EllySkyWilly
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 2,204
- 2,083
Nikadirie tu mkuu.Una umri gani mkuu..?
Nikadirie tu mkuu.Una umri gani mkuu..?
Mkuu oktaba ni mwalimu mzuriAmini nakwambia magufuli anaweza kunyimwa kura hata na mke wake tu!!! Tena hao CCM wengi ndo watamchagua Lissu!!
We hujiulizi kwa nini magufuli ndani ya CCM tu alichapisha fomu moja tu ya kugombea uraisi??? Alijua hata CCM wenzake tu hawamtaki
Halafu njia aliyopita alvizia kwenye watu wengi akitegemea kupata washangiliaji njiani.Mwaka huu chadema wanakamilisha ratiba, mitandao ya kijamii wanaeneza fake images.
Mkuu tangia Magufuli aingie madarakani sijawahi kuwa na njaa.Huna Kazi, njaaaa nyingi
Unakaa kwa baba yako
Alafu unakua na tope kichwan kama hivi.
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Umeupata umri wanguuuUna umri gani mkuu..?
Tusipompa kura Magufuli tutampa nani sasa.Kweli vijana wa kisasa mna matatizo makubwa sana. Ukiwa na Akili tumimi timilifu huwezi kumpa Magufuli wala CCM kura yako.
1. Nyerere mkapa mwinyi na kikwete woote wamejenga mabwawa ya umeme
2.Nyerere kajenga Reli mwinyi pia kajenga.
3.Marais wote wamejenga viwanja vya ndege.
4.wote wamejenga barabara hospital nk nk
MAGUFULI ndio hopless kabisa hajafanya kitu chochote
Umeandika thread 'kivivu' Inaonyesha Ni mtu uliekosa matumaini na kukata tamaa na kulazimisha furaha iliyobebwa na uchungu!Haina ubishi kwamba Magufuli amefanya mambo makubwa sana katika Tanzania yetu
Uchumi wa kati sasa tumefika
Treni za umeme nazo zitafika
Tanzaniaaa say inasongaaa
Bwawa kubwa la umeme nalo linajengwa
Umeme wa uhakika nao tutapata
Magufuli ndiye kiongoziiiiiii
CCM number one.
Tanzania number one
Magufuliiiii number oneeeeee
Huyu ndiye kiongozi
mwenye msimamo
wala hayumbishwi
Mzalendo mcha Mungu na wapinzani wanajua kura watampa zoteee Magufuli number one ni Rais wa Africa.
ii imechukua muda sana kupata kiongozi
Ru Rushwa ilikisiri maadili mabaya kazini
Mwa mwamba Magufuli hayo yote katowesha.
He've made a history we never been at
Le let's join him, Magufuli ni Kiongozi
Le let's vote for him, Magufuli ndiye Rais.
Thread ipo ndani ya hiyo videoUmeandika thread 'kivivu' Inaonyesha Ni mtu uliekosa matumaini na kukata tamaa na kulazimisha furaha iliyobebwa na uchungu!
Lissu President!
Siku mama akikunyang'anya hako kasimu ka techno ndio utajua ulicho andika hapa ni upumbavu.Mkuu huo ndio ukweli lakini
Kukubali kuambiwa ukweli hata kama unauma ni sehemu ya ukomavu wa kisiasa.Huna Kazi, njaaaa nyingi
Unakaa kwa baba yako
Alafu unakua na tope kichwan kama hivi.
Povu la nini comrade? Ukweli haukimbiwi comrade.Matatizo ya kukaa kwa shemeji haya ,ukishiba chakula chake unakuja kujaza ujinga humu,,Hama kwa shemeji yako upate akili
Ccm tuna imani kubwa sana na Magufuli ndio maana tulimuacha apite bila kupingwa.Amini nakwambia magufuli anaweza kunyimwa kura hata na mke wake tu!!! Tena hao CCM wengi ndo watamchagua Lissu!!
We hujiulizi kwa nini magufuli ndani ya CCM tu alichapisha fomu moja tu ya kugombea uraisi??? Alijua hata CCM wenzake tu hawamtaki
Comrade ni mjinga tu ndio anaweza kusimama hadharani na kupayuka kuwa Magufuli hajafanya kitu. Huo ujasiri wa kuwa kwenye kundi la wajinga umeutoa wapi?Kweli vijana wa kisasa mna matatizo makubwa sana. Ukiwa na Akili tumimi timilifu huwezi kumpa Magufuli wala CCM kura yako.
1. Nyerere mkapa mwinyi na kikwete woote wamejenga mabwawa ya umeme
2.Nyerere kajenga Reli mwinyi pia kajenga.
3.Marais wote wamejenga viwanja vya ndege.
4.wote wamejenga barabara hospital nk nk
MAGUFULI ndio hopless kabisa hajafanya kitu chochote
Dar imempeleka puta hatoisahauMataga Lissu anawapeleka puta!
Acha kiherehere wewe. We unaona hoja gani hapo?Jibu hoja!