Huyu Mama na Chama cha Mafisadi hadi leo watu hawana maji mji mkubwa watu wana nunua maji na mgao wa umeme. Tusishangae hawashindi mpaka kuiba kura maana ni nani mwenye akili zake atawapigia kura watu ambao hawawezi kuleta maji na kutegemea mvua kwa miaka 60! Walisema tutauza umeme nje leo kuna...
Je, hii ni dalili ya failed state? Kuanza na kuanza ndani ya siku 100 maji yameanza kuwa tatizo, nauli za mwendokasi zimeanza kupanda, umeme nao soon utakuwa changamoto.
Dalili ya mvua mawingu, tutarajie makubwa zaidi ya haya.
Habari
Kampuni mpya ya jaha kutoka china imeleta bajaji mpya zinazotumia umeme, bajaji hizi ni bajaji za abiria na mizigo
Bajaji ya abiria
Bajaji za abiria zipo za aina mbili kuna kubwa na ndogo
Bajaji kubwa Ina uwezo wa kubeba abiria saba na dereva wa nane
Inachajiwa Kwa masaa manane Kwa...
Kuna tetesi chini ya kapeti ,umeme utaanza kusumbua sumbua mara kwa mara na lengo kuu kwa walioshika mpini ni kufanya biashara ya majenereta.
Hivyo basi, inasemekana pia hata hayo majenereta nayo yatapandishwa bei.
Ngoja tuone, acha tutunze akiba ya maneno.
Kwa wale ambao mmefungiwa hizi mita mpya za digital ambazo wanazibadilisha kipindi mtakua mnajua kuhusu suala la UNIT kwenda speed kuliko zile mita za awali.
Mfano mimi natumia umeme wa 50,000/ mwezi mzima na unit zinabaki kidogo. Lakini kwa sasa kwenye hizi mita mpya umeme huo wa 50,000...
Haki na amani iwe kwenu.
Je, huu mgao wa umeme wa Tanesco ulioanza leo ni moja ya hatua ya kimedani kuelekea hofu ya maandamo D9?
Unarekebishaje miundombinu usiku?
Unakoseje nishati hii 12hrs.
TANESCO acheni uhuni, wengine umeme unamaana kubwa sana kuliko ujinga wenu wa kudhani mnahahujumu...
SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi imemsimamisha kazi Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) ili kupisha uchunguzi wa tuhuma za uzembe, usimamizi dhaifu na ubadhirifu dhidi yake na viongozi wengine wa taasisi hiyo.
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ametangaza hatua hiyo jijini Dar...
Hili taifa lina viongozi wasiofaa. Na hawajifunzi mpaka mmoja aje aone mkono wa Mungu.
Mtu anavamiwa baada ya umeme kukatika anatoa malalamiko yake anaambiawa atachukuliwa sheria mkononi
Hivi umeme ukatike ghafla alafu majambazi wavamie kwako ndani ya sekunde moja utapata picha gani?
Sheikh...
Tanesco leo kuzindua mfumo mpya wa umeme pindi ununuapo umeme utaingia Moja Kwa Moja kwenye Mita.
Sahiv wananchi hawatapa sana tabu kama ilivokuwa hapo nyuma
"Skenario ya wasiojulikana hazijaanza hapa. Kwanza nilikuwa sijui, lakini baadaye nikajua. kupitia waliokuja kunivamia, kwanza TANESCO walizima umeme ili niuawe. Nikaona hizi mbinu ni kama mkakati umepangwa." Katibu Mkuu TEC
TANGAZO: FUNDl UMEME WA MAGARI
Unahitaji fundi umeme wa magari?
Nipo tayari kukuhudumia kwa weledi na kwa wakati!
Huduma ninazotoa:
🔧 Uchunguzi wa matatizo ya umeme (diagnosis)
🔧 Kurekebisha na kufunga starter & alternator
🔧 Kurekebisha mifumo ya taa za gari
🔧 Programu na ufungaji wa computer...
Mgombea wa uraisi kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Samia Suluhu Hassan amesema awali katika Mkoa wa Dar es Salaam kulikuwa kunachangamoto ya umeme lakini kutokana na kazi kubwa iliyofanyika, hadi kufikia sasa katika mkoa huo nishati ya umeme inapatikana kwa saa 24
“Si muda mrefu uliopita...
Napendekeza umeme uuzwe kwa vifurushi kama vya simu
Mfano umeme wa 10,000/= upate unit 30 ambazo unapaswa kutumia ndani ya siku 7
Hii itapeleka umeme unaozalishwa utumike wote na kuacha kama sio kuondoa ubanaji wa matumizi kadri siku zinapokaribia kuisha kifurushi
Hii itapelekea pia kutumika...
Kama Enzo Ferrari akifufuka leo, atalia kilio cha mbwa. Ferrari ni maarufu kwa v12 ila sasa it’s officially, wanakuja full EV.
Jana, Ferrari wametangaza power terrain, battery na specs za EV yao ya kwanza wanayoiita “Ferrari Elettrica“!
Itakuja na jumla ya motors nne, mbili mbele na mbili...
Sababu kubwa za mimi kuto-support mradi wa treni ya umeme
Multiplier effects ya uwekezaji wa gesi asilia ni kubwa sana kulingana na treni hii ya umeme
Umeme tunaozalisha kama nchi ni mdogo na hili treni za umeme zifanye kazi flawless basi umeme unatakiwa uwe wa uhakika
Treni ya umeme
Lot...
Porche wamezindua generation ya nne ya Porsche Cayenne SUV.
Ila cha kushangaza, wamezindua EV tu kwanza, bila kutoa ya mafuta wala hybrid. Ambayo hadi sasa hatujajua watazitoa baadae au ndio basi tena.
Kwa ndani, mafundi simu na computer mtatajirika sana. Kwasababu jamaa wameleta display...
kWh (kilowatt-hour), Wh (watt-hours), mAh (milliampere-hour), V (Volts)
Unit 1 ya shilingi mia tatu ni sawa na 1000 Wh ( 1 kWh)
Tuchukue mfano wa simu ya smartphone yenye betri kubwa ya 4,000 mAh
Simu nyingi huwa ni 3.7V
Formula ya kubadilisha mAh kuwa Wh:
(Mah * V)
1,000
(4,000 *...
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake kuwa kuna changamoto kwenye manunuzi ya umeme (LUKU) inayosababisha wateja kushindwa kununua umeme kupitia mitandao ya simu ya Yas, Vodacom na benki ya NMB hivyo kwa sasa tunawashauri wateja kutumia mitandao ya simu na njia za kibenki...
Rais Museveni wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia.
Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Museveni mwenyewe kupitia akaunti ya rais.
Swali- mtoto huyu wa rais wetu, ana cheo gani serikalini?
Kama taarifa hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.