Uwekezaji wa DP-World ni USD 250 milioni ni mdogo kuliko "kishika uchumba" cha Barrick USD 300 milioni

JokaKuu

Platinum Member
Jul 31, 2006
30,441
55,018
Watanzania sijui akili zetu zikoje.

Kwanini hatujui thamani halisi ya rasilimali zetu?

Dpw wameahidi kuwekeza usd 250 mil na kuchukua bandari yetu.

Na fedha hizo sio kama wanawekeza kwa mkupuo, bali ni kwa miaka kadhaa.

Tanzania kama nchi hatushindwi kupata kiasi hicho cha fedha.

Hata kishika uchumba cha Barrick tulichokuwa tunakidharau ni usd 300 mil.

Pia sisi wenyewe tulishafanya uwekezaji mkubwa wa kuboresha bandari ambao ni zaidi ya fedha alizoahidi Dpw.

Kwa habari zaidi fuatilia link hapo chini.

 
..Watanzania sijui akili zetu zikoje.

..Kwanini hatujui thamani halisi ya rasilimali zetu?

..Dpw wameahidi kuwekeza usd 250 mil na kuchukua bandari yetu.

..Na fedha hizo sio kama wanawekeza kwa mkupuo, bali ni kwa miaka kadhaa.

..Tanzania kama nchi hatushindwi kupata kiasi hicho cha fedha.

..Hata kishika uchumba cha Barrick tulichokuwa tunakidharau ni usd 300 mil.

..Pia sisi wenyewe tulishafanya uwekezaji mkubwa wa kuboresha bandari ambao ni zaidi ya fedha alizoahidi Dpw.

..kwa habari zaidi fuatilia link hapo chini.

Tanzania kama nchi hatushindwi kupata kiasi hicho cha fedha.

..Hata kishika uchumba cha Barrick tulichokuwa tunakidharau ni usd 300 mil.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi hatuwezi kitu cho chote. Kama unabisha nitajie kitu kimoja tu ambacho unaweza kusema kweli hapa tumeweza. Na tatizo letu kuu ni ufisadi. So sad!
Wakuu wa mashirika wanaandaliwa au kupendekezwa ili yule anaempigia debe achaguliwe, na yeye ale kupitia hapo, ama kwa kupata tenda bila vigezo, kuingiza bidhaa bila kodi, watoto wake waajiriwe, kupata mkopo nk
Hata wakurugenzi wa chini ya DG nao hupewa kwa mantiki hiyo so unakuta mfumo mzima upo kimaslahi.
 
..Watanzania sijui akili zetu zikoje.

..Kwanini hatujui thamani halisi ya rasilimali zetu?

..Dpw wameahidi kuwekeza usd 250 mil na kuchukua bandari yetu.

..Na fedha hizo sio kama wanawekeza kwa mkupuo, bali ni kwa miaka kadhaa.

..Tanzania kama nchi hatushindwi kupata kiasi hicho cha fedha.

..Hata kishika uchumba cha Barrick tulichokuwa tunakidharau ni usd 300 mil.

..Pia sisi wenyewe tulishafanya uwekezaji mkubwa wa kuboresha bandari ambao ni zaidi ya fedha alizoahidi Dpw.

..kwa habari zaidi fuatilia link hapo chini.

Soma vizuri link, hawaekezi bandari yote, bandari ya Dar, ina berth 12, wanawekeza 4 berths, tofautisha na kuwekeza na kuchukuwa. Kwa mfano aliyekodisha frem ya duka, amewekeza kwa mwenye nyumba, sio amechukua frem ni mali yake. Watanzania sio kila kitu tunapinga bila kutumia akili.
 
..Watanzania sijui akili zetu zikoje.

..Kwanini hatujui thamani halisi ya rasilimali zetu?

..Dpw wameahidi kuwekeza usd 250 mil na kuchukua bandari yetu.

..Na fedha hizo sio kama wanawekeza kwa mkupuo, bali ni kwa miaka kadhaa.

..Tanzania kama nchi hatushindwi kupata kiasi hicho cha fedha.

..Hata kishika uchumba cha Barrick tulichokuwa tunakidharau ni usd 300 mil.

..Pia sisi wenyewe tulishafanya uwekezaji mkubwa wa kuboresha bandari ambao ni zaidi ya fedha alizoahidi Dpw.

..kwa habari zaidi fuatilia link hapo chini.

We kafanye mambo yako huna unachoelewa.
 
..Watanzania sijui akili zetu zikoje.

..Kwanini hatujui thamani halisi ya rasilimali zetu?

..Dpw wameahidi kuwekeza usd 250 mil na kuchukua bandari yetu.

..Na fedha hizo sio kama wanawekeza kwa mkupuo, bali ni kwa miaka kadhaa.

..Tanzania kama nchi hatushindwi kupata kiasi hicho cha fedha.

..Hata kishika uchumba cha Barrick tulichokuwa tunakidharau ni usd 300 mil.

..Pia sisi wenyewe tulishafanya uwekezaji mkubwa wa kuboresha bandari ambao ni zaidi ya fedha alizoahidi Dpw.

..kwa habari zaidi fuatilia link hapo chini.

Usiwe na wasiwasi, hicho ni kianzio tuu!, umuhimu wa DPW na Bandari zetu sio just capital injection, ni technical know how za how to operate more efficiently and more profitably ambapo sisi wenyewe hatuwezi hata kama hizo fedha tunazo.
P
 
hivi ni kuna uhusiano wowote kati ya dikteta na miwani myeusi? kwa maana wote mafikteta huvaa miwani black …
 
Back
Top Bottom