cleokippo
JF-Expert Member
- Dec 21, 2014
- 2,072
- 1,697
Habari wakuu, nina samsung A02 kwasasa ina mwaka 1 na miezi 4 toka niinunue dukan, na ilikuwa na warrant ya miaka 2 ila warrant card nimeipoteza
Sasa hii simu hivi sasa ni week kila nikiitumia haitoi simu wala kupokea inaniandikia Not registed on network
Naomba msaada kwa anayejua namna ya kutatua hii changamoto ili niweze kuendelea kutumia kasimu kangu
Chief mkwawa kaka plz kama umelisoma bandiko langu naomba unisaidie kaka.
Sasa hii simu hivi sasa ni week kila nikiitumia haitoi simu wala kupokea inaniandikia Not registed on network
Naomba msaada kwa anayejua namna ya kutatua hii changamoto ili niweze kuendelea kutumia kasimu kangu
Chief mkwawa kaka plz kama umelisoma bandiko langu naomba unisaidie kaka.