cleokippo
JF-Expert Member
- Dec 21, 2014
- 2,072
- 1,697
Tumekuwa tukiwalalamikia mara kwa mara hawa mamlaka ya maji sengerema kwa kushindwa kutoa huduma stahiki kwa wananchi wao
Mbunge pamoja na wananchi wamepiga kelele weee mpaka wamechoka lakin hawaelewi sasa kama mh wazir upo humu jukwaan jaribu kuimulika uone uozo wa wafanyakazi wa idara yako
Sengerema kila kukicha kilio chetu ni maji, maji, maji
Chakuskitisha sasa kila siku maji hayatoki lakin bili zinatoka na kinachokera zaidi bili zinapotoka utapigiwa simu wewe mpaka ukome wakitaka ulipie hiyo bili, kwakifupi mamlaka wanachojua ni kudai watu walipe bili tu na sio wao kutoa huduma
Biashara za watu zimesimama, wanawapotezea watu pesa nyingi kwelkwel
Kama juzi nilikuwa na jamaa 1 hv yeye ni mkulya ni mmiliki wa carwash moja pale sengerema, jamaa alikuwa
Analalamika gar 8 zimeondoka pale kwenye carwash yake kwa kukosa maji
Sasa gar 8 ni sawa na 40 elf
Sasa mara mwezi huyo mtu wanakuwa wamemkosesha tsh ngapi?
Na je! Mamlaka inawajibikaje kwa mtu kama huyo waliyemkosesha hiyo 40 elf? Hilo ndio swali la kujiuliza
Ila kwakuwa wafanyakazi wote wa mamlaka ya maji sengerema ni vilaza hakuna hata mmoja anayewaza juu ya hasara wanazopata wafanya biashara
Pia nimeona jopo la wananchi wakichota maji ya kunywa kwenye visima kutakana na kukosekana kwa maji ya bomba
Wengi wa wananch walikuwa wakilalamika kwa kuhofia mlipuko wa ugonjwa wa kipindu pindu
Hivyo bas kama wazir wa maji upo umu jukwaan jaribu kuwasaidia wakazi wa sengerema ili waweze kuepukana na hii adha
Mbunge pamoja na wananchi wamepiga kelele weee mpaka wamechoka lakin hawaelewi sasa kama mh wazir upo humu jukwaan jaribu kuimulika uone uozo wa wafanyakazi wa idara yako
Sengerema kila kukicha kilio chetu ni maji, maji, maji
Chakuskitisha sasa kila siku maji hayatoki lakin bili zinatoka na kinachokera zaidi bili zinapotoka utapigiwa simu wewe mpaka ukome wakitaka ulipie hiyo bili, kwakifupi mamlaka wanachojua ni kudai watu walipe bili tu na sio wao kutoa huduma
Biashara za watu zimesimama, wanawapotezea watu pesa nyingi kwelkwel
Kama juzi nilikuwa na jamaa 1 hv yeye ni mkulya ni mmiliki wa carwash moja pale sengerema, jamaa alikuwa
Analalamika gar 8 zimeondoka pale kwenye carwash yake kwa kukosa maji
Sasa gar 8 ni sawa na 40 elf
Sasa mara mwezi huyo mtu wanakuwa wamemkosesha tsh ngapi?
Na je! Mamlaka inawajibikaje kwa mtu kama huyo waliyemkosesha hiyo 40 elf? Hilo ndio swali la kujiuliza
Ila kwakuwa wafanyakazi wote wa mamlaka ya maji sengerema ni vilaza hakuna hata mmoja anayewaza juu ya hasara wanazopata wafanya biashara
Pia nimeona jopo la wananchi wakichota maji ya kunywa kwenye visima kutakana na kukosekana kwa maji ya bomba
Wengi wa wananch walikuwa wakilalamika kwa kuhofia mlipuko wa ugonjwa wa kipindu pindu
Hivyo bas kama wazir wa maji upo umu jukwaan jaribu kuwasaidia wakazi wa sengerema ili waweze kuepukana na hii adha