nguzo

  1. K

    JamiiForums Tanzania From the Pitch to the Pillars of Power: Evaluating the Mismatch of Media Scrutiny in Tanzania

    This critique originates from the deeply frustrated perspective of an ordinary citizen—a passionate observer who is tired of watching immense intellectual talent and public influence squandered on sports debates while vital national assets are bargained away in silence. Day after day, Tanzanians...
  2. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Tume Chande: Dini Nguzo ya Amani

    Ripoti ya Tume ya Jaji Chande ilitambua kuwa taasisi za kidini zilicheza jukumu muhimu na chanya wakati na baada ya ghasia za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Viongozi wa dini mbalimbali walilaani vurugu, kutoa wito wa amani na kusaidia kutuliza mvutano katika jamii. Tume iliona mchango wao kama...
  3. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Millya: Baraza la Wafanyakazi ni nguzo ya ushirikishwaji wa Watumishi

    Imeelezwa kuwa Mikutano ya Mabaraza ya Wafanyakazi ni majukwaa muhimu ya kuwashirikisha watumishi moja kwa moja katika mipango ya Serikali ili kupata mawazo mapya na umiliki wa pamoja wa mipango hiyo kwa lengo la kutekelezwa kwa ufanisi na bila manung’uniko. Hayo...
  4. S

    JamiiForums Tanzania Inawezekana Nyumba ya Chini Kua Ghorofa kwa Kuongeza Nguzo na Tofali za Kulaza?

    Kwema wakuu? Ninaishi kwenye nyumba ya chini ya zamani kidogo. Sababu ya muda wa nyumba hii basi bati zake zimeanza kuvuja sababu ya kutu na hata plasta imechoka baadhi ya sehemu. Sasa niliwaza kuikarabati kwa kurudia plasta pia kuezua paa, ceiling, kenchi, brandering, na kuweka mpya ikiwapo...
  5. University of Dodoma (UDOM)

    JamiiForums Tanzania Vijana watakiwa kuwa nguzo ya maadili na ujenzi wa Taifa katika kumbukizi ya miaka 104 ya Baba wa Taifa

    Dodoma, Aprili 11, 2026 Kongamano la vijana ya kumbukizi ya miaka 104 ya kuzaliwa kwa Baba wa Taifa, Julius Nyerere, limefanyika leo Jumamosi katika Ukumbi wa Chimwaga, Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM). Kongamano hilo limewakutanisha viongozi wa serikali, wanafunzi na vijana kutoka maeneo...
  6. sammosses

    JamiiForums Tanzania Ubadhirifu wa mali ya umma moja ya nguzo muhimu kuimarisha CCM - dola katika ukandamizaji haki nchini

    TANU baba mzazi wa CCM aliyezaliwa 07/07/1954 na kuzikwa mwaka 05/02/1977 aliondoka na mambo yake yote. Kuzaliwa kwa CCM kulichagizwa na sababu ya Muungano wa nchi mbili Tanganyika ambaye ni Marehemu na Zanzibar zote zikiwa nchi zenye mamlaka kamili. Waasisi waliamini Muungano tu hautoshi,ili...
  7. Wakusolve

    JamiiForums Tanzania Nguzo 5 muhimu za kufanikiwa kimaisha hizi hapa

    Mafanikio yapo katika pembe(angle) nyingi katika maisha. Mafanikio nini, kila binadamu ana tafsri yake kuusu mafanikio, mwengine ana amini kuwa na pesa nyingi ni mafanikio, mwengine kuwa na furaha ndio mafanikio. Mafanikio yapo katika angle tano muhimu ambazo ukielewa utakuwa na mafanikio ya...
  8. Megalodon

    JamiiForums Tanzania Kanisa Katoliki ndio Nguzo ya Kiimani Tanzania

    Nimekuwa siku zote nikisema SOMENI ndugu zangu. Mtu mwenye elimu kamwe hawezi kuendeshwa na failure. Kanisa katoliki ndio baba wa imani na ni merits kwa nchi ya TZ . Tujivunie…. Dini zote ni janja janja but Catholic Church means a lot to our country Kanisa katoliki linasimamia haki bila...
  9. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wananchi wa Mlimba – Morogoro tunaambiwa Nguzo moja ya Umeme ni Tsh. 580,000, hii ni haki?

    Mimi ni Mkazi wa Mkoa wa Morogoro, Halmashauri ya Mlimba, Tarafa ya Mlimba. Kero yangu kubwa ni suala la Kupata Nguzo ya Umeme, ukienda Ofisi za TANESCO ili upate Huduma ya Nguzo ya Umeme unaambiwa Nguzo Moja ni zaid ya Shilingi 580,000/=. Je, hii ni haki Mwananchi kulipia nguzo moja ya umeme...
  10. Jumanne Mwita

    JamiiForums Tanzania Jirani zangu walikataa kuchangia nguzo ya umeme, sasa nimeileta mwenyewe wanalazimisha kuitumia na wao

    Naomba ushauri na kueleweshwa kutoka kwenu wana-JamiiForums wenye uzoefu au uelewa wa masuala ya umeme ukinunua nguzo (TANESCO). Ninaishi Katoro eneo ambalo naishi kwa muda mrefu halikuwa na umeme. Mwaka huu mradi wa umeme umefika, nguzo zimepandishwa na nyaya za msongo wa chini zimepitishwa...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Hakuna Shortcut: Hii ndiyo nguzo ya maendeleo inayofanya Rwanda kuendelea kwa kasi kubwa na muda sio mrefu kuiacha Tanzania

    Mods please msihamishe wala kujoin Hakuna Shortcut, Maendeleo yanahitaji nidhamu.
  12. J

    JamiiForums Tanzania Tukumbuke Nguzo Kuu za Ukristo

    Tukumbuke Nguzo Kuu za Ukristo Kama tunavyojua, msingi wa Ukristo ni Yesu. Yesu Kristo Bwana ndiye msingi wenyewe. Yeye huitwa jiwe kuu la pembeni, na mwamba ambao juu yake sisi sote tumewekwa. Pasipo Yesu hakuna ukristo. Yeye ndiye msingi wa imani ya Kristo. Aidha, kikawaida, msingi ukishakaa...
  13. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania CCT: Haki, Utu na Upendo ndio nguzo ya Amani ya kweli

    Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) imeeleza huzuni na masikitiko makubwa kutokana na matukio ya uvunjifu wa amani, mauaji ya wananchi, na uharibifu wa mali yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. Akizungumza na wanahabari leo jijini Dar es Salaam, Askofu Dkt. Stanley...
  14. Rodwell mTZ

    JamiiForums Tanzania Utitiri wa nguzo sasa ni kero

    Salaam,kwa sasa uwekaji wa NGUZO hapa Dar umeishakuwa kero yaani zinaharibu show ya jiji,kwanini makampuni yenye hizo nguzo yasishirikiane kushare nguzo moja ibebe waya zao zote? Mnaosimamia hili jiji hebu kaangalieni mandhari ya majiji kama Tokyo au San Fransisco mpate kujifunza.Hizi picha...
  15. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Chukua hii Unapojenga gholofa je umwage nguzo kwanza au uanze tofali kujenga kwanza ndipo umwage nguzo?

    Chukua hii Unapojenga gholofa je umwage nguzo kwanza au uanze tofali kujenga kwanza ndipo umwage nguzo? karibu chukua hii mbinu moja ya ujenzi ya kupata kitu cha kisasa na bora hasa kama unajenga gholofa. Unashauriwa umwage nguzo kwanza. kwanini sababu ni kwamba ili cement ifikie ubora wake...
  16. R

    JamiiForums Tanzania Jela Miaka 20 kwa kuiba nguzo tatu za umeme

    Ezbon Mujuni (28) mkazi wa kijiji cha Bunazi Wilaya ya Missenyi Mkoa wa Kagera amehukumiwa kwenda jela miaka 20 kwa kosa la kuchimba na kuiba nguzo 3 za umeme na nyaya zenye thamani ya Tsh. 11,536,357 Mshtakiwa alitenda kosa hilo Julai 21, 2024 katika kijiji cha Nyakahama Wilaya ya Muleba...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Soko la nguzo nane shinya lina tiririsha maji machafu yenye haru kali

    Kama nilivosema hapo juu, hapa shinyanga kuna soko maarufu sana linaiywa nguzo nane. Kero yangu ni kwamba, hili soko linatiririsha maji machafu yenye harufu kali sana kwenye mfereji wa barabara naomba wahusika wachukue hatu kwani ni kero kubwa lakin pia ni hatari kwa afya ya watumiaji wa soko hili
  18. sammosses

    JamiiForums Tanzania Umoja na Mshikamano ndiyo nguzo itakayotuvusha, hakuna aliye salama

    Maisha ni siasa,bila Siasa hakuna maisha. Unapozuia siasa unazuia maisha. Damu ya Maisha ni siasa,unapozuia damu isitembee kwa wiki mbili,unazuia uhai wa maisha yanayoendeshwa kwa misingi ya siasa. Unaweza usione athari kama walivyo wajinga wengi,lakini ulishawahi kufikiri kwanini mtoto mkubwa...
  19. DELETED ACCOUNT

    JamiiForums Tanzania Yanga wameamua kuvaa roho ya fitna kama nguzo yao kuu ya habari

    Leo nimeona niamke na Neno la Uzima. Natumaini litaenda kuwabariki wasomaji wengi. Moja ya tabia mbaya ambazo mtu unaweza kuhusishwa nazo ni tabia ya kueneza fitna. Ni moja ya nguzo za shetani zenye nia ya kuleta taharuhi, kuharibu na kuficha ukweli. Ukweli unahusishwa na Mungu. Uongo...
  20. Paspii0

    JamiiForums Tanzania Mwananchi mstaarabu ni nguzo ya taifa imara

    Katika harakati za maisha ya kila siku, tunashuhudia tabia ambazo, kwa kiasi kikubwa, zinaashiria kupungua kwa maadili, nidhamu, na staha ndani ya jamii yetu. Sio kila jambo linahitaji sheria kali. Baadhi ya mambo yanahitaji tu busara, utu na heshima ya msingi. Ustaarabu ni namna mtu anavyoishi...
Back
Top Bottom