David Zacharia Kafulila (born 15 February 1982) is a Tanzanian Civil Servant and current Regional Commissioner for Simiyu Region after serving as Regional Administrative Secretary for Songwe Region from 2018 to 2020. He was the NCCR–Mageuzi politician and Member of Parliament for Kigoma South constituency since 2010 to 2015. He's the first Member of Parliament to get a whistle-blower award he received such prize in the year 2015 after exposing and champion the Tegeta Escrow scandal which cost the nation loss of about $200.
SEHEMU YA KUMBUKUMBU YA RAIS MKAPA: MIAKA 6 TANGU ATUAGE
Anaandika Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC), Bw. David Kafulila, kupitia mtandao wa X.
Na David Kafulila
Julai 24, 2026
Kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Fedha Duniani (IMF), ukubwa wa...
KAFULILA-UJANJA WA CHINA UMETOKA MAREKANI
Akihutubia katika mhadhara wa umma maalum uliofanyika Chuo Kikuu cha SUA, Bwana David Kafulila, Mkurugenzi Mkuu wa PPPC Tanzania, alisema kuwa historia ya China ni mfano wa namna sera sahihi na uwekezaji katika rasilimali watu vinavyoweza kubadilisha...
==
Akihutubia katika mhadhara wa umma maalum uliofanyika Chuo Kikuu cha SUA, Bwana David Kafulila, Mkurugenzi Mkuu wa PPPC Tanzania, alisema mjadala kuhusu kupunguza idadi ya watu una sura mbili: wa kiimani na wa kiuchumi. Alisisitiza kuwa yeye hawezi kuingilia mjadala wa kiimani, lakini katika...
KUMSOMESHA MTOTO WA KIMASIKINI NI FAIDA KIUCHUMI LAKINI NI HASARA KIBIASHARA-KAFULILA
Akizungumza katika chuo cha SUA, David Kafulila alieleza kuwa katika kipindi cha mpito cha maendeleo, ni jukumu la serikali kuhakikisha vipaji vya watoto havipotei kwa sababu ya umasikini wa familia zao...
Katika mhadhara wa umma Chuo Kikuu cha Sokoine (SUA), Mkurugenzi wa PPPC Bwan David Kafulila alieleza kuwa tangu kuanzishwa kwa mfumo wa ubia, serikali imefanikisha miradi yenye thamani ya takribani trilioni 6, na mwaka 2011 pekee miradi hiyo ilikuwa na thamani ya shilingi trilioni 2.5. Hadi...
|||MASAA 2 BILA KUSOMA POPOTE.-MHADHIRI SUA.
David Kafulila, Mkurugenzi wa PPPC, akihutubia katika mhadhara wa umma Chuo Kikuu cha Sokoine (SUA), alisisitiza wajibu wa taasisi hiyo kubwa yenye historia pana kushiriki kikamilifu katika utekelezaji wa dira ya taifa na mpango wa maendeleo wa miaka...
Katika dunia ya leo, Ushirikiano kati ya sekta ya umma na binafsi (PPP) umejidhihirisha kuwa nguzo muhimu katika kuleta mageuzi ya kiuchumi, hasa kwenye sekta ya kilimo. Nchi kama Kenya kupitia miradi ya umwagiliaji wa Galana Kulalu, na India kupitia ubia wa serikali na makampuni binafsi kwenye...
Kwenye Ukurasa wake wa X, Hiki ndicho alichoandika Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Ubia nchini Tanzania (PPPC ) Bwana David Zacharia Kafulila katika hitimisho la Dira ya miaka 25 iliyomalizika na karibisho la miaka 25 Ijayo.
==
Leo tunafunga Dira ya miaka 25 iliyoanza mwaka 2000/2001 tukiwa na...
Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba amesema agenda ya sekta binafsi siyo tu agenda ya sekta binafsi pekee bali ni agenda muhimu na mtambuka ya taifa.
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa Mkutano wa mwaka wa Tanzania National Chember of Commerce...
Wasalaaam, Soma hii Mzumbe Public Lecture kwa makini sana uelewe kwanini serikali zote duniani kwa sasa zinakimbizana na PPP,
Mikopo yote (serikali, sekta binafsi, kaya) imefikia zaidi ya USD trilioni 300, wakati uchumi wa dunia ni takribani USD trilioni 115 — Deni hili ni karibu mara tatu ya...
MASHIRIKA YANAYOCHELEWESHA MIRADI YA PPP SASA KUWEKWA KITIMOTO BUNGENI DODOMA
===
SPIKA ZUNGU amesema kuwa baadhi ya miradi ya PPP imekwama kwa muda mrefu, hali inayosababisha kupungua kwa mapato ya serikali. Amesema kutokana na hilo, amemwagiza Mtendaji Mkuu wa PPP kuwasilisha orodha ya...
Wasalaam, Hivi ndivyo alivyofanya David Kafulila chuo kikuu cha DODOMA, amefafanua jambo moja baada ya jingine kwa kina, Soma mpaka mwisho l,
===
1. $1 Trilioni Club inawezekana
Historia inatufundisha: Korea Kusini ilitoka uchumi wa ∼$90-100 bilioni → $1+ trilioni ndani ya miaka 25. Mwaka 1995...
KAFULILA ATAJA MOTISHA AMBAZO MBIA ANAPEWA NCHINI TANZANIA
Dodoma – Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini Tanzania (PPPC), Bwana David Zacharia Kafulila, katika public lecture yake alieleza kwa kina kuhusu motisha (incentives) zilizomo ndani ya Sheria ya PPP, akisisitiza kwamba baadhi...
https://www.youtube.com/live/YM6E5-HS0cg?si=21CIYEQBhoNnR8Qj
UDOM PUBLIC LECTURE: DAVID KAFULILA YUKO LIVE
Katika mhadhara wa umma ulioandaliwa na Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), College of Business and Economics, leo tarehe 3 Juni 2026, David Z. Kafulila, Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia...
MHADHARA MAALUM WA UMMA (PUBLIC LECTURE)
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kupitia College of Business and Economics (CoBE), kwa kushirikiana na Public Private Partnership Centre (PPP Centre), kinakukaribisha kwenye Mhadhara Maalum wa Umma utakaowasilishwa na Mhe. David Kafulila Mkurugenzi...
AFRICA DAY 2026: PPP NI DARAJA LA MAENDELEO YA AFRIKA
Katika kuadhimisha Siku ya Afrika Mei 25, 2026, Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi Tanzania (PPPC) kimetoa ujumbe wenye maono makubwa kuhusu mustakabali wa bara la Afrika kupitia ushirikiano wa maendeleo na uwekezaji...
===
Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Ubia nchini (PPPC), Bwana David Kafulila, amesema kuwa wakati wa kupitisha sheria za ubia, Tanzania iliruhusu kutatua migogoro kwa mamlaka za ndani. Hata hivyo, pale ambapo suluhu haikupatikana, ama kwa upande wa mwekezaji au taasisi ya umma, kulihitajika haki ya...
Mkurugenzi wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila katika salamu zake za Meimosi amesema ingawa sheria ya kumlinda mtumishi wa Umma dhidi ya matumizi mabaya ya madaraka kutoka kwa viongozi waovu, Lakini kwa sasa imekuwa mzigo kwa walipa kodi kwa sababu ugumu wa kumwondoa mtumishi...
===
Akiongea katika kikao cha Baraza la Wafanyakazi Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana Kafulila aliwapongeza wafanyakazi kwa mafanikio makubwa ya kuifanya ajenda ya PPP kueleweka kwa kasi kwa umma na mfumo mzima wa Serikali.
Akaendelea kusema, Mafanikio hayo yamepelekea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.