Mungu atunusuru View attachment 1943498
Na chama tawala kimewekeza kwenye umaskini wa akili ili kiendelee kubaki madarakani ivo ni ngumuOgopa sana umaskini wa akili. Yaani katika umaskini wote ogopa umaskini wa akili.
Hivi hiyo tank ya gari ina lita ngapi ? Hapo ni hasara kama shilingi ngapi?Mungu atunusuru View attachment 1943498
Mungu awasimamie wachote tuu bila madhara maana hakuna namna ya kuacha kugawana faida japo ni hasara kwa kampuniMungu atunusuru View attachment 1943498
Kama wale vigogo zaidi 3 wako kwenye kusimamisha uchumi wao kwanza, hawa wananchi wanapkamuliwa hadi kwenye tozo wafanye je?duuu