Hajataka kwenda google, katika akaunti za mitandao ya kijamii za simba(FB, Twitter, Instagram)Hivi simu yako inakusaidiaje kwenye inshu za taarifa mbalimbali?
Nenda msimbazi uwezi kupata online bila kuwa na kadi kwakua huna kadi utapata tiketi kwa shilingi elfu 5 na kadi shilingi elfu 1 jumla utapata tiketi kwa shilingi elfu 6 iyo kadi itakusaidia kipindi kingine wakitangaza online...kama haujaelewa ulizaNataka za online maana zina punguzo
Sasa haya ndio majibu nlokua natafta.Nenda msimbazi uwezi kupata online bila kuwa na kadi kwakua huna kadi utapata tiketi kwa shilingi elfu 5 na kadi shilingi elfu 1 jumla utapata tiketi kwa shilingi elfu 6 iyo kadi itakusaidia kipindi kingine wakitangaza online...kama haujaelewa uliza
Kwenye vituo hawauzi kadi tupu au tiketi tupu kwaio vyote lazma upate kwa pamojaSasa haya ndio majibu nlokua natafta.
Card naweza nisiipate sehemu nyingine zaidi ya pale msimbazi?
So card ni msimbazi tu mkuu?Kwenye vituo hawauzi kadi tupu au tiketi tupu kwaio vyote lazma upate kwa pamoja
Unapewa kadi na tiketi vituo vyoteSo card ni msimbazi tu mkuu?
Unamaanisha vituo vingine nitapewa card na nilipie na ticket hapo hapo?! Shega tu kama ni ivo,. Maana card tupu ntaipeleka wapi.
Naomba nieleweshe.
Hawa ndiyo wanatia aibu TaifaUnataka ukawaone wanavyotia Taifa aibu?