August 2023 naenda New York City kushangaa Tu kwa siku kama 3 then nirudi zangu. Niko man alone, nishaurini accomodation cheapest hata kama ni shared accomodation poa tu ilimradi usalama.
Mimi naishi popote sitaki tu semehu zenye violence maana usalama Kwanza.
Asanteni wakulungwa.
Hili niliseme maana naona wengi wanafatilia mpira lakini hawalijui.
Mnyama Simba bado atapanda ndege. Amepelekwa kwenye CAF confederation cup yaani shirikisho kule ambako kina Azam na Biashara wametolewa.
Ukiwa mkubwa ni mkubwa tu. Maana watu wanaumia na kwa wale mashabiki wenzangu na mi...
Uki log in account yako ya HESLB utaona kama kuna masahihisho yoyote unatakiwa kufanya.
Mfano cheti cha kuzaliwa hakijawa verified Rita watakueleza verify then submit.
Mpaka dakika hii bado hawajawezesha button ya Ku resubmit document uliyokosea wanasema mpaka wiki ya kwanza ya October ndio...
Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge amesema kuna chanjo 15,000 za Uviko-19 hazijatumika mkoani humo huku kukiwa na changamoto kwa kuwa baada ya mwezi mmoja kuanzia leo Jumamosi Septemba 25, 2021 zitafikia mwisho wa matumizi yake.
Ameeleza kuwa mkoa umepata dozi 15,000 za chanjo ya...
Mungu atunusuru
Ni wapi? Mimi sijui exactly lakin huyo reporter anasema anareport toka MWASUNGUTI ukishatoka ISOKA karibu na CHINSALI...Wanaoelewa Geographia Yao watueleze ni wapi??? Mbeya nini hii au songwe ???!!
Msichana wa kwa ajili aje auze Duka la makasha ya simu na charger nk.
Awe anaishi kwao umbali wa kutembea tu karibu na pale PALM VILLAGE Mikocheni A ili mambo ya nauli yasiwepo.
Malipo kwa mwezi ni shs.100,000/- (laki moja Tu) kwa kuanzia.
contact 0628501029
Asanteni.
1) Eti sababu wachezaji kama nane wataitwa kwenye nchi zao kwa michezo ya kimataifa hivyo timu itameguka
2) Eti sababu kule kambi iliko joto Sana.
3) Eti tuna mechi wiki ya mwananchi na wale Wanigeria pia.
My take:
Waseme tu pesa imekata.
kwani walipoenda au kupanga kwenda huko hayo mambo...
Hii naamini ni settings tu
Nataka Simu nikitype message kwa Kiswahili nataka yale maneno automatically yawe saved ili next time nikitumia hayohayo kwenye kitype nichague tu
Aina ya simu Redmi
Nisaidieni.
Eid Mubarak!
Baada ya kuwanunulia nguo za Eid 😃sasa niwakati wa kutafuta sehemu ya kuwapeleka wanangu kutembea Leo hii siku ya Eid.
Naombeni sehemu ya kwenda maana nimechoka kila siku Coco beach tu bhana.
Asanteni
Balaa la UFC 259 ni zito. Light heavy weight Jumapili tarehe 7th March 2021
Ikumbukwe Israel Adesanya kijana ambae ni mzaliwa wa Nigeria lakini anaishi NewZealand amepanda weight class na kuingia light heavyweight na hili ni pambano lake la Kwanza tangu apande na anakutana na bingwa huyu mahiri...
Mwanangu 6 yr old girl anapenda sana michezo. Shule zetu hizi za ku cremisha cremisha hawajali Sana michezo. Je, wapi nitaweza kuwa nampeleka mwanangu kucheza hasa hasa baada ya school hours maana yeye anatoka saa nane mchana.
Tupo Tabata lakini nitajieni popote ndani ya Dar.
Michezo iko...
Niko TRA Vingunguti hapa baadhi ya watu wamevaa barakoa. Nasubiri aje Manager awaamrishe wazivue
Kwa nini sijawahi kushuhudia matukio isolated kama haya? Labda naweza react kitofauti. Adrenaline rush if you know what I mean.
Nina kaduka kangu sokoni. Nalipa kodi kama kawaida TRA kila mwaka.
Mapato ya mwaka officially yanajulikana ni less than 4 million a year.
Nauliza je na mimi natakiwa niwe na EFD MACHINE?
Nimeingia website ya TRA sijaona jibu zaidi ya hii statement ..." These offences shall not apply to a...
Pata updates za mechi hii ya friendly inayochezwa uwanja wa Taifa mapinduzi day 12/1/20121.
===
Both teams were using the game to prepare for the Chan competition to be held in Cameroon
Tanzania and DR Congo settled to a 1-1 draw in an international friendly game played at the Benjamin Mkapa...
Kuna shule ya msingi anasoma mwanangu. Nataka kujua km imesajiliwa au la meaning kua inatambulika na serekali.
Bado ni changa. Ina mpaka standard 3 kwa sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.