umeme

  1. Kidabwenge

    JamiiForums Tanzania Mradi wa umeme mwl Nyerere umefikia wap?

    Ndugu wananchi wenye kujua mradi huu umefikia wap maana tuliambiwa mwaka Jana umefikia asilimi 98 mpaka mwaka tumeuanza mpaka Leo Amna mrejesho mwenye kujua atujuze.
  2. A

    JamiiForums Tanzania KERO TANESCO Mwanza, huku Nyamhongolo Stand, Ilemela tuna tatizo la umeme mdogo (low voltage)

    Tunaiomba mamlaka husika hasa TANESCO kutatua tatizo la umeme mdogo (low voltage) katika eneo la Nyamhongolo Stand, Wilaya ya Ilemela, Mwanza. Wananchi na wafanyabiashara wa eneo hili tunaendelea kupata hasara kubwa kutokana na umeme kuwa mdogo muda mwingi. Mashine za kazi haziwezi kufanya kazi...
  3. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Mradi wa Kituo cha Umeme Mkata kuboresha upatikanaji wa Nishati

    Mradi wa Kituo cha Kupoozea Umeme cha Mkata wenye thamani ya shilingi bilioni 50 unalenga kuhakikisha upatikanaji wa umeme wa uhakika, kuboresha huduma za nishati kwa wananchi na kuchochea maendeleo ya shughuli za kiuchumi mara utakapokamilika.
  4. Rafiki Electrical

    JamiiForums Tanzania Chimbo la vifaa vya umeme

    🎯CHIMBO LA VIFAA VYA UMEME KARIAKOO Rafiki Electrical & Tech Solutions ⚡ VIFAA VYA UMEME ORIGINAL NA BEI POA ZA JUMLA NA REJAREJA💫 Tupo Kwa Ajili Yako💡 ✅ TUNAUZA NA KUTENGENEZA VIFAA BORA NA IMARA VYA UMEME WA MINARA, VIWANDA, UMEME WA NYUMBANI, VISIMA, MOTORS N.K JUMLA NA REJAREJA Tupo Dar es...
  5. figganigga

    JamiiForums Tanzania Wosia wa Spika Mstaafu Samweli Sita. Zanzibar wakijifanya kiburi, wazimieni Umeme

    Hayati Samwel Sitta alivekuwa Spika Mstaafu. alidokeza kwamba Zanzibar hawana mito na umeme wote Unatoka Tanganyika. MY TAKE; Je, kwa mauaji ya 29 Oktoba 2025, kwanini Zanzibar tusiwakatie Umeme? Sikutegemea Wazanzibari watuue bila Huruma. Kumbuka Abdul Hafidh Samia Suluhu, Issa Khatibu wote...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwigulu: Wakati wa upungufu wa umeme kuna walioshauri tulete mitambo ya kukodi, kumbe walitaka wakutane nazo

    Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ameyasema haya leo Aprili 12, 2026 wakati akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Chamwino, Jimbo la Mvumi mkoani Dodoma
  7. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Madai ya umeme kukatika huduma kusimama Hospitali ya Sekou Toure yasema kulitokea hitilafu kwenye chanzo kikuu cha umeme

    YAH: TAARIFA KWA UMMA KUHUSU HITILAFU YA UMEME KATIKA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA SEKOU-TOURE Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Sekou Toure inapenda kutoa ufafanuzi kuhusu taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii, hususan kupitia ukurasa wa Jamii Forums, zikidai kuwa hospitali imekumbwa na...
  8. Fortyseven

    JamiiForums Tanzania Badala ya mafuta twende na daladala na magari ya serikal ya gesi na umeme

    Hivi ndugu zangu watanzania haiwezekani kwa wasomi tulionao hapa bongo au hata wa kuazima tukazibadili daladala zilizopo na magari ya serikali yatumie gesi asilia kuliko kutegemea mfereji wa Hormuz? Au kwanini serikali isipitishe sheria kuanzia 2030 magari na daladala malori na magari ya...
  9. Y

    JamiiForums Tanzania PPPTZ: Sasa ruksa wanaotaka kusambaza Umeme wa TANESCO kwa Wateja

    Utafiti uliofanywa na Chuo Kikuu cha Oxford umeonesha kuwa katika nchi 13 tajiri zaidi duniani, takribani asilimia 25 ya nguvu ya uchumi hutokana na ufanisi wa kitaasisi. Hii ina maana kuwa taasisi zenye mifumo thabiti na uwajibikaji huongeza kasi ya maendeleo ya kiuchumi kuliko hata rasilimali...
  10. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Iran imetoa wito raia walale kwenye vituo vya Umeme na Madaraja ili kuvilinda

    Vyombo vya habari vya serikali ya Iran vinatoa wito kwa umma kuunda ngao za kibinadamu(Human-Shield) kuzunguka vituo vya umeme na miundombinu mingine muhimu ili kuzuia Marekani na Israeli kushambulia maeneo hayo. Hata waislamu wanajua kwamba Amerika na Israeli ni watu wenye utu zaidi kuliko...
  11. Rafiki Electrical

    JamiiForums Tanzania Chimbo la vifaa vya umeme Tanzania

    🎯CHIMBO LA VIFAA VYA UMEME KARIAKOO Rafiki Electrical Solutions 🤝 ⚡ VIFAA VYA UMEME ORIGINAL NA BEI POA! Kwa Mahitaji ya Vifaa Vya Umeme Bora na Vya Ukakika (Original) Rafiki Electrical & Tech Solutions Tupo Kwa Ajili Yako💡✅ TUNAUZA NA KUTENGENEZA VIFAA BORA NA IMARA VYA UMEME WA MINARA...
  12. Ex Spy

    JamiiForums Tanzania Mtikisiko wa Mafuta Duniani: Je, Tanzania Tumejipanga au Tunasubiri Miujiza? Wakati Ndio Sasa wa Gesi Asilia na Magari ya Umeme (EVs

    Wakuu, Kuna makala nimeisoma leo kwenye gazeti la The New York Times (NYT) imenifanya nitafakari sana kuhusu hatima ya nchi yetu na uwezo wa viongozi wetu kuona mbali (vision). Makala inahusu mtikisiko mkubwa wa mafuta unaoendelea kuikumba China na dunia kwa ujumla kufuatia kushtadi kwa vita...
  13. John Haramba

    JamiiForums Tanzania KERO Ninaponunua umeme na kukatwa 3% ya REA na 18% ya VAT si ni sawa na kulinipisha kodi mara 2 kwa kitu kilekile?

    Unaponunua umeme unakatwa Kodi ya Ongezeko la Thamani ambayo ni Asilimia 18 ya pesa uliyotoa, kisha TANESCO wanakukata 1% wanasema ni hela ya EWURA, baada ya hapo . TENA unakatwa 3% eti pesa ya REA. Je, kwa nini mlaji anaigharimikia Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) na...
  14. O

    JamiiForums Tanzania KERO Shirika la Umeme Tanesco sisi wafanyakazi wa S.T.E boresheni mikataba yetu au tupeni mikataba ya kudumu

    Habari sisi ni wafanyakazi wa shirika la umeme tanesco wa mikataba ya S.T.E kwenye shirika la tanesco kuna mikataba ya aina tatu 1. Mkataba wa kudumu company namba 2. Mkataba temporary mwaka ni mmoja 3. Mkataba wa kazi maalumu maalumu. S.T.E mwezi mmoja. Sisi S.T.E Tunafanya kazi kwa kubwa...
  15. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Msikimbilie gari za umeme.. Je mnajua gharama za kubadili battery?

    Bei ya betri za magari yanayotumia umeme (EV) kwa mwaka 2026 inakadiriwa kuwa kati ya TSh milioni 14 na TSh milioni 56 ($5,000 – $20,000), ikitegemea ukubwa wa gari na uwezo wa betri. Ingawa gharama ya teknolojia ya betri imeshuka hadi kufikia takriban $80–$105 kwa kila kWh, bei ya kubadilisha...
  16. A

    JamiiForums Tanzania KERO TANESCO, sisi Wafanyakazi wa S.T.E Boresheni Mikataba yetu au tupeni Mikataba ya Kudumu

    SHIRIKA LA UMEME TANESCO SISI WAFANYAKAZI WA S.T.E BORESHENI MIKATABA YETU AU TUPENI MIKATABA YA KUDUMU. Habari sisi ni wafanyakazi wa shirika la umeme tanesco wa mikataba ya S.T.E kwenye shirika la tanesco kuna mikataba ya aina tatu:- 1. mkataba wa kudumu company namba 2. Mkataba temporary...
  17. Rafiki Electrical

    JamiiForums Tanzania Vifaa bora vya umeme, Kariakoo

    ⚡ VIFAA VYA UMEME ORIGINAL NA BEI POA! Unatafuta vifaa vya umeme vya uhakika kwa matumizi ya nyumbani au viwandani? Sisi tupo kwa ajili yako 💯 📍 Kariakoo 🚚 Delivery mikoa yote Tanzania Tunapatikana na brand kubwa kama: ✅ ABB ✅ SCHNEIDER ✅ SIEMENS ✅ LEGRAND ✅ CHINT ✅ TRONIC ✅ HAVELL Tunauza: 🔌...
  18. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Tanzania inahakikisha umeme haukatiki, ina umeme wa ziada

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba amesema uchumi wa Tanzania unaendelea kukua akibainisha kuwa kasi ya ukuaji wa kitaifa imepaa hadi kufikia 6.0% licha ya mtikisiko uliosababishwa na janga la Uviko-19. Mwigulu ameyasema hayo Bungeni jijini Dodoma leo...
  19. Eronda

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda One Year Later, UEDCL marks steady progress after taking Over electricity distribution from Umeme

    State owned Uganda Electricity Distribution Company (UEDCL) has made one year since it took over electricity distribution from private owned UMEME ending its 20 year operation on March 31, 2025. “The first year has been about stability rather than transformation, keeping lights on while we fix...
  20. LOOOK

    JamiiForums Tanzania Ni wakati sasa wataalam wa EV conversion kuchangamkia fursa kwa sasa ili kubadili mfumo wa uendeshaji gari kutoka petrol kwenda umeme

    Hilo linawezekana ingawa kuna gharama ila inawezekana kabisa kwa gari nyingi zilizopo hapa tanzania kubadilishwa mfumo ila lazima fundibawe mjuzi sana wanhizi mambo
Back
Top Bottom