david kafulila

David Zacharia Kafulila (born 15 February 1982) is a Tanzanian Civil Servant and current Regional Commissioner for Simiyu Region after serving as Regional Administrative Secretary for Songwe Region from 2018 to 2020. He was the NCCR–Mageuzi politician and Member of Parliament for Kigoma South constituency since 2010 to 2015. He's the first Member of Parliament to get a whistle-blower award he received such prize in the year 2015 after exposing and champion the Tegeta Escrow scandal which cost the nation loss of about $200.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Hayati Benjamini Mkapa aliweza kuukuza Uchumi wa Tanzania na kuwa karibu sana na wa Kenya | Endelea kupumzika kwa amani Mzee Mkapa

    SEHEMU YA KUMBUKUMBU YA RAIS MKAPA: MIAKA 6 TANGU ATUAGE Anaandika Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC), Bw. David Kafulila, kupitia mtandao wa X. Na David Kafulila Julai 24, 2026 Kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Fedha Duniani (IMF), ukubwa wa...
  2. M

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Ujanja wa China ya leo umetoka Marekani | Ni baada ya Vijana wao kupelekwa Marekani kusomea teknolojia

    KAFULILA-UJANJA WA CHINA UMETOKA MAREKANI Akihutubia katika mhadhara wa umma maalum uliofanyika Chuo Kikuu cha SUA, Bwana David Kafulila, Mkurugenzi Mkuu wa PPPC Tanzania, alisema kuwa historia ya China ni mfano wa namna sera sahihi na uwekezaji katika rasilimali watu vinavyoweza kubadilisha...
  3. M

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Suala sio kuwa na watu wengi Swali ni Je, wanazalisha nini kwa wingi wao | Singapore inawatu mil 6 lakini imetupita mbali kiuchumi

    == Akihutubia katika mhadhara wa umma maalum uliofanyika Chuo Kikuu cha SUA, Bwana David Kafulila, Mkurugenzi Mkuu wa PPPC Tanzania, alisema mjadala kuhusu kupunguza idadi ya watu una sura mbili: wa kiimani na wa kiuchumi. Alisisitiza kuwa yeye hawezi kuingilia mjadala wa kiimani, lakini katika...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kafuliala: Wawekezaji hawawalengi masikini na watoto wao wanaangalia faida zao, Serikali inaangali wote ndio maana lazima ipunguziwe majukumu

    KUMSOMESHA MTOTO WA KIMASIKINI NI FAIDA KIUCHUMI LAKINI NI HASARA KIBIASHARA-KAFULILA Akizungumza katika chuo cha SUA, David Kafulila alieleza kuwa katika kipindi cha mpito cha maendeleo, ni jukumu la serikali kuhakikisha vipaji vya watoto havipotei kwa sababu ya umasikini wa familia zao...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Msongamano mkubwa wa Malori ya Mizigo Dar-Chalinze kwa sasa ni matokeo ya Ubia (PPP) Bandari ya Dar es salaam-David Kafulila

    Katika mhadhara wa umma Chuo Kikuu cha Sokoine (SUA), Mkurugenzi wa PPPC Bwan David Kafulila alieleza kuwa tangu kuanzishwa kwa mfumo wa ubia, serikali imefanikisha miradi yenye thamani ya takribani trilioni 6, na mwaka 2011 pekee miradi hiyo ilikuwa na thamani ya shilingi trilioni 2.5. Hadi...
  6. M

    JamiiForums Tanzania MOROGORO SUA: David Kafulila ahutubia masaa 2 pasina kusoma popote, Tumpongeze

    |||MASAA 2 BILA KUSOMA POPOTE.-MHADHIRI SUA. David Kafulila, Mkurugenzi wa PPPC, akihutubia katika mhadhara wa umma Chuo Kikuu cha Sokoine (SUA), alisisitiza wajibu wa taasisi hiyo kubwa yenye historia pana kushiriki kikamilifu katika utekelezaji wa dira ya taifa na mpango wa maendeleo wa miaka...
  7. Y

    JamiiForums Tanzania Hatimaye Chuo Kikuu cha SUA chamwalika David Kafulila kutoa mhadhara wa wazi kuhusu kilimo cha kisasa na ubia (PPP) kuelekea Dira 2050

    Katika dunia ya leo, Ushirikiano kati ya sekta ya umma na binafsi (PPP) umejidhihirisha kuwa nguzo muhimu katika kuleta mageuzi ya kiuchumi, hasa kwenye sekta ya kilimo. Nchi kama Kenya kupitia miradi ya umwagiliaji wa Galana Kulalu, na India kupitia ubia wa serikali na makampuni binafsi kwenye...
  8. Y

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Kutoka Uzalishaji wa USD Trilioni 1.15 kwa Robo Karne hadi USD Trilioni 1 kwa Mwaka, Kwaheri Dira2025 karibu Dira2050

    Kwenye Ukurasa wake wa X, Hiki ndicho alichoandika Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Ubia nchini Tanzania (PPPC ) Bwana David Zacharia Kafulila katika hitimisho la Dira ya miaka 25 iliyomalizika na karibisho la miaka 25 Ijayo. == Leo tunafunga Dira ya miaka 25 iliyoanza mwaka 2000/2001 tukiwa na...
  9. Y

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwigulu: David Kafulila ni kiongozi kijana, msomi na ana-exposure

    Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba amesema agenda ya sekta binafsi siyo tu agenda ya sekta binafsi pekee bali ni agenda muhimu na mtambuka ya taifa. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa Mkutano wa mwaka wa Tanzania National Chember of Commerce...
  10. Y

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Deni la Dunia ni zaidi ya Trillion 300 wakati uchumi wa Dunia ni USD Trillion 115, hii ni moja ya sababu za PPP

    Wasalaaam, Soma hii Mzumbe Public Lecture kwa makini sana uelewe kwanini serikali zote duniani kwa sasa zinakimbizana na PPP, Mikopo yote (serikali, sekta binafsi, kaya) imefikia zaidi ya USD trilioni 300, wakati uchumi wa dunia ni takribani USD trilioni 115 — Deni hili ni karibu mara tatu ya...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Spika Zungu aagiza Uchunguzi wa Miradi ya PPP iliyokwama

    MASHIRIKA YANAYOCHELEWESHA MIRADI YA PPP SASA KUWEKWA KITIMOTO BUNGENI DODOMA === SPIKA ZUNGU amesema kuwa baadhi ya miradi ya PPP imekwama kwa muda mrefu, hali inayosababisha kupungua kwa mapato ya serikali. Amesema kutokana na hilo, amemwagiza Mtendaji Mkuu wa PPP kuwasilisha orodha ya...
  12. M

    JamiiForums Tanzania UDOM: Hizi hapa hoja 15 nzito alizozipangua David Kafulila

    Wasalaam, Hivi ndivyo alivyofanya David Kafulila chuo kikuu cha DODOMA, amefafanua jambo moja baada ya jingine kwa kina, Soma mpaka mwisho l, === 1. $1 Trilioni Club inawezekana Historia inatufundisha: Korea Kusini ilitoka uchumi wa ∼$90-100 bilioni → $1+ trilioni ndani ya miaka 25. Mwaka 1995...
  13. Y

    JamiiForums Tanzania DODOMA: David Kafulila ataja vivutio vya uwekezaji kwa Ubia vinavyotolewa na Serikali kwa Mwekezaji hasa wa PPP

    KAFULILA ATAJA MOTISHA AMBAZO MBIA ANAPEWA NCHINI TANZANIA Dodoma – Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini Tanzania (PPPC), Bwana David Zacharia Kafulila, katika public lecture yake alieleza kwa kina kuhusu motisha (incentives) zilizomo ndani ya Sheria ya PPP, akisisitiza kwamba baadhi...
  14. M

    JamiiForums Tanzania David Kafulila yuko chuo cha UDOM akiwajengea uwezo vijana wasomi Watanzania kuhusu PPP

    https://www.youtube.com/live/YM6E5-HS0cg?si=21CIYEQBhoNnR8Qj UDOM PUBLIC LECTURE: DAVID KAFULILA YUKO LIVE Katika mhadhara wa umma ulioandaliwa na Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), College of Business and Economics, leo tarehe 3 Juni 2026, David Z. Kafulila, Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia...
  15. Y

    JamiiForums Tanzania Hatimaye David Kafulila aalikwa UDOM kutoa Public Lecture. Huenda huu ukawa ndio mjadala bora zaidi wa mwaka 2026

    MHADHARA MAALUM WA UMMA (PUBLIC LECTURE) Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kupitia College of Business and Economics (CoBE), kwa kushirikiana na Public Private Partnership Centre (PPP Centre), kinakukaribisha kwenye Mhadhara Maalum wa Umma utakaowasilishwa na Mhe. David Kafulila Mkurugenzi...
  16. M

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Africa inaweza kupunguza zaidi tatizo la Ajira kwa Watoto wa Kiafrica kupitia Ubia | Happy frica Day 2026

    AFRICA DAY 2026: PPP NI DARAJA LA MAENDELEO YA AFRIKA Katika kuadhimisha Siku ya Afrika Mei 25, 2026, Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi Tanzania (PPPC) kimetoa ujumbe wenye maono makubwa kuhusu mustakabali wa bara la Afrika kupitia ushirikiano wa maendeleo na uwekezaji...
  17. M

    JamiiForums Tanzania PICHA: David Kafulila aifikisha Tanzania nafasi ya 9 Duniani kwa PPP.

    Hongera Rais Samia, Hongera Kafulila Hongera team PPP Centre
  18. U

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Tanzania ili kufikia Uchumi wa USD Trillion Moja lazima tufikie uwekeezaji wa USD Trillion 3.7 hili haliwezekani kwa Kodi na Mikopo

    === Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Ubia nchini (PPPC), Bwana David Kafulila, amesema kuwa wakati wa kupitisha sheria za ubia, Tanzania iliruhusu kutatua migogoro kwa mamlaka za ndani. Hata hivyo, pale ambapo suluhu haikupatikana, ama kwa upande wa mwekezaji au taasisi ya umma, kulihitajika haki ya...
  19. U

    JamiiForums Tanzania Tanzania ni ngumu kumfukuza mtumishi wa Umma Mzembe kazini | Salamu za Meimosi kutoka kwa David Kafulila

    Mkurugenzi wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila katika salamu zake za Meimosi amesema ingawa sheria ya kumlinda mtumishi wa Umma dhidi ya matumizi mabaya ya madaraka kutoka kwa viongozi waovu, Lakini kwa sasa imekuwa mzigo kwa walipa kodi kwa sababu ugumu wa kumwondoa mtumishi...
  20. U

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Nchini Botswana ni rahisi zaidi kumfukuza kazi mtumishi Mzembe kuliko Tanzania, Je Sheria yetu ya Utumishi ni Mzigo kwa Walipa kodi?

    === Akiongea katika kikao cha Baraza la Wafanyakazi Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana Kafulila aliwapongeza wafanyakazi kwa mafanikio makubwa ya kuifanya ajenda ya PPP kueleweka kwa kasi kwa umma na mfumo mzima wa Serikali. Akaendelea kusema, Mafanikio hayo yamepelekea...
Back
Top Bottom