Prof. Wajackoya: Raila Odinga amenituma niwaombe msamaha CHADEMA

Prof. Wajackoya: Raila Odinga amenituma niwaombe msamaha CHADEMA

JokaKuu

Platinum Member
Joined
Jul 31, 2006
Posts
37,544
Reaction score
70,593
Wakili Mwanaharakati Prof. Wajackoya amesema ametumwa na Mzee Raila Odinga kuwaomba msamaha Chadema.

Mtakumbuka Raila Odinga alikuwa rafiki mkubwa wa Chadema, lakini urafiki huo uliingia mushkel wakati wa utawala wa awamu ya 5.

Mzee Raila Odinga alifumba macho na masikio wakati rafiki zake wa Chadema wakipita ktk bonde la uvuli wa mauti wakati wa utawala wa JPM.

Msikilize Prof. Wajackoya akiwasilisha ujumbe wa Mzee Raila kuwaomba msamaha wana-Chadema ktk mkutano wa kumkaribisha nyumbani Mh. Godbless Lema.
 
Mnajuaga kujifariji sana aisee!..

Yaani laana zenu ziache kufanya kazi nchini kwetu, ziende kwa majirani.

Kwa hiyo nanyi mna laana ya asili inayowazuia kushika dola? [emoji1787]
Natamani ungeusoma uzi ule ambao niliuandika baada ya matokeo ya Uchaguzi wa kenya , sijui wameuweka jukwaa la Kimataifa au la Kenya
 
Kitendo cha Raila kuunga mkono Udikteta na unyama wa Magufuli kiliwaogopesha Wakenya , wakaona hawawezi kuchagua mateso , wakachagua BOTTOM UP
Mpuuzi kama wewe aliyempinga JPM ataandamwa na laana hata kwa kizazi chake chote
 
Wakili Mwanaharakati Prof. Wajackoya amesema ametumwa na Mzee Raila Odinga kuwaomba msamaha Chadema.

Mtakumbuka Raila Odinga alikuwa rafiki mkubwa wa Chadema, lakini urafiki huo uliingia mushkel wakati wa utawala wa awamu ya 5.

Mzee Raila Odinga alifumba macho na masikio wakati rafiki zake wa Chadema wakipita ktk bonde la uvuli wa mauti wakati wa utawala wa Jpm.

Msikilize Prof. Wajackoya akiwasilisha ujumbe wa Mzee Raila kuwaomba msamaha wana-Chadema ktk mkutano wa kumkaribisha nyumbani Mh. Godbless Lema.

www.youtube.com/watch?=grTyZZUCMLY
Ameona dikteta kafa ndiyo anaomba msamaha, mbona hakuomba msamaha kipindi yupo hai?
 
Mnajuaga kujifariji sana aisee!..
Yaani laana zenu ziache kufanya kazi nchini kwetu, ziende kwa majirani.
Kwa hiyo nanyi mna laana ya asili inayowazuia kushika dola? 🤣
Aisee vp? kwani huoni laana ilivyotafuna na inavyoendelea kutafuta. Jini mkuu yuko mavumbini chattle, Vijukuu vyake saa baya yuko wanamkula mgongo lupango, Makonda the hermaphrodite anajificha kama dig dig. Bashiru maji ya mtungi mtu aliyewakuwa malyamungu wa muuaji, pole pole etc Acha Mungu aitwe Mungu bhana laana imejiexport kenya !!
 
Mnajuaga kujifariji sana aisee!..
Yaani laana zenu ziache kufanya kazi nchini kwetu, ziende kwa majirani.
Kwa hiyo nanyi mna laana ya asili inayowazuia kushika dola? 🤣
Laana zetu zilitwaa uhai wa Jiwe, umesahau hili ?
 
Back
Top Bottom