taifa letu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. F

    JamiiForums Tanzania Kati ya Samia na Tundu Lissu nani Kila mmoja anajionyesha kama mwokozi wa taifa letu

    Hilo swali hapo juu huwa linanisumbua. Nikiwaangalia wawili tajwa, na;pata taabu kidogo. Kila mmoja anajionyesha kama mwokozi wa taifa letu. Wawili hawa wametawala siasa za nchi yetu hadi kuanza kuvutia mataifa na mashirika ya nje. Lissu ni mfungwa. Samia ni rais. Lissu anajionyesha kama...
  2. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Hotuba za kishujaa za Rais Dr.Samia S.H., zinahamasisha uzalendo na utayari wa kupambania taifa letu kijasiri dhidi ya maadui wa amani ya taifa letu.

    Ni hotuba ambazo ni za kipekee sana, za kizalendo na kijasiri mno, ambazo kwa kiwango cha juu sana zinahamasisha uzalendo na kufanya waTanzania wote kua tayari kulilinda taifa kwa wivu mkubwa, kwa nguvu zote na gharama yoyote ile. Asante sana Dr Samia Suluhu Hassan kwa uzalendo wako na kwa...
  3. N

    JamiiForums Tanzania Tufanye nini kuupiga vita umaskini?

    Katika hili taifa letu kitu ambacho tunapaswa kupambana nacho Kwa nguvu basi ni umaskini wa kutosha ulipo Tanzania ukizunguka maeneo mbalimbali nchini utakuta watu wanaishi katika mazingira duni na yenye kuogofya sana Kuna baadhi ya maeneo watu hushindwa hata kununua nguo. Tukiachana na takwimu...
  4. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Legacy ya hayati JPM ni kwa Afrika nzima alikiwa mfano wa kuigwa kwa ajili ya Afrika. Angekuwepo taifa letu lisingepata mpasuko kama huu

    Nidhamu ya watumishi wa umma iliimalika. Wakafanya kazi kwa uadilifu na uzembe ukadhibitiwa. Wezi mali za umma kupitia miradi ya umma wakadhibitiwa. Mataifa yote ya Afrika yakatamani yawe na rais kama hayati JPM. Leo hii taifa letu lina mpasuko mkubwa. Ufisadi na nepotism linatajwa kuwa...
  5. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Ninaliona tatizo kubwa kwa kamati ya kuu ya ulinzi na usalama wa Taifa letu, HAYA matamko ya wanasiasa ni ushauri wao kweli? 29/10 mlikuwa wapi?

    Sijui ninayo yaona ndiyo mnayoyaona, ILA kiukweli simwamini Katambi, Wala simwamini mwiguru kama kweli Taifa lipo hatarini kuchafuka, km ni kweli kwanini hawakuona hatari ya 29/10/2025?
  6. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Waasisi wa Taifa letu waliwafukuza mabeberu ili ku-mantain Tanzania's sovereignty leo chadema wanawatumia mabeberu ili kuhujumu Tanzania's sovereignty

    Chadema haikuanzishwa ili kupingapa na dhamira ya waasisi wa Taifa letu ya ku-mantain national sovereignty. Nashangaa kuona Leo hii chadema wanafanya siasa kwa mgongo wa mabeberu hii ni aibu na ni ujinga mkubwa. Chadema haikuanzishwa ili kuirudisha nchi kwenye utawala wa mabeberu, chadema...
  7. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Nawashangaa sana wale wanaosheherekea vikwazo! Si watu wema kwa taifa letu ni wa kupigwa mawe!

    Ukiona mtu anafurahia nchi kuwekwa vikwazo ana changamoto ya afya ya akili. Niliwahi kufika Zimbabwe 🇿🇼. Wamewekewa vikwazo zaidi ya miaka 20 sasa. Familia za viongozi wa Serikali, upinzani na Zanu Pf wanatibiwa Singapore 🇸🇬. Vituo vya mafuta vya ZUVA nchi nzima ni Mali ya Rais Mnangagwa...
  8. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Mwabukusi: Ni huzuni sana, Taifa letu limepoteza tunu zote na tunawekeza katika Chuki, Ulaghai, vitisho na kutowajibika

    MAANDIKO YANASEMA...TUTAWAGUNDUA KWA VINYWA NA MATENDO YAO. Natamani iwe kama Usajili ili tusajili Wabunge hawa wawe ndani ya Bunge letu na taasisi zenye dhamana ya kulinda Utu na Uhai wetu. Taifa letu lilisifika kama nchi ya Mstari wa Mbele katika ukombozi wa Afrika tukihubiri haki na uhuru wa...
  9. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Kwa namna ninavyoona taifa langu likipotea, nabugia Balimi kwa kwenda mbele na kuchanganya na Konyagi. CCM imeharibu mustakabali wa Taifa letu

    Naona kama taifa letu halina future tena. Mwalimu Nyerere aliwategemea hawa jamaa wa iliyokuwa USSR. Kwa ujinga uliokuwepo tukaimbishwa nyimbo kuwa ni watu wazuri na sio wanyonyaji. Lakini hakuna walichotusaidia zaidi ya wao kuuza siraha zao na kunufuika wakati wa vita vya Kagera na hata pia...
  10. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Kenani Kihongosi: Tusikubali Taifa letu kuchezewa na kuingizwa kwenye mambo yasiyofaa

    "Maandamano ya kweli, watu wa Moshi, ni maandamano ya kutafuta pesa na uchumi! Andamana kuuza duka kikamilifu upate hela. Endesha bodaboda, andamana asubuhi mpaka usiku upate pesa. Andamana kulima na kufuga, uza upate pesa! Hata ukirudi nyumbani, mke wako anakupokea kwa heshima: 'Baba karibu...
  11. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Mwabukusi anapotosha umma na kudhihaki wazee hodari na weledi ambao ni hazina ya Taifa letu

    Ni vizuri akakemewa kwa ukali ili aache upotoshaji dhidi ya wazee wetu ambao ni hazina na fahari ya Taifa letu. Tume ya Jaji Chande imeeleza wazi kabisa kwa baadhi ya AZAKI na vyama vya siasa nchini vilishiriki moja kwa moja katika kupanga, kutoa mafunzo, kutoa vifaa vya vurugu na kufadhili...
  12. L

    JamiiForums Tanzania Wanaharakati wote waliokuwa wanataka kuvuruga Amani ya Taifa letu wamepoteza muelekeo na kusambaratika

    Ndugu zangu Watanzania, Wale wanaharakati uchwara waliokuwa wanafanya uchochezi, kuchochea machafuko ,kutoa kauli za kupandikiza chuki , uchonganishi na uzushi wa kila aina ili kuwahamasisha wananchi kuchoma Taifa letu. Kwa sasa wamepoteza muelekeo,kusambaratika na kupoteza muelekeo kabisa...
  13. H

    JamiiForums Tanzania Mungu awabariki watu wote wanaolitakia mema Taifa letu na kupambania Misingi ya haki ,amani pamoja na ukweli na kujali wasio nacho

    Kheri ya pasaka. Ndugu zangu tuendelee kuwaombea watu wote ambao wanalipambania Taifa letu liweze kuwa Taifa la usawa ,haki amani pamoja na Upendo mfano wa watu hawa Balozi Humphrey Polepole Mh Tundu lissu John heche Padre kitima na viongozi wote wa dini ya katoliki. Hawa ni baadhi lakini wapo...
  14. 888I

    JamiiForums Tanzania Kifo cha Uaminifu: Madhara ya Kuminya Habari na Mtego wa "Content Creators"

    Mimi ni Mwanahabari na Mtanzania Nasema ... Kuna huzuni nzito inayotanda ndani ya vyumba vya habari nchini,siyo huzuni ya kukosa vifaa au teknolojia, bali ni huzuni ya kuona taaluma yetu ikigeuzwa kuwa "kipaza sauti" cha upande mmoja, huku misingi ya uhuru wa kutoa maoni na kuchambua ukweli...
  15. Chagu wa Malunde

    JamiiForums Tanzania Taifa letu lina mpasuko mkubwa sana. Vipi kuhusu wale wanaokula keki ya taifa kwa mrija wanajisikia vipi?

    Kwa kila namna taifa limepasuka. Matajiri na wenye mali ndio wanaofaidi taifa hili. Watoto wa masikini wanauza mahindi ya kuchoma na karanga ili waende shule. Watoto wa matajiri na wanasiasa matajiri wanasoma shule zinazoitwa za njano. Siasa za taifa letu zimegubikwa na rushwa , upendeleo na...
  16. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania JF imefunguliwa(?) Naipata bila VPN

    Hamjambo wote! 1. Turudi kwenye majukwaa, vilinge na vijiwe vyetu. 2. Matusi tupunguze maana kuacha kabisa kuna watu najua hawataweza. 3. Uzushi, bullying, kejeli, kuvuana nguo tuache. 4. Ukosoaji uendelee sambamba na suluhu kwa Kila ukosoaji. Haina maana kukosoa bila kutoa suluhu kwa kile...
  17. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Wito kwa Watanzania, Wazalendo wa Kweli wa Nchi Yao, na Wenye Mapenzi Mema na Taifa Lao, Tumuombe Rais Samia!, Tuliombee Taifa Letu!

    Wanabodi, Hii ni makala yangu kwenye gazeti la mwananchi la leo, https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/siasa/tumuombee-rais-tuliombee-taifa-5362604 Pia soma Hoja ya Rais Kuombewa: Je, Rais anapaswa kuombewa na viongozi wa dini tuu pekee au na Watanzania wote wenye mapenzi mema na taifa lao?. Na...
  18. The Watchman

    JamiiForums Tanzania Askofu Rweyongeza: Ujinga umelifikisha taifa letu kubaya sana

    Mhashamu Almachius Vincent Rweyongeza, Askofu wa Jimbo Katoliki la Kayanga, ametoa onyo kali dhidi ya kile alichokiita "ujinga na maigizo" ya baadhi ya viongozi wanaojaribu kuingiza siasa ndani ya Kanisa Katoliki. Akizungumza kwa ukali kuhusu taratibu za kikanisa, Askofu Rweyongeza amewashangaa...
  19. G

    JamiiForums Tanzania Historia inaonyesha wananchi wa ulaya waliwahi kuwanyonga watawala wakuu wawili Kwa sababu baadhi nazoziona kwenye taifa letu ikiwemo umaskini

    Historia inaonyesha ufaransa na Uingireza iliwahi kunyonga watawala wawili Kwa sababu mbalimbali Kwa upande wa ufaransa ilimnyonga Louis na Malkia Maria Kwa sababu kuu ni Umaskini na njaa Kodi kubwa Kokosekana Kwa haki na usawa Kuupuuza matatizo ya wananchi Kwa upande wa kiongozi wa...
  20. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Ni kesi ya ICC na nyinginezo tu dhidi ya Samia na wenzake zitakazolibadilisha kiukweli Taifa letu na mifumo yake yote

    Baada ya Samia, DGIS Mombo, IGP Wambura, CDF Mkunda na washirika wao wote kufikishwa kwenye Mahakama ya Makosa ya Jinai ya Kimataifa pale ndipo Serikali ya Tanzania itaanza kuongozwa kwa akili na sio ujinga na upumbavu wa ki ccm. Baada ya Samia, DGIS Mombo, IGP Wambura, CDF Mkunda na...
Back
Top Bottom