Aliteuliwa na Rais Samia mwaka 2023 kuwa mkuu wa wilaya Mbogwe yeye na mwenzake Maganga wakakataa uteuzi.
Jana wamefikishwa mahakamani kwa kesi za uhujumu uchumi na utakatishaji fedha.
Je, ni kweli walitakatisha fedha au ni kisasi?
Pia soma
Watatu walioteuliwa Ukuu wa Wilaya, akiwemo Japheth...
Mei 20, Rais Samia Suluhu Hassan aliteua majaji tisa wa Majaji wa Mahakama ya Rufani na hivyo kuongeza idadi yao kufikia 49. Uteuzi huo umeibua matumaini utatuzi wa ucheleweshwaji wa kesi.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, walioteuliwa kuwa...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi na uhamisho wa viongozi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, uteuzi na uhamisho huo ni kama ifuatavyo:-
(i) Mhe. Dkt. Evaline Wilbard Munisi (Mb.) ameteuliwa...
Pamoja na kusifiwa sana, rais Mama kazidi. Jana, kwa kutumia viti kumi vya rais vya ubwete, alimteua mtu wake aka black box ya mama Angela Kizigha kuwa mbunge. SIyo huyu ambaye marehemu Magufuli aliamuru akamatwe kwa kuhujumu uchumi?
Ama kweli, Jiwe angerejea, angenasa nyani makofi. Kweli, paka...
Uteuzi wa ubunge wa Kizigha , licha ya kuwa na kashfa lukuki , ktk manunuzi serikali kwenye vyombo vya Ulinzi na usalama , kunaonyesha kwamba Utendaji , wa sieji Una walakini au katika mrorongó wa hatua za uteuzi kuna mapungufu.
Soma pia Uteuzi/Utenguzi Aprili 2, 2026: Angela Kizigha...
Dkt. Eveline Wilbard Munisi, Katibu Mkuu wa NCCR MAGEUZI na Mgombea mwenza wa nafasi ya Urais kupitia tiketi ya NCCR ameteuliwa na Rais kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Wakuu,
Aweee hii ni kali!
Yaani mtu ana skendo kama mia kidogo anateuliwa kuwa Mbunge badala ya kwenda kuchunguzwa kwa tuhuma zote zilizoibuliwa dhidi yake.
Samia anazidi kutuona manyani aisee!
Halafu mkurugenzi wa EWURA anatenguliwa kwa nini ikiwa yeye anafuata maelezo tu? Samia alikuwa...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeiandikia Umoja wa Afrika (AU) kikitoa wito wa kufanyika kwa mapitio ya haraka kuhusu uteuzi wa Jakaya Kikwete kama Mwakilishi wa Ngazi ya Juu wa Mwenyekiti wa Tume ya Umoja huo kwa Ukanda wa Pembe ya Afrika na Bahari Nyekundu.
Machi 25, 2026...
Yaani kinaitwa kiti moto, kalia hicho kiti ukijua muda wowote utashushiwa kitu kizito, hata ukijificha ndani ya mahandaki kama alivyofanya Ayatollah, kuna aina ya mabomu hufumua handaki. Israel imeteka anga, hivyo ndege zinaruka zikitafuta pakupiga.
Iran kwa sasa ipo pabaya sana maana humo...
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mchungaji Peter Msigwa, amesema kuwa thamani yake kama binadamu haijawahi na haitawahi kutegemea vyeo vya kuteuliwa au kuchaguliwa.
Akizungumza katika mahojiano na mtangazaji Neema Msafiri wa Msafiri Online, Msigwa amejibu mapigo kwa wale wanaodai kuwa...
YAH: MABADILIKO YA MUUNDO WA WIZARA MBILI NA UTEUZI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko ya muundo wa Ofisi ya Rais - Mipango na Uwekezaji na Wizara ya Nishati kwa Wizara hizo kuwa na Makatibu Wakuu wawili kwa kila Wizara, kuteua na kufanya...
Ndugu zangu Watanzania,
Huyu Mwamba Ni Balaa Kwelikweli. Hakamatiki Wala Hashikiki. Mungu Wake nI mkubwa sana na anatembea naye muda wote
Kuna jambo kubwa sana limepangwa na Mungu Wake Kwa Taifa letu ambalo litatimia. Mengi nilishaeleza Juu ya huyu Mwamba na namna gani ni hazina ya Taifa...
Januari 22, 2026 Mahakama Kuu ilibatilisha uamuzi wa kuanzishwa kwa Ofisi na uteuzi wa washauri 21 wa Rais William Ruto, ikisema kuwa mchakato ulikuwa wa siri, bila kufuata Katiba.
Uamuzi huo ni kufuatia shauri lililofunguliwa na Taasisi ya Katiba (Katiba Institute) kwa kushirikiana na Wakili...
The President of the United Republic of Tanzania, Dr Samia Suluhu Hassan, has made several appointments and dismissals of government leaders. According to a statement released by the Chief Secretary, Ambassador Dr Moses Kusiluka, the changes are as follows
(i) Hon Patrobas Paschal Katambi MP...
Rais Samia alipoingia tu madarakani 19 March 2021 alianza taratibu kuwaondoa Wakuu waVyombo vya Ulinzi na Usalama na kuweka wakwake.
Ndio, wengine walikuwa washakaribia kustaafu kama Jenerali Mabeyo, ila wengine waliondolewa kabla ya kustaafu kwao kama vile DGIS Diwani Athumani pamoja na IGP...
Mhe. Diwani wa Kata ya Mwendakulima ambaye pia naibu Meya wa Manispaa ya Kahama, Ndugu SHABAN MIKONGOTI amefanya uteuzi wa wasaidizi (2) watakao hudumu katika ofisi yake kama ifuatavyo:
i. Ndugu DEUS JOSEPH ametewuliwa kuwa Katibu wa ofisi ya Diwani anayeshughulikia Jamii na Mahusiano.
Ndugu...
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan jana Novemba 29,2025 ameongoza Kikao cha Kamati Kuu Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa cha uteuzi wa wagombea wa CCM wa nafasi za Mameya wa Majiji na Manispaa pamoja na...
Mnakumbuka baada ya Hayati Magufuli Kufa alikua Kila siku anateua, yaan Kila siku kuteua ,ndio njia pekee ya Media kumtangaza.
Dec 9 tunaenda kuzuia Uhuni wote huo!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.