Msaada wa maswali ya written interview na oral ya Office assistant kwa serikalini

Tripo9

JF-Expert Member
Sep 9, 2009
4,352
3,533
Naomba Msaada wa maswali ya written interview na oral ya Office assistant kwa serikalini.
Natanguliza shukrani zangu
 
Watakuuliza nini maoni yako kuhusu tozo.

Nawe unadhani kuna tozo gani imesahauliwa ili iingizwe kwenye mchahato.
Mama unamuonaje anaupiga mwingi ama la..

Ukijibu vizuri maswali hayo basi umetoboa.
 
Back
Top Bottom