Nani anamchanganya huyu mzee? Ni AI generated lakini hadi rais wa nchi kubwa hivi anapost? Tf?
Source: https://truthsocial.com/@realDonaldTrump/posts/116591901587847680
Leo April 30, 2026, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu amefikishwa tena mahakamani kuendelea na kesi yake.
Soma pia Mahakama yakataa Lissu kuunganishwa kwenye kesi ya Chadema iliyofunguliwa na Said Issa Mohamed na wenzake
Baada ya malalamiko kadhaa ya Wananchi kuhusu Stendi ya Nane Nane Mkoani Mbeya kuwa na changamoto ya kuwa na kiza wakati wa usiku kutokana na Taa kutofanya kazi, kwa sasa kituo hicho kina taa mpya ambazo zinafanya kazi.
Hoja ya awali hii hapa ~ Stendi ya NaneNane – Mbeya taa haziwaki usiku...
Je, Unahitaji Taa Za kisasa kwaajiki ya Finishing ya Nyumba yako?
Luxe Light Craft, tumekuja kwaajili yako. Karibu ujipatie taa bora na za kisasa kutoka kwetu. Tunazo Taa Aina zote!
Tunapatikana kariakoo📍
Wasiliana nasi kwa whatsapp namba +255764379293
IPE NYUMBA YAKO MUONEKANO WA KISASA KWA LANDSCAPE KALI KUTOKA KWETU 0624004650
HAPA TUMEHUSIKA FROM DESIGN IDEAS
PERGOLA AND OUTDOOR LOUNGE
POOL CONSTRUCTION
TUPIGIE UPATE KAZI BORA
MAGEUZI YA MUONEKANO WA VIWANJA VYA UHURU NA BENJAMIN MKAPA KUELEKEA CAF 2027
Imeandaliwa na, Nicolas Jovin Clinton Gabone
Serikali ya Tanzania na Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF) wameshiriki kikamilifu katika ukarabati wa viwanja vikuu vya Uhuru na Benjamin Mkapa, wakiweka mkazo mkubwa...
Mzee huyu amewahi kuwa Makamu wa Rais na Waziri Mkuu kwa nyakati tofauti. Mzee huyu alikuwa kiongozi wa ngazi ya juu wakati watanzania wanaandika Katiba hii ya sasa na hata wakati wanaifanyia mabadiliko Katiba ili kuwa ya vyama vingi. Wakati wote huo alikuwa na sauti ya kutoa mapendekezo yake...
Tukiacha specifications za kwenye makaratasi, kati ya hizi chuma tatu ipi kali?
Yamaha YZF R1
Honda CBR1000RR Firebrade
BMW S1000RR
Zote cc998, zote speed na acc kali sana.
Habarini,
Tofauti na kichwa cha habari, katika pitapita zangu TikTok nlikutana na account ya jamaa mmoja mtanzania, anajiita Dr Julian sio mwanamziki wala sio muigizaji, hapost maisha expensive, ila aloo hiyo idadi ya wadada wanao-andika thirst comments kwenye picha za huyo mkaka , na...
Nikiwa bar au hata kwenye vijiwe vya wacheza bao wazee hupenda kunishtakia matatizo yao, na muda mwingine watu wa usalama kama askari polisi huwa wanahisi mimi ni mwenzao sasa sijui huwa nina sura ya kikuda?.
Kama wewe sio photogenic, basi utulie na udili na wamtaani tu.
Kuna watu hata wavae vipi, wakipiga picha unaona kabisa huyu ni mlugaluga.
Ukimfata mrembo online cha kwanza anakuomba umtumie picha akuone, anataka ajue, je unaonekaje? Unasura personal au unavutia? akiona unasura personal...
Taharuki hii ilianza baada ya binti mzungu anayeitwa Sweeney kuwekwa kwenye tangazo la American Eagle. Tangazo hilo limefanya vizuri sana kibiashara, lakini kwa upande mwingine, lilizua kilio kikali.
Marekani imegawanyika pande mbili chama cha Republicans, ambacho kwa sasa kinaongozwa na Rais...
6BEDROOMS
SEBULE KUBWA NA NDOGO
JIKO 2 (WET KITCHEN AND DRY KITCHEN)
DINING WITH PATIO
MASTER WITH PATIO
TUPIGIE KWA HUDUMA NZURI 0624004650
TUNAPATIKANA SINZA DAR ES SALAAM
Kuna wengine tunapendeza kwa jitihada ndogo mana muonekano unatubeba, sasa kama wewe huna muonekano, jitahidi uvae vizuri na unukie vizuri. Mtu anaenda jumuia kama anaenda shamba, halafu watu waki “pay attention “ kwetu mnaanza kushangaa.
Kama unajua una sura personal na irregular shape, then...
Mganga Mkuu wa Serikali Dkt. Grace Magembe akiangalia mdoli wenye muonekano wa binadamu (Manikin) ambao umeunganishwa na teknolojia inayowezesha mdoli huo kujieleza namna inavyoumwa wakati huduma ikitolewa.
Midoli hii ambayo inatumika kwa mafunzo kwa vitendo (Skills Lab) katika Chuo Kikuu cha...
Genuine question, matusi sio uungwana.
Watu wanatumia akili zao, kipaji kuingiza hela.
Je kama unamuonekano mzuri, na unatake attention ya watu, unaeezaje kugeuza hiyo attention ya watu kua chanzo cha kipato, kihalali?
Wakuu,
Kwenye pitapita zangu nimekutana na hii post uko mtandaoni, jamani kama hali yake ndo hii inasikitisha sana na inaumiza hatima ya madawa ya kulevya
Naomba mnisadie kutambua kama ndo hali aliyofikia kwa sasa, ili tujifunze jamani
Kichwa cha habari chajitosheleza...
1. Bei sio kali sana
2. Muonekano ni luxury sana
3. Space ndani ya kutosha
Ila wamiliki ni wachache sana shida ni nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.