Mapadre acheni kuudhalilisha ukatoliki (padre aomba waumini wamchangie milion 90 anunue kluger ya kutembelea

cleokippo

JF-Expert Member
Dec 21, 2014
2,072
1,697
Nimeandika kwa masikitiko makubwa sana nikiwa kama muumin kindakindaki mkatoliki

Miezi miwili iliyopita nilijumuika na waumini wenzangu kwenye misa ya asubuh ndani ya kanisa katoliki lililopo maeneo ya saint carol wilayani sengerema jijini Mwanza

Mamia ya waumini tulijumuika kwenye misa hiyo,

Kitu kilichonishangaza kwenye hiyo ibada ni pale padre alipoomba waumini tumchangie pesa kiasi cha milioni 90 kwa ajili ya kununua toyota kluger ya kutembelea

Padre hakuishia hapo bali aliendelea kwa kutoa utaratibu wa namna gani pesa hiyo itapatikana

Alitoa amri kila kigango kimchangie milioni 1 na pesa nyingine alielekeza namna zitakapopatikana infact nilijiskia vibaya sana na kujiuliza hv wakatoliki kweli tumefikia hatua hii?

Leo hii tena tarehe 10 nimeudhulia misa ya asubuh kwenye kanisa lilelile padre aliongea kauli yenye ukakas sana, kwamba baba paroko amemwagiza amchukulie kiasi cha milioni moja ambacho aliwaomba waumin wamchangie akiwa kwenye ibada siku za nyuma zilizopita

Niliposkia kauli hiyo nilitoka ndani ya kanisa na kuondoka zangu

Sasa swali langu linaenda kwa wale viongozi wa juu wa kikatoliki

Kwanini mmetufanya sisi waumini wenu kama major source of income? Au mnataka tusiwe tunakuja kusali?

Haya mambo kwenye ukatoliki yameanza lini mbona mnajidhalilisha

Na hiyo kluger ya milion 90 ni kluger gan au anataka range?

Tena kaongea kabisa kwamba ameongea na wataalam wa magar wakamshaur gar nzur inayofaa kwa mazingira ya kitanzania ni kampuni ya toyota na wakamshaur anunue toyota kluger ambayo wakampatia na bei tsh milion 90 wakatoliki badiliken mnatia aibu
 
Hakuna huo utaratibu na padre haruhusiwi kumiliki mali binafsi. Hapo imetumika lugha ya mafumbo aliposema gari lake anamaanisha "gari la parokia" . Wakati mwingine mapadre wakiomba kuchangiwa labda kwa 'mkono wa kwaheri' au sababu fulani, hiyo pesa huwa hawaitumii kwa matumizi binafsi bali utakuta wanapeleka kutoa misaada au wanapeleka kwenye shirika fulani na huwa hawasemi inabaki mioyoni mwao. Mfano kuna padre aliandika vitabu kadhaa kwa hiyo akaomba waumini wamchangie kununua hivyo vitabu ili apate pesa kidogo, Lakini kumbe baadaye ilijulikana ile pesa yote alipeleka kuchangia kituo maalum cha rehab.
 
Nimeandika kwa masikitiko makubwa sana nikiwa kama muumin kindakindaki mkatoliki

Miezi miwili iliyopita nilijumuika na waumini wenzangu kwenye misa ya asubuh ndani ya kanisa katoliki lililopo maeneo ya saint carol wilayani sengerema jijini Mwanza

Mamia ya waumini tulijumuika kwenye misa hiyo,

Kitu kilichonishangaza kwenye hiyo ibada ni pale padre alipoomba waumini tumchangie pesa kiasi cha milioni 90 kwa ajili ya kununua toyota kluger ya kutembelea

Padre hakuishia hapo bali aliendelea kwa kutoa utaratibu wa namna gani pesa hiyo itapatikana

Alitoa amri kila kigango kimchangie milioni 1 na pesa nyingine alielekeza namna zitakapopatikana infact nilijiskia vibaya sana na kujiuliza hv wakatoliki kweli tumefikia hatua hii?

Leo hii tena tarehe 10 nimeudhulia misa ya asubuh kwenye kanisa lilelile padre aliongea kauli yenye ukakas sana, kwamba baba paroko amemwagiza amchukulie kiasi cha milioni moja ambacho aliwaomba waumin wamchangie akiwa kwenye ibada siku za nyuma zilizopita

Niliposkia kauli hiyo nilitoka ndani ya kanisa na kuondoka zangu

Sasa swali langu linaenda kwa wale viongozi wa juu wa kikatoliki

Kwanini mmetufanya sisi waumini wenu kama major source of income? Au mnataka tusiwe tunakuja kusali?

Haya mambo kwenye ukatoliki yameanza lini mbona mnajidhalilisha

Na hiyo kluger ya milion 90 ni kluger gan au anataka range?

Tena kaongea kabisa kwamba ameongea na wataalam wa magar wakamshaur gar nzur inayofaa kwa mazingira ya kitanzania ni kampuni ya toyota na wakamshaur anunue toyota kluger ambayo wakampatia na bei tsh milion 90 wakatoliki badiliken mnatia aibu
Nje ya mada tu, unashangaa Nini kluger kuuzwa milion 90, padri anataka kitu 0 kms kwenye karatasi.... Unajua Bei ya kumenya ist mpya????

Au kisa tushazoea unaagiza gari Ina Km 80k ila kwa kua umetoka Japan tunasema mpya?
 
Nimeandika kwa masikitiko makubwa sana nikiwa kama muumin kindakindaki mkatoliki

Miezi miwili iliyopita nilijumuika na waumini wenzangu kwenye misa ya asubuh ndani ya kanisa katoliki lililopo maeneo ya saint carol wilayani sengerema jijini Mwanza

Mamia ya waumini tulijumuika kwenye misa hiyo,

Kitu kilichonishangaza kwenye hiyo ibada ni pale padre alipoomba waumini tumchangie pesa kiasi cha milioni 90 kwa ajili ya kununua toyota kluger ya kutembelea

Padre hakuishia hapo bali aliendelea kwa kutoa utaratibu wa namna gani pesa hiyo itapatikana

Alitoa amri kila kigango kimchangie milioni 1 na pesa nyingine alielekeza namna zitakapopatikana infact nilijiskia vibaya sana na kujiuliza hv wakatoliki kweli tumefikia hatua hii?

Leo hii tena tarehe 10 nimeudhulia misa ya asubuh kwenye kanisa lilelile padre aliongea kauli yenye ukakas sana, kwamba baba paroko amemwagiza amchukulie kiasi cha milioni moja ambacho aliwaomba waumin wamchangie akiwa kwenye ibada siku za nyuma zilizopita

Niliposkia kauli hiyo nilitoka ndani ya kanisa na kuondoka zangu

Sasa swali langu linaenda kwa wale viongozi wa juu wa kikatoliki

Kwanini mmetufanya sisi waumini wenu kama major source of income? Au mnataka tusiwe tunakuja kusali?

Haya mambo kwenye ukatoliki yameanza lini mbona mnajidhalilisha

Na hiyo kluger ya milion 90 ni kluger gan au anataka range?

Tena kaongea kabisa kwamba ameongea na wataalam wa magar wakamshaur gar nzur inayofaa kwa mazingira ya kitanzania ni kampuni ya toyota na wakamshaur anunue toyota kluger ambayo wakampatia na bei tsh milion 90 wakatoliki badiliken mnatia aibu
Kumbe na nyie mmepatwa na uchumi a tumbo kama sisi wapendekoste ehh... 😁 😁 Hadi padirii anawapiga panga eti cruger mil 90..balaa😆😆
 
Back
Top Bottom