Frijj (stylised as FRijj) is a brand of milkshake sold mainly in the United Kingdom. Today it is produced by Müller. It was first launched in 1993 by Dairy Crest. Frijj is sold in five permanent flavours: strawberry, chocolate, banana, fudge brownie and cookie dough.
There have also been numerous limited edition flavours. Since July 2003, some have featured characters from The Simpsons, in marketing campaigns. Other limited edition flavours include custard, caramel, raspberry doughnut, Jaffa Cake, banoffee pie, vanilla, white chocolate, chocolate mint, cookies and cream and irish coffee.
A thicker version of Frijj was launched in 1998 called 'Frijj Extreme', available in two flavours – white chocolate and milk chocolate. As of April 2021, Frijj had a 50% market share, the largest in the fresh flavoured milk market. Since 27 December 2015, Frijj has been produced by Müller Milk & Ingredients following the sale by Dairy Crest of their milk business to Müller.
👉🏻Lina mfumo wa OXYGEN unaofanya vyakula, mboga na matunda n.k visipoteze LADHA yake halisi hata ukiviweka kwa mda mrefu.
👉🏻Lina Touch Display inayo onyesha Temperature unaweza chagua ligandishe Kwa mda mfupi, mrefu au kupoza
🙏Bei yake 495,000/=
Naliuza kwa sababu na shida
Piga simu leo
0713...
Ndizi ina aina tatu za kipekee za sukari zinazojulikana kitaalamu kama Sucrose, Fructose na Glucose na pia ina kiasi kingi cha ufumwele (fibre), ambacho husaidia sana katika usagaji wa chakula tumboni.
Pia, ndizi ina uwezo mkubwa wa kuongeza na kuimarisha nishati ya mwili. Unaweza kupata...
Hatimaye najibu Mpemba's Law 🤭 Kwanini kimiminika cha moto kinaganda haraka kuliko cha baridi katika friji.. Hapa jibu letu tunaweza kulipa jina "Utaratibu wa Mapambano ya Usawa". Kuwa kitu kilicho katika uchini wa chenzake hupambana kufikia hali bora na katika kupambana huko kitu hicho hushinda...
Friji langu aina ya Boss linawaka na kuzima. Ukiwasha linafanya kazi kwa dakika takribani mbili Kisha linazima kwa dakika kadhaa, halafu linajiwasha tena. Hivyo ndugu zangu waliowahi kukutana na changamoto hii naombeni msaada tafadhali?
Kuna gari nnayo hapa sasa natafuta tenda za nyama au kubeba mboga mboga au vitu ambavyo vinahitaji friji na tenda iwe ya Kila siku au mwezi au hata alie na Connection ya kazi hizo tunaweza kuwa wote kwenye gari hyo
Based on Dar es salaam & Zanzibar.
Generator Services, Refrigerator Services, Air conditioners Services, Electrical wiring, Washing machines services.
For first & Reliable Services call us First. +255 693 797 110
Cc. Breeze Rabi
Wakuu salaam,
Nahitaji kununua friji kwa bei ya hizi zetu watu wa hali ya kawaida,sasa ktk pita zangu nimeona angalau HISENSE na BRUHM ni bora kidg kulingana na pesa niliyonayo
naomba ushaur je ipi ni bora kati izo ya izo mbili hapo
je zile za condeser nje yaan nyuma ya friji na zile...
Nimelikuta hili friji duka fulani na nikiangalia ni kweli nahitaji kafriji fulani hivi kadogo kwajili ya geto si mnajua tena geto la msela lazima liwe la kisasa.
Nimeona nisijepigwa na kitu kizito bora kabla sijanunua nije niulize kwanza kwa wakubwa wenye uzoefu na haya makitu hasa katika...
Mama yangu anaishi na kaka wa kwanza. Hawa watu ni washika dini sana, lakini ni wachoyo sana wa chakula kiasi kwamba Wamefunga friji na makufuli ili wafanyakazi wasipate nafasi ya kula vyakula kadha wa kadha.
Nimeshawasema kwa tabia yao ya kuwabagua wafanyakazi, lakini hawakomi.
Yaani hadi...
inapoza na kugandisha.
haina shida yoyote.
pugu-Dampo Dar es salaam
tupigie 0713096076 achana na comments.
245,000 Tshs only. Maongezi kidogo kuhusu usafiri yapo, only in Dar es salaam.
Nimesikia Serikali kwenye bajeti kuwa kodi imeondolewa/punguzwa kwenye kununua malori yenye friji ndani. Hii ni habari nzuri kwa upatikanaji wa fresh foods. Mtufanyie wepesi basi tupate dagaa mchele na pweza na sisi huku mikoani. Nasi tutafanya mpango mpate ulanzi, sungura, matunda na mnafu fresh.
Salaam kwa wote. Nauza kabati kubwa la vyombo (kama linayoonekana pichani). Bei ni shilingi 350,000/. Kabati limetumika lakini lipo kwenye hali nzuri sana.
Pia nauza friji ndogo (kama inavyoonekana pichani). Bei ni sh. 195,000/. Friji limetumika lakini linafanya kazi vizuri sana.
Vitu vyote...
Wakuu habari
Nauliza je kama situmii friji ni salama kuzima? Mfano limeisha vitu au nasafiri nikalizimaa wiki au mbili
Maana kuna ambayo yanazimwa kisha baadaye yanakuwa yameharibika
Salama wakuu
Ningependa kujuwa sababu za msingi na za kueleweka kuhusu Vinywaji Vikali,, Nimeenda maeneo mengi kunywa ila sijabahatika kukuta asilimia kubwa ya Vinywaji Vikali vikiwa kwenye friji je sababu kubwa huwa ni ipo?
Ningependa kujuwa ni maeneo gani naweza pata K-vant ya baridi au...
Niko single. Mwanzoni mwa mwezi huwa nachemsha kilo mbili za maharage. Yakisha poa nayaweka kwenye Friji.
Sasa huwa nachota kidogo nakaanga, nasonga ugali, siku imepita.
Kwa mtimdo huu harage hilo huwa linadumu mwezi mzima.
Je, wadau hii ni salama kwa afya?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.