoibuka kati ya Msemaji wa Bavicha na Mwenyekiti Kamati ya Bunge wakati wa uwasilishaji

    ..huyu Dada wa Chadema kwanza yuko very confident and composed. ..kitu cha ajabu ni kwamba maoni aliyokuwa akiyatoa Mwakilishi wa Bavicha yanafanana na yaliyotolewa na watoa maoni wengine kama CCT, na TEC. Tatizo limekuja baada ya maoni hayo kutolewa na Bavicha na Mwenyekiti akaanza kubishana...
  5. JokaKuu

    Uchaguzi serikali za mitaa ufanyike 2026. Je, kuna madhara yoyote?

    Je, haiwezekani kuahirisha uchaguzi wa serikali za mitaa mpaka 2026? Hii itawezesha uchaguzi huo kusimamiwa na Tume Mpya Huru ya Uchaguzi badala ya Tamisemi. Nadhani Watanganyika tusiwaige Wazanzibari kufanya chaguzi zote kwa wakati mmoja. Nchi yetu ni kubwa sana ukilinganisha na Zanzibar.
  6. JokaKuu

    Uwekezaji wa DP-World ni USD 250 milioni ni mdogo kuliko "kishika uchumba" cha Barrick USD 300 milioni

    Watanzania sijui akili zetu zikoje. Kwanini hatujui thamani halisi ya rasilimali zetu? Dpw wameahidi kuwekeza usd 250 mil na kuchukua bandari yetu. Na fedha hizo sio kama wanawekeza kwa mkupuo, bali ni kwa miaka kadhaa. Tanzania kama nchi hatushindwi kupata kiasi hicho cha fedha. Hata...
  7. JokaKuu

    Kwanini makada na mashabiki wa CCM hawachangii chochote kuhusu Katiba Mpya? Kamati Kuu ya CCM ilishawapa ruhusa kujadili.

    ..CCM walitoa tangu kwamba wanakubali mchakato wa Katiba Mpya uanze. ..Lakini tangu chama kitoe tamko hilo sijawasikia makada wa CCM wakitoa maoni au mapendekezo kuhusu nini wanachokitaka ktk Katiba Mpya. ..Ukimya huu wa CCM unaashiria nini?
  8. JokaKuu

    Tundu Lissu atembelea kaburi la Balozi Christopher Kasanga Tumbo. Asema Taifa likijitambua Kasanga Tumbo atajengewa mnara kwa ushujaa wake

    ..Lissu amefanya jambo kubwa sana kuitembelea familia ya Balozi Kasanga Tumbo. ..sijui ni wangapi wanajua Balozi Christopher Kasanga Tumbo ni nani. ..Na kwanini Tundu Lissu ameamua kutembelea mahali alipozikwa Kasanga Tumbo.
  9. JokaKuu

    Prof. Kitila Mkumbo: Ushauri wa Kishujaa umesababisha Tanzania ishtakiwe katika Mahakama za Kimataifa. Wasomi wetu waliwadanganya Viongozi

    Prof. Kitila Mkumbo anadai Tanzania imeshtakiwa na makampuni ya madini, na mashauri hayo yanapelekea serikali kuingia hasara. Prof anadai Wasomi walitoa ushauri ili kuwafurahisha viongozi badala ya kuwaambia ukweli kuhusu madhara ya kuvunja mikataba ya kimataifa.
  10. JokaKuu

    "Meya" Boni Jacob: "Polisi wafuate sheria na katiba, sio kauli za watawala au wanasiasa."

    ..Boni Jacob amezungumzia mambo mbalimbali kuhusu haki, siasa, katiba, na sheria. ..mojawapo ya mambo aliyoyatilia msisitizo ni jeshi la Polisi kuheshimu sheria na katiba badala ya kutekeleza maelekezo batili ya watawala na wanasiasa. ..fuatilia mahojiano yake na GlobalTv hapa chini.
  11. JokaKuu

    Mpambano/ Mahojiano kati ya Chief Odemba na Tundu Lissu

    Fuatilia jinsi Chief Odemba alivyomchachafya Tundu Lissu.
  12. JokaKuu

    Prof. Wajackoya: Raila Odinga amenituma niwaombe msamaha CHADEMA

    Wakili Mwanaharakati Prof. Wajackoya amesema ametumwa na Mzee Raila Odinga kuwaomba msamaha Chadema. Mtakumbuka Raila Odinga alikuwa rafiki mkubwa wa Chadema, lakini urafiki huo uliingia mushkel wakati wa utawala wa awamu ya 5. Mzee Raila Odinga alifumba macho na masikio wakati rafiki zake wa...
  13. JokaKuu

    Zitto Kabwe: Katika ndege 12 alizonunua Hayati Magufuli, ndege 6 hazifanyi kazi, ziko grounded, zina kutu, ingawa tuliambiwa ni mpya

    Zitto ametoa tuhuma nyingi dhidi ya Hayati Magufuli na utawala wake. Mojawapo ni hiyo ya ndege 6 alizonunua Hayati Magufuli kuwa grounded wakati tuliambiwa ni ndege mpya. Nasubiri kusikia kama Serikali au ATCL watakanusha tuhuma hizi. Majibu ya ATCL, soma ATCL: Ndege mbili zina shida ya...
  14. JokaKuu

    Charles Kimei: Vunjo tunaanza upya. Katika awamu ya 5 kulikuwa hakuna ushirikiano na Serikali. Mrema na Mbatia hakuwaleta maendeleo Vunjo

    ..ni mahojiano na Dar24. Dkt. Kimei ametoa tuhuma nzito dhidi ya Augustino Mrema, na James Mbatia, ambao ni watangulizi wake. Lakini ktk kutoa tuhuma hizo Dkt. Kimei pia ameituhumu Serikali ya awamu ya 5 kwa kulitenga kimaendeleo jimbo la Vunjo. Nadhani Dkt. Kimei ana mushkeli kidogo ktk...
  15. JokaKuu

    Mfugaji wa Mbuzi wa Maziwa anayepaswa kuigwa

    Kwa kweli sijaona mfugaji wa mbuzi wa maziwa anayefanya vizuri kama huyu mfugaji aliyeko Uganda. fuatilia program hapo chini.
  16. JokaKuu

    Je, nini kingemtokea Lissu kama Naibu Balozi asingeingilia kati?

    Nadhani wengi mmesikia kuhusu tukio la Lissu kutekwa akiwa nje ya Ubalozi baada ya uchaguzi mkuu. Sasa Naibu Balozi wa Ujerumani aliyemchomoa Lissu toka kwa watekaji wake ni huyo anayeonekana ktk video. Je, bila huyu Mama nini kingemtokea Tundu Lissu? Je, tungekuwa naye leo hii? Unaweza...
  17. JokaKuu

    Tundu Lissu: Msimamo wangu kuhusu vita vya Ukraine unafanana na msimamo wa Mwalimu Nyerere wakati wa vita vya Soviet Union na Czechoslovakia 1968

    Lambert alimuuliza Lissu swali la kushtukiza kuhusu msimamo wake kuhusiana na vita ya Drc na Ukraine kama angebahatika kuwa Raisi. Lissu alijibu kwa kifupi kuhusu Drc kwamba suluhisho ni kuunganisha nguvu za nchi majirani ili kupata amani nchini humo. Kuhusu vita vya Ukraine Lissu aliibua hoja...
  18. JokaKuu

    Hapa ndipo Area D, Dodoma. Na hili ndilo geti lililoachwa wazi na walinzi kutokomea siku Lissu aliposhambuliwa

    Hapo chini kuna video inayoonyesha makazi ya Area D. Hususan ni hilo geti na nyumba ya walinzi ambao tunaambiwa siku ya tukio hawakuonekana. Hakuna video yoyote nyingine inayoonyesha eneo hilo kama hii hapa chini.
  19. JokaKuu

    Mbowe: Ccm imeufanya mkoa wa Tanga kuwa kama shamba la bibi.

    ..Mbowe na ujumbe wake wamefika mkoani Tanga kufanya shughuli za uenezi wa chama. ..Pamoja na mambo mengine Mbowe amezungumzia hali ngumu ya uchumi mkoani Tanga na nchi nzima na jinsi inavyochangiwa na utawala mbaya wa Ccm. Mwisho amewataka wananchi wa Tanga kukataa mkoa wao kuwa kama "shamba...
Back
Top Bottom