Leo nilikuwa na rubani tukipata bia nyumbani.
Ananiambia hakuna mtu mwenye akili timamu ukaweza kumpa ndege za urusi ambazo zimejaa saa kila kona kiufupi ni vipima vyilivyo kwenye mfumo.
Nikabidi niangalie ndege na teknolojia kupitia Google.Ni kweli kabisa yani ndege zao mpaka marubani...
Mamangi hapa mmejua kutunyoosha, yaani mtu anaweza kutokea Bukoba mjini au Singida akaja kushangaa Marangu.
Mikoa mingine uchawi tuwachie mababu zetu sisi tukomae kupendezesha nyumbani.
Picha kwa hisani ya Bertin
Video nimeattach
https://www.facebook.com/share/v/1CQMtL86pJ/
Uchaguzi uliisha Oktoba 2025, waliopiga kura wanatosha, na waliosusa kwa NRE shauri yao. Samia yupo hadi 2030, hamna kitu mtafanya nje ya Katiba.
Wanaharakati wa CHADEMA wanahangaika sana. Kuna wakati wamekusanya mapicha ya kugushi na kupeleka ICC na wakawaaminisha wanachama wao kuwa Samia...
Mwaka 2026 dunia sasa inakimbia sana, mambo yanabadilika kila baada ya sekunde 30 lakini kwa nchi nyingi za Afrika. Inawezekana kabisa mambo yanabadilika.Kila baada ya wiki 30.
Huwa inaumiza sana na kushangaza, katika karne ya 21 mwaka 2026 unakuta binadamu wanagombania usafiri kituoni mpaka...
Bara la Ulaya hivi karibuni limekumbwa na mawimbi ya joto kali. Inakadiriwa kuwa halijoto ya juu imesababisha vifo vya takriban watu 15,000, wengi wao wakiwa wazee wanaoishi katika nyumba zisizo na viyoyozi.
Takwimu zinaonyesha kuwa mwaka 2025, mauzo ya viyoyozi vya China barani Ulaya...
Kwa miaka mingi, nchi za Ulaya, hususan Uingereza (UK), zimekuwa kivutio kikubwa kwa watu wanaotafuta maisha bora. Wengi huamini kuwa huko kuna ajira nyingi, mishahara mikubwa, huduma bora za afya na elimu, pamoja na fursa za kujenga maisha yenye utulivu. Hata hivyo, swali la msingi ni: Je...
Serikali inajua na Katambi anajua kuwa, moja ya sababu iliyopelekea kujadiliwa na mabunge haya ni pamoja na kuwanyima wananchi na vyama vya siasa uhuru na haki ya kukusanyika na kutoa mawazo yao.
Unapozuia vyama vya siasa kufanya siasa huku majadiliano ya kuwekewa vikwazo yakiendelea...
Kamati ya Bunge la Ulaya ya haki za binadamu imepokea ushahidi kuhusu madai ya ukiukwaji wa haki za binadamu nchini Tanzania katika kikao maalum.
Soma: Mke wa Lissu abubujikwa machozi akitoa taarifa Kamati ya Haki za Binadamu EU
Ushahidi huo umetolewa na mke wa mwanasiasa wa upinzani Tundu...
Nje ya siasa Kidogo Uzi huu utawasaidia wale wanaojitosa hasa watoto wa kike mabinti Kwenda Ulaya (Hapa hawateseki sana) Asia(China, India, Nepal, Thailand ,Hongkon, Malaysia , Macau, Philippines , Singapore, Indonesia, Laos, Vietnam) haya maeneo yote nshayapitia na kuona wadada wanavyoteseka...
Ujue ukweli na uwongo juu ya uamuzi wa Bunge la Ulaya kwa Tanzania. Vyombo ya habari uchwara na media za akina Maria, wanasambaza uwongo kuzua taharuki na kueneza chuki. Hii isambae ndugu zangu iende mbali zaidi Watanzania wajue ukweli..
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imefuatilia mjadala na upigaji kura uliofanyika katika Bunge la Ulaya tarehe 18 Juni 2026 kuhusu Programu ya Ubia kati ya Tanzania na Umoja wa Ulaya kwa mwaka 2026 yenye Jumla ya Euro milioni 156.
Serikali imebaini kuwa baada ya upigaji kura huo...
Kipindi cha ukoloni rasmi na kabla ya ukoloni rasmi Wazungu waliona fursa Afrika. Waafrika tuliona samaki na wanyama kama vitu vya thamani wazungu wakaona madini na ardhi yenye rutuba, yenye uwezo wa kustawisha aina zote za mimea .
Kahawa, mpira, chai, pamba, katani, karanga, cocoa, mbao n.k...
Wakuu,
Kuna mvutano mzito unaoendelea huko Ulaya kati ya Bunge la Umoja wa Ulaya (European Parliament) na Kamisheni ya Umoja wa Ulaya (European Commission) kuhusu mpango wa kuipatia Tanzania msaada wa kimaendeleo wa kiasi cha Euro Milioni 156 (zaidi ya Tsh. Bilioni 440).
Kwa mujibu wa taarifa...
Kama Isreal na Marekani wanafanya watakavyo katika dunia hii hakuna kuulizwa, sio Fifa, sio UNO
Wasitegemee Chadema kupata haki katika dunia hii ambayo imejaa double standard
Mei 30, 2026, Arsenal ilipoteza fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Paris Saint-Germain (PSG) Kwenye Uwanja wa Puskás Aréna Jijini Budapest nchini Hungary.
Ilipoteza kwa matuta 4-3 baada ya sare ya goli 1-1 katika muda wa kawaida, kipigo hicho kilikuwa cha tano katika fainali 5 ambazo...
Kama mnakumbuka mama samia alikuwa ziarani hapo urusi baada ya muda kidogo wakatoa taarifa kwamba air tanzani itaanza safari za moja kwa moja hadi urusi
Kumbe kilichojificha ni kwamba air tanzania walipewa notes na kupigwa ban ya kuruka anga za ulaya just why wakaamua kuhamia anga za urusi
Haya...
Hamjambo!
Unapozungumzia Ukristo basi jua unazungumzia nchi za ulaya Magharibi.
Siasa za ulaya magharibu zinamchango mkubwa katika kuenea kwa ukristo katika nchi nyingi za Bara la Afrika hususani Nchi yetu Tanzania.
Na kupitia Kanisa(ukristo) nchi yetu imepata manufaa ya kiuchumi na...
Muda si mrefu ulio pita, Bunge la Ulaya limeaachia kisago kikali kwa kuondoa misaada kwa nchi ya Tanzania kwa mwaka 2026/27 kwa miradi yote.
Bunge limepiga kura na wabunge 81 wakikubali kuweka vikwazo, mmoja kukataa na wanne kujitoa kwenye kura hizo.
Hivyo misaada hiyooo imeyoyoma.
Sababu nyuma...
Gazeti la Financial Times la Uingereza hivi karibuni limechapisha ripoti kuhusu makampuni ya China kuwekeza na kuanzisha viwanda katika Bustani ya Teknolojia ya Tangier nchini Morocco. Katika ripoti hiyo, Kamishna wa Biashara wa Umoja wa Ulaya Maroš Šefčovič alirudia kauli ya “uwezo wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.