Wataalamu wa PC msaada tafadhali

cleokippo

JF-Expert Member
Dec 21, 2014
2,072
1,697
Habar za majukumu wana jamvi,

Kwa wale wataalamu wa pc msaada wenu plz

Nimenunua pc aina ya hp 450, wakati nainunua pale dukan , niliiangalia betri yake ili niweze kujua kwamba inakaa na chaji?

Ilinionesha kwamba chaji inakaa masaa matatu na dk 40. (03:40)

Lakini baada ya kufika om na kuanza kuitumia nikagundua chaji inaisha ndani ya lisaa limoja

Sasa mpaka wakati huu nashindwa kuelewa, nini kinapelekea chaji kuisha ndan ya muda mfup wakati inaonesha ni masaa 3;40?

Mwenye uelewa kidogo juu ya changamoto hii anisaidie tafadhal
 
Inategemea unaifanyia kazi gani, cha kwanza kabisa punguza mwanga ni kama simu tu ukiweka mwanga mkubwa usitegee kama itakaa na charge sawa na simu iliyowekwa mwanga mdogo
 
Kama unaifanyia kazi nzitonzito...
Iko online muda mwingi...
Unadownload mavitu online..

Obvious hapo ukaaji wa chaji hauwezi kuwa sawa na ikiwa inafanya kazi simple simple kama kutype na kuangalia muvi..
 
Habar za majukumu wana jamvi,

Kwa wale wataalamu wa pc msaada wenu plz

Nimenunua pc aina ya hp 450, wakati nainunua pale dukan , niliiangalia betri yake ili niweze kujua kwamba inakaa na chaji?

Ilinionesha kwamba chaji inakaa masaa matatu na dk 40. (03:40)

Lakini baada ya kufika om na kuanza kuitumia nikagundua chaji inaisha ndani ya lisaa limoja

Sasa mpaka wakati huu nashindwa kuelewa, nini kinapelekea chaji kuisha ndan ya muda mfup wakati inaonesha ni masaa 3;40?

Mwenye uelewa kidogo juu ya changamoto hii anisaidie tafadhal
Wakati unatest dukani hio ni standby time, wakati ule haifanyi kazi ndio maana ika onesha huo muda. Ulitakiwa pale pale dukani urun kitu heavy.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom