Tripo9
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 4,352
- 3,533
1) Eti sababu wachezaji kama nane wataitwa kwenye nchi zao kwa michezo ya kimataifa hivyo timu itameguka
2) Eti sababu kule kambi iliko joto Sana.
3) Eti tuna mechi wiki ya mwananchi na wale Wanigeria pia.
My take:
Waseme tu pesa imekata.
kwani walipoenda au kupanga kwenda huko hayo mambo hawakuya consider?
Jiisiiem mbona mnawatapeli uto jamani. Wameshaanza kushindwa kabla ya kushindana!
2) Eti sababu kule kambi iliko joto Sana.
3) Eti tuna mechi wiki ya mwananchi na wale Wanigeria pia.
My take:
Waseme tu pesa imekata.
kwani walipoenda au kupanga kwenda huko hayo mambo hawakuya consider?
Jiisiiem mbona mnawatapeli uto jamani. Wameshaanza kushindwa kabla ya kushindana!