cleokippo
JF-Expert Member
- Dec 21, 2014
- 2,072
- 1,697
Habar za usiku huu wana nzengo, mimi ni mmiliki wa carwash somewhere
Kwa bahati mbaya au nzuri pale nilipoweka carwash yangu kuna shughuli kadha wa kadha za kijamii,
Kwa kipindi ambacho nimeanzisha hapakuwa na shughuli yeyote ila sasa kutokana na kuendelea kwa lile eneo ndio ikapelekea uwepo wa shughuli za kijamii wakiwemo na mama lishe
Sasa kutokana na uhitaji wao wa maji, wakaniomba kwamba niwe nawauzia ili waweze kuendeshea biashara zao
Mimi nilikataa kwa kuamini kwamba wataniongezea mzigo wa bili sababu vipesa vyao vidogodogo nitakuwa navitumia na si kuviweka kwa ajili ya kulipia bill
Baadae nikagundua kwamba kitenda cha kuwakatalia kuwauzia ni kuwakwamisha kwenye biashara zao hivyo nikaamua kufanya hiyo huduma nikiamin kama nawasaidia
Sasa bas baada ya kama liwiki limoja akaja jamaa akajitambulisha kama ni mtumishi wa mamlaka ya maji hivyo akaniambia nisiwauzie maji wale wa akina mama kwani ni kosa kisheria hivyo wanaweza wakanikamata
Na wale wa mama wameshazoea na hawana sehem nyingine ya kupata huduma zaid ya pale kwangu
Sasa naomba kuwauliza wana sheria
Jeh! Sheria inasemaje kuhusiana na hili swala la kuuza maji?
Kama sheria inakataza nifanye nini ili niweze kuwasaidia hawa watu wenye uhitaji?
Maana hawana sehem nyingine yeyote ambayo wanaweza kupata hiyo huduma kwa eneo lile
AAksanteni
Kwa bahati mbaya au nzuri pale nilipoweka carwash yangu kuna shughuli kadha wa kadha za kijamii,
Kwa kipindi ambacho nimeanzisha hapakuwa na shughuli yeyote ila sasa kutokana na kuendelea kwa lile eneo ndio ikapelekea uwepo wa shughuli za kijamii wakiwemo na mama lishe
Sasa kutokana na uhitaji wao wa maji, wakaniomba kwamba niwe nawauzia ili waweze kuendeshea biashara zao
Mimi nilikataa kwa kuamini kwamba wataniongezea mzigo wa bili sababu vipesa vyao vidogodogo nitakuwa navitumia na si kuviweka kwa ajili ya kulipia bill
Baadae nikagundua kwamba kitenda cha kuwakatalia kuwauzia ni kuwakwamisha kwenye biashara zao hivyo nikaamua kufanya hiyo huduma nikiamin kama nawasaidia
Sasa bas baada ya kama liwiki limoja akaja jamaa akajitambulisha kama ni mtumishi wa mamlaka ya maji hivyo akaniambia nisiwauzie maji wale wa akina mama kwani ni kosa kisheria hivyo wanaweza wakanikamata
Na wale wa mama wameshazoea na hawana sehem nyingine ya kupata huduma zaid ya pale kwangu
Sasa naomba kuwauliza wana sheria
Jeh! Sheria inasemaje kuhusiana na hili swala la kuuza maji?
Kama sheria inakataza nifanye nini ili niweze kuwasaidia hawa watu wenye uhitaji?
Maana hawana sehem nyingine yeyote ambayo wanaweza kupata hiyo huduma kwa eneo lile
AAksanteni