cleokippo
JF-Expert Member
- Dec 21, 2014
- 2,072
- 1,697
Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa tanzania na kazi iendelee
Wanajamvi, nimekuwa na tatizo la nyuki kuweka makazi ndani kwenye dirisha la nyumba changu hali iliyolelekea kuhama kabisa na kukiacha kile chumba
Sina hakika lini nyuki hawa walianza kuweka kambi ila leo hii usiku wa tar 08/09/23 majira ya saa 3 usiku niliporejea tu nyumba nikakuta luku imeisha hivyo nikalazimika kuingia na tochi ya simu
Nilipoingia chumban ghafla nikakutana na nyuki kama wawili hv wapo kitandan
Nikastaajabu kwamba hawa nyuki wametoka wapi, ghafla ikabid niangalie dirishan
Nilipoangalia tu dirishan nikakuta nyuki wengi sana wametanda juu ya dirisha ikanibid nifunge nyumba na kuondoka.
Baadhi ya watu kutokana na iman zao wakasema hao ni ndugu zangu wamenikumbuka, wengine wakasema nitafute moto niwaondoe
Wengine wakasema ninunue rungu, sasa mpaka hapa nipo njia ya panda sijui ni njia gan bora ya kuwaondoa wale nyuki
Hivyo bas kwa yeyote mwenye ufaham juu ya jambo hili naomba anijuze tafadhal
Wanajamvi, nimekuwa na tatizo la nyuki kuweka makazi ndani kwenye dirisha la nyumba changu hali iliyolelekea kuhama kabisa na kukiacha kile chumba
Sina hakika lini nyuki hawa walianza kuweka kambi ila leo hii usiku wa tar 08/09/23 majira ya saa 3 usiku niliporejea tu nyumba nikakuta luku imeisha hivyo nikalazimika kuingia na tochi ya simu
Nilipoingia chumban ghafla nikakutana na nyuki kama wawili hv wapo kitandan
Nikastaajabu kwamba hawa nyuki wametoka wapi, ghafla ikabid niangalie dirishan
Nilipoangalia tu dirishan nikakuta nyuki wengi sana wametanda juu ya dirisha ikanibid nifunge nyumba na kuondoka.
Baadhi ya watu kutokana na iman zao wakasema hao ni ndugu zangu wamenikumbuka, wengine wakasema nitafute moto niwaondoe
Wengine wakasema ninunue rungu, sasa mpaka hapa nipo njia ya panda sijui ni njia gan bora ya kuwaondoa wale nyuki
Hivyo bas kwa yeyote mwenye ufaham juu ya jambo hili naomba anijuze tafadhal