Tripo9 JF-Expert Member Sep 9, 2009 4,352 3,533 Sep 4, 2022 #1 Naomba Msaada wa maswali ya written interview na oral ya Office assistant kwa serikalini. Natanguliza shukrani zangu
Naomba Msaada wa maswali ya written interview na oral ya Office assistant kwa serikalini. Natanguliza shukrani zangu
Mnongane JF-Expert Member Jan 10, 2014 255 351 Sep 4, 2022 #2 Watakuuliza nini maoni yako kuhusu tozo. Nawe unadhani kuna tozo gani imesahauliwa ili iingizwe kwenye mchahato. Mama unamuonaje anaupiga mwingi ama la.. Ukijibu vizuri maswali hayo basi umetoboa.
Watakuuliza nini maoni yako kuhusu tozo. Nawe unadhani kuna tozo gani imesahauliwa ili iingizwe kwenye mchahato. Mama unamuonaje anaupiga mwingi ama la.. Ukijibu vizuri maswali hayo basi umetoboa.