Miche (pronounced MEE-chee) was the name of a fashion handbag Party Plan company, based in South Jordan, Utah, United States. Miche, LLC specialized in hand and shoulder bags based on a system of magnetic interchangeable bag covers (or Shells) and accompanying accessories. Products were available through independent sales representatives across America who marketed products via Miche Parties and personal websites. Distributors in many foreign countries also sold Miche and purchased products wholesale through the company.
Mpira ni kitu cha Duara hivyo unapotua chini ni sehemu ndogo tu ya mpira inagusa ardhi sehemu kubwa inakuwa hewani .
Kwa maana nyingine ukiwa upande mmoja unaweza ona mpira umevuka lakini ukiangalia kutoka juu ukawa bado haujavuka wote .
Na kwa maana rahisi ni kwamba VAR pia haiwezi kuwa...
Agri acress farm kutokea Morogoro mjini Tanzania wanakuletea huduma bora ya miche mbali mbali ikiwemo miche ya matunda, mbao, maua na migomba.
Wasiliana na mmoja wa wanna bustani kutoka Agri acress farm Morogoro na tuna kusafilishia moche yako Tanzania nzima popote ulipo. Piga simu au tuma...
Wapendwa wanna JF popote mlipo Tanzania karibuni mjipatie miche mbali mbali kutoka mkoani Morogoro na tuna kusafilishia popote ulipo Tanzania miche ipo ya kila aina na iko ya muda mfupi na ya muda mrefu pia
Miembe aina zote.
Parachichi aina zote za biashara na nyumbani.
Mipera iko...
Mimi ninaishi wilaya ya Temeke Dar es Salaam, ninahitaji kununua miche ya muda mfupi ya MACADEMIA, miche hiyo ipatikane Morogoro, Moshi na Dar es Salaam. Mnaomjua anayeiuza karibuni hapa uwanja ni wenu.
Habari wanajamii,
Natafuta Supplier wa miche ya miti ya mipaina kwa ajili ya kupanda kwenye shamba langu lililopo Mzenga Zegero, wilaya ya Kisarawe, mkoa wa Pwani.
Idadi ya miche inayohitajika ni takriban 5250 yenye urefu wa angalau futi moja.
Supplier aliye na utayari awasilishe ofa ya...
Mvua ndio hizo wadau, usiache shamba lako au nyumba yako ikae kinyonge tuone ''DANI GARDEN"
Tunauza Miche mbalimbali ya matunda kama miembe, mipera, michungwa, milimao, ndimu n.k yote imefanyiwa budding( ya muda mfupi).
Pia tunauza MAUA mbalimbali yakupendezesha nyumba yko bila kisahau miti...
Mbunge wa Jimbo la Ngara, Mhe. Ndaisaba George Ruhoro alishiriki zoezi la ugawaji wa Miche ya Kahawa lililofanyika Octoba 4, 2023 katika Kijiji cha Kashinga - Nyakisasa.
Miche hii ni matokeo mazuri ya Jitihada za Mhe. Mbunge katika kulikuza zao la Kahawa ili kuongeza mapato kwa Mkulima mmoja...
Wakuu kichwa habari kinasomeka, nimeamua kujikwamua kwa kuanza kutengeza sabuni za miche, changamoto kuu nayoipitia ni upatikanaji kwa malighafii hii kwa gharama kubwa hasa ya mafuta.
Kiasi kwamba faida nashindwa kuipata kabisa.
Msaada kwa yeyote mwenye kufahamu wapi naweza kupata mafuta haya...
Kutokana na Mabadiliko ya Tabia nchi, kumekuwepo na maeneo mengi sana ya nchi ambayo hupata mvua ndani ya mwezi na nusu tu na mvua hupotea mazima, au wanapata mvua miezi miwili pekee.
Arusha ni moja ya maeneo ambayo kwa miaka mitatu sasa wanapata mvua chini ya wastani na hivyo mazao hasa...
Hello!
Serikali imetangaza kugundua mbegu Bora za miche ya michikikichi uliofanywa na taasisi zake za Utafiti.
Hayo yalielezwa na Waziri Mkuu wakati wa uapisho wa viongozi na kumjulisha mh.Rais ugunduzi huo.
Tiririka
==========
PRIME Minister Kassim Majaliwa has revealed that research...
Makala hii imeandaliwa kwa lengo la kumkwamua mjasiriamli katika kutengeneza bidhaa mbalimbali za ujasiriamali itumie kujigunza kunatengeneza bila kufundishwa.
Kupitia program maalumu ya mafunzo kwa njia ya mtandao, watu wengi sana wamenufaika kupitia blog hii na wengi wamebadilisha maisha yao...
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja (Mb) amekagua mradi wa kitalu cha miche ya miti wenye thamani ya shilingi milioni 43 unaosimamiwa na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) katika Wilaya ya Magu Mkoani Mwanza.
Akizungumza leo Agosti 21, 2022 katika ziara, Masanja amewataka...
Habar zenu wadau
Wapi nitapata hizo mbegu au miche ya mchongoma kwa ajili ya kupanda kwenye kiwanja changu nataka niweke fance ya mti iyo iwe kama bustani kiwanja kimeshaanza msingi nataka ata nikihamia iwe tayar iyo bustan imeshakuwa kubwa.
Mnisamehe kwa uwandishi mbovu sio mzuri sana wa...
Unafikiria kuanzisha kitalu cha MICHE YA MITI?
•Hakikisha unatumia mbegu bora za miti.
•Unaandaa kitalu katika eneo salama.
•Udongo umechanganywa kwa uwiano sahihi.
•Nguvu kazi yenye ujuzi na weredi.
•Kuweka ulinzi kwa wanyama na wezi.
Haya yote utayapata #MitiSmart kwa ghalama nafuu na ubora...
Habari wadau. Nahitaji kupanda michongoma kama fensi kuzunguka eneo langu la kama ekari moja na nusu hivi.
Eneo liko mlandizi kama kuna mtu ana mbegu au miche naomba tuwasuliane pia naomba maoni ya namna Bora ya kupanda hii kama fensi.
Pia kama kuna mtu anajihusisha na haya mambo yuko tayari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.