Kuna jambo ambalo binafsi huwa linanikera sana; kuona mtu amevaa nguo lakini nguo za ndani zinaonekana wazi. Kwa upande wa wanawake, wengine huvaa nguo nyepesi au zinazobana kiasi kwamba chupi inaonekana kwa urahisi, naye anaona yupo sawa tu, na unakuta anakaa kwao anatoka mpaka ndugu zake...
MZEE FURAHAEL TENGA; ALIYEKUZIDI AKILI HUWEZI MSHINDA KWA UJINGA WAKO. ALIYEKUZIDI UTAJIRI HUWEZI MSHINDA KWA UMASKINI WAKO.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Moja ya kitu ambacho watu wajinga na wenye upeo Mdogo wanashindwa kukielewa ni pamoja na hii dhana.
Dhana hizi zinanikumbusha Mzee...
Kaambiwa na mganga eti ndiyo atavuta wateja. Sijui na kwa mama ntilie wa bongo tunakula vya ajabu vingapi?
https://youtube.com/shorts/63gg9mJ6Qug?si=qo837u5581p7h0-q
Ni ujinga wazanzibari 4% ya Watanzania kupiga kampeni za kibaguzi!!! kwa 96%.
Wabunge kutoka zanzibar wameanza kampeni za kibaguzi na kumuita huyu VP fake Yuda. Sasa hii inaweza kuleta fikra za kibaguzi kwa Watanzania pamoja na uvumilivu ubaguzi kwa watanganyika ni mkubwa sana kipindi hiki...
Kuna nyakati nyingi ambazo akili zetu huwaza mambo ya kijinga au yasiyo na mantiki, na hata kutufanya tuyandike au tuyazungumze
Hali hii ni ya kawaida kibiolojia na kisaikolojia, lakini pia hugusa sana maisha yetu ya kiroho na kihisia.
Ubongo wetu unapokosa utulivu wa ndani, unakuwa kama...
Chadema kwa ujinga wao tu bila kuzuiwa na yeyote waliamua kutoshiriki uchaguzi mkuu wa 2025.
Waliamua kutosaini kanuni za uchaguzi, ilhali vyama vingine 18 vilisaini na kushiriki uchaguzi.
Baada ya kujinyima haki hiyo wenyewe kwa mahaba yao, wameamua kuita kila kitu ni haramu,
Wanataka...
Kama unajijua kabisa 6 x 6 nguvu zimeisha, jogoo hawiki, dakika hufiki ushamaliza, n.k.
Mkeo akikwambia huwezi kumridhisha, ukaendelea kubaki nae, siku ukagundua kaanza kutoka nje kwajili ya sex, ni hekima ipi utatumia, kumkomoa anaeweza kazi au kukubali yaishe
Sijawahi kuelewea maonyesho ya silaha za kijeshi yanayofanywa na majeshi katika nchi za Africa.
Unafanyaje maonyesho ya silaha ambazo huzizalishi hazitengenezwi nchini kwako!
Wanaotengeneza hizo silaha wenyewe huko Magharibi wala huwa hawazifanyii maonyesho ya kisiasa bali ya kibiashara...
Habari zinazo trend sasa hivi ni ufala wa Tanzania kukataa kiwanda cha kuchuja mafuta Tanga.
Kiuchumi ujenzi wa kiwanda hicho ni strategic hata kama umiliki wake si 100% waTanzania.
Ufadhili wa ujenzi hicho kiwanda ni kutoka kwa Dangote, tajiri kutoka Nigeria.
Tukumbuke bomba la mafuta toka...
MABINTI WAAMBIWE UKWELI SERIKALI HAITAKUWA NA MUDA WA KUSHUGHULIKIA UJINGA NA UZEMBE WAO WATAKAPOZALISHWA NA WANAUME WAPENDA UZINZI. HASA MABINTI MASKINI.
Anaandika, Robert Heriel Mtibeli
Baba
1. Hakuna cha huruma hapa. Binti Yangu hakuna wa kukuonea huruma dunia hii. Kama hutojionea huruma...
Yaani itakuwa kupanda cheo jeshini, usalama, polisi ni lazima uwe kada na uteuzi utafuata makada kwanza ndiyo tunapoenda.
Hii ni kwasababu CCM imeishiwa njia nyingine zote za kushindani kwa hoja na kupambana na demokrasia
Ndugu zangu Watanzania,
Huo ni ujumbe wa Mheshimiwa Nape Moses Nnauye Katibu Mwenezi wa CCM Mstaafu aliyeongoza Kampeni maarufu ya kujivua Gamba Ndani ya CCM ili Wale walioitwa Mafisadi na waliokichafua chama na kujipunguzia imani na kuaminika kwa watanzania hususan vijana waweze kuwajibishwa...
Tume ya maridhiano iliyokuwa ya kutolea mfano ni ile ya Afrika ya kusini. Matatizo ya Afrika Kusini yalitokana na siasa za ubaguzi wa rangi. Baada ya siasa hizo kutoweka, Ndo ikaundwa Tume ya maridhiano. ilikuwa salama kwa sababu hakuna jinsi siasa hizo zinaweza kurudi nchini kwao.
Kenya...
Unaweza kudanganya lakini huwezi kudanganya miaka yote hiyo tume imepoteza kodi zetu na kuja na riport ya kijinga namna ile ? Uliona wapi mtu ambae ndo anatuhumiwa kwa mauaji anaunda Tume ya kujichunguza? Kwenye hiyo Tume...
"Heela! Itafakari nchi inayoinua mkono na kumwaga damu ya Mwafrika mwenzake, kwa kisingizio dhaifu kuwa mgeni anachuma matunda ya ardhi ambayo wao wameshindwa kuituliza. Ni fedheha kuona ubaguzi ukigeuzwa kuwa vazi la sifa.
Afrika Kusini imevaa kilemba cha ujinga kilichofunika macho ya utu wao...
Vijana wa sasa wengi wao wanataka familia na hata wale wanajikuta tayari wanafamilia kwa maana Mke na mtoto au watoto lakini maisha anayoishi na hiyo familia yake ni ujinga mwingi
Kijana huyu wa kiume akishampa binti kwanza ataanza kukataa huo ujauzito, mwingine ataukubali lakini matunzo...
Events za harusi zinaboa sana. Miaka nenda miaka rudi ukumbini mambo ni yaleyale:
Ingia ukumbini
Cheza kidogo
Kata keki
Tambulisha ndugu
Toa zawadi
Nenda kwenye msosi
Muziki
Tuwaage maharusi wetu wakapumzike (wakaichape)
Kweli miezi 3-4 watu wazima wanakaa vikao kwa ajili ya ujinga kama...
Kwa ufupi wanasiasa ndio wametufikisha hapa tulipo.
Siasa za Trumpa na Netanyahu hazina muelekeo salama ilitakiwa Dunia iwatenge ikibidi hata kivita,
Dunia inaaminishwa kuwa Marekani ndio walinda amani na demomrasia lakini kumbe ndio wafurugaji wa amani na demokrasia.
Wanasiasa wa Afrika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.