Tumekuwa tukiwalalamikia mara kwa mara hawa mamlaka ya maji sengerema kwa kushindwa kutoa huduma stahiki kwa wananchi wao
Mbunge pamoja na wananchi wamepiga kelele weee mpaka wamechoka lakin hawaelewi sasa kama mh wazir upo humu jukwaan jaribu kuimulika uone uozo wa wafanyakazi wa idara yako...
Habari za usiku huu wana nzengo, kutokana na research niliyofanya kupitia sample (x) nimegundua ya kwamba Oktoba 2025 historia inaenda kuandikwa hapa Tanzania.
Mama huenda ndiyo akawa raisi pekee wa Tanzania kukaa madarakan kwa muda mfupi (5years).
Majority ya Watanzania wamekuwa...
Habar za usiku huu wana nzengo, mimi ni mmiliki wa carwash somewhere
Kwa bahati mbaya au nzuri pale nilipoweka carwash yangu kuna shughuli kadha wa kadha za kijamii,
Kwa kipindi ambacho nimeanzisha hapakuwa na shughuli yeyote ila sasa kutokana na kuendelea kwa lile eneo ndio ikapelekea uwepo...
Habari zenu wana nzengo
Mimi si mwanachama wa chama chochote kile cha siasa na wala sio mwana siasa
Nimeandika kama Mtanzania mzalendo mwenye mapenzi ya dhati na nchi yangu
Siku zote waswahili wanasema usipende kukaa na dukuduku moyon hivyo bas dukuduku langu nimetafuta sehemi ya kulitolea...
Nimeandika kwa masikitiko makubwa sana mara tu baada ya kusikia na kusoma mitandaoni ziara ya mh katibu wa uenezi na itikadi wa chama cha makijani aliyepanga kufanya nchi nzima.
Sina hakika wananchi wataipokeaje ziara yake ila ningependa kumshauri ndugu yangu makonda kabla hajazunguka mikoa...
Nimeandika kwa masikitiko makubwa sana, last two weeks nilienda kuangalia salio la acc yangu crdb bank, nikakuta sehemu flan ya pesa imepungua nikakaa kimya
Leo hii tena tar 14 nikasema niangalie tena salio nikakuta pia sehemu ya pesa imepungua, uzalendo ukanishinda ikabid niwapigie huduma...
Nimeandika kwa masikitiko makubwa sana nikiwa kama muumin kindakindaki mkatoliki
Miezi miwili iliyopita nilijumuika na waumini wenzangu kwenye misa ya asubuh ndani ya kanisa katoliki lililopo maeneo ya saint carol wilayani sengerema jijini Mwanza
Mamia ya waumini tulijumuika kwenye misa hiyo...
Habari wananzengo"
KWa wale wataalam wa jukwaa la teknolojia, naomba mnieleweshe namna gan naweza nikatambua kwamba hii saa janja ni band fulan?
Maana utakuta mtu anasema hii band 4, hii band 5
Sasa anawezaje kutambua hizo band?
Nawasilisha
Habar wakuu, mimi ni mgen kidogo kwenye matumiz ya app ya spotify
Ninachofaham ni ku search nyimbo na kuiskiliza , mbaya zaidi ninapochagua nyimbo unakuta nikii play ina play nyimbo nyingine
Ukiachana na hiyo kuna kitu kingine nimekutana nacho kinaitwa podcast sasa naomba nifahamishwe nini...
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza
Nahitaji kuishtaki kampuni ya Tigo kwani walichonifanyia jana wenyewe wanajua
Wamenisababishia hasara ya zaid ya tsh milion 20
Kwahiyo mwenye kujua utaratibu wa kuishtaki kampuni plz ani pm ili nianze mchakato
Maelfu ya wakazi wa jimbo la sengerema jijini mwanza leo hii walijitokeza kumlaki katibu mwenezi wa chama cha mapinduzi (ccm) taifa aliyefanya ziara kwa mara ya kwanza ukanda wa ziwa tangu alipochaguliwa kuwa katibu mwenezi siku za hivi karibuni
Makonda aliweza kusimamisha shughuli za uchumi...
Habar za majukumu wana jamvi,
Kwa wale wataalamu wa pc msaada wenu plz
Nimenunua pc aina ya hp 450, wakati nainunua pale dukan , niliiangalia betri yake ili niweze kujua kwamba inakaa na chaji?
Ilinionesha kwamba chaji inakaa masaa matatu na dk 40. (03:40)
Lakini baada ya kufika om na kuanza...
Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa tanzania na kazi iendelee
Wanajamvi, nimekuwa na tatizo la nyuki kuweka makazi ndani kwenye dirisha la nyumba changu hali iliyolelekea kuhama kabisa na kukiacha kile chumba
Sina hakika lini nyuki hawa walianza kuweka kambi ila leo hii usiku wa...
Habar za usiku wananzengo!!
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza
Kwayeyote mwenye kujua apps nzuri ya music player kwenye simu naomba anitajie tafadhali ili ni download niweze kuskiliza good music na mimi kwenye kijitambo changu
Mwenye maujanja jamani ya kuweka password kwenye sms bila kutumia applock yeyote ile anijuze.
Nimeandika sababu kuna mtu akishika tu cm yangu huwa anapenda sana kusoma sms zangu.
Cha ajabu nikiweka applock huwa ana unstall kisha anasoma sms.
Sasa niliktaka nimkomeshe kama kuna njia mbadala...
Habar wakuu, kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu
Nimekuwa muumini mkubwa sana wa whatsapp plus kwasasa nina week tsup yangu ime expire inadai version mpya sasa kila niki download inakataa inaniambia ni update na niki update bado inakataa
Hivyo mwenye link ya tsup plus new version...
Habari wakuu, niende moja kwa moja kwenye mada.
Yeyote mwenye kujua applock nzuri kwa ajili ya ku lock files naomba anijuze ili na mimi niweze kuitumia kwenye simu yangu.
Nimejaribu smart lock & applock lakini bado sijazielewa kabisa.
Asanteni.
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Nimeandika kwa masikitiko makubwa sana kwa niaba ya wakazi wa wilaya ya sengerema ambao hawana pa kusemea
Mamlaka ya maji sengerema (SEUWASA) kwakweli inatia aibu sana,
Kumekuwa na changamoto ndogo ndogo sana ambazo mamlaka inashindwa...
Habari wakuu, nina samsung A02 kwasasa ina mwaka 1 na miezi 4 toka niinunue dukan, na ilikuwa na warrant ya miaka 2 ila warrant card nimeipoteza
Sasa hii simu hivi sasa ni week kila nikiitumia haitoi simu wala kupokea inaniandikia Not registed on network
Naomba msaada kwa anayejua namna ya...
Nawasalimu kwa jina la jumhuri ya Muungano wa Tanzania
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza!
Nimeamua kuanzisha mraji wa maendeleo ambao ungeweza kutoa ajira kwa takriban vijana kadhaa wa kitanzania,
Nimekwishafanya taratibu zote za kisheria ikiwa ni pamoja na kulipa kodi ya eneo la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.