uteuzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. figganigga

    JamiiForums Tanzania Rekodi Mbaya ya Utawala wa Samia Suluhu Hassan: Tanzania imegeuka Nchi ya Misiba, Kesi za Uongo na Uteuzi za hovyo

    Cha kwanza alichofanya ni kuhakikisha anajipachipa au anapachikwa udaktari ili aonekane Msimi. Sisi tunamchora tu🤣 Salaam Wakuu, Hivi mumegundua jinsi Uongozi ikishalaniwa unavyofanya kazi? Haijawahi kutokea, hii ni rekodi Mbaya Nchini Tanzania ya Uongozi wa Samia Suluhu na Rekodi mpya kwa...
  2. H

    JamiiForums Tanzania Prof. Alfred Sife ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa NECTA, Mkunga ateuliwa kuwa Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, uteuzi huo ni kama ifuatavyo: (i) Bw. Hamis Abdallah Mkunga ameteuliwa kuwa Katibu wa Sekretarieti ya Ajira...
  3. R

    JamiiForums Tanzania Msaka uteuzi chawa mwingine huyu hapa

    Eti hakuna haja ya katiba nyingine
  4. F

    JamiiForums Tanzania Je vijana hasa Gen Z watakubali na kuzuzuliwa na uteuzi wa Ndejembi ili waunge mkono udhalimu?

    Hotuba ya rais Samuya wakati akimuapisha makamu wa rais wa mashaka na mizengwe akisema kuwa wamewapa vijana umakamu. Je, nii ni hila ya kuwahadaa vijana hasa Gen Z kuingia mkenge kuwa wameshirikishwa kwenye uongozi kupitia machawa? Je. vijana watakubali kuwa sehemu ya CCM ambayo ndiyo chanzo...
  5. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Stress za kukosa uteuzi zina haribu ubongo wa Pro. Tibaijuka

    Stress (msongo wa mawazo) ni hali ya mwili na akili kuwa katika shinikizo au mkazo kutokana na changamoto, matatizo, hofu, kazi nyingi, au mabadiliko mbalimbali katika maisha au kwenda kinyume kwa mipango na matarajio binafsi kama vile kupata uteuzi, kuoa/kuolewa, kujenga nyumba, kumiliki gari...
  6. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi wa Kisheria Uteuzi Makamu wa Rais na AG Johari

    Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari akitoa ufafanuzi wa Kisheria kuhusu Uteuzi wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bungeni Jijini Dodoma tarehe 28 Agosti, 2026. https://x.com/_zack255/status/2093349788511084748 👆🏾👆🏾👆🏾 Tazama Video yote hapo juu.
  7. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Mbunge Kingu: Mungu Alinifunulia Uteuzi wa Ndejembi na Nilimpigia Simu.Kama nasema Uongo Abishe

    My Take Inaweza kuwa kweli au pia kujikosha Kisiasa. Mbunge wa Singida Magharibi, Elibariki Kingu, amedai yeye ni mtumishi na wiki chache zilizopita alizungumza na Mungu, hali iliyofanya ampigie simu Deogratius Ndejembi kwamba kuna jambo kubwa linaenda kumtokea siku chache zijazo...
  8. Sister Abigail

    JamiiForums Tanzania Bunge halikushiriki uteuzi wa makamu wa rais?

    Mbona kama katiba inakiukwa mchana kweupe? Ni lini bunge limekaa likampigia kura makamu wa rais mpya likampitisha nasi tukashihudia mchakato mzima? Halmashauri kuu ya CCM ndio imempitisha na kumchagua si ndio? Labda mie na uelewa wangu Duni Na hata kama atapigiwa kura na bunge na kupitishwa...
  9. Parabolic

    JamiiForums Tanzania Heche: CHADEMA hatuitambui Tume na matokeo yake yatakuwa feki

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche ametoa msimamo wa chama hicho hakitambui tume iliyounfwa na Rais Samia Suluhu Hassan ya kuchunguza ghasia za uchaguzi wa Oktoba 29, 2025 na hata matokeo yake yatakapptolewa hawatayatambua. Soma zaidi: Rais Samia: Tumeamua kuwashirikisha wenzetu...
  10. Parabolic

    JamiiForums Tanzania Heche: CHADEMA hatuitambui Tume na matokeo yake yatakuwa feki

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche ametoa msimamo wa chama hicho hakitambui tume iliyounfwa na Rais Samia Suluhu Hassan ya kuchunguza ghasia za uchaguzi wa Oktoba 29, 2025 na hata matokeo yake yatakapptolewa hawatayatambua. Soma zaidi: Rais Samia: Tumeamua kuwashirikisha wenzetu...
  11. R

    JamiiForums Tanzania Sifa ya kupata cheo/ uteuzi ni kuwa Katili

    Hapo ndipo tulipofika. Kila mmoja anajitahidi kumfurahisha mama kwa kuwa katili. Juzi Ryoba alikuwa anaongea utumbo akiwa na inclination ya kumfurahisha mtu.
  12. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Nolasco Kipanda Ateuliwa Katibu wa Tume ya Utumishi wa Umma, Balozi Modest kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Mzumbe

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, viongozi walioteuliwa ni kama ifuatavyo: (i) Bw. Nolasco Jacob Kipanda ameteuliwa kuwa Katibu wa Tume ya...
  13. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Uteuzi: Dkt. John Jingu ateuliwa kuwa Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania akichukua nafasi ya Prof. Elisante Ole Gabriel ambaye amestaafu

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi wawili wakuu serikalini. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dkt. Moses Kusiluka, Dkt. John Antony Jingu ameteuliwa kuwa Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, akichukua...
  14. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Aliyegomea uteuzi wa Rais aburuzwa Mahakamani kwa Utakatishaji Fedha na wenzake. Je, ni kweli alitakatisha fedha au kuna kisasi?

    Aliteuliwa na Rais Samia mwaka 2023 kuwa mkuu wa wilaya Mbogwe yeye na mwenzake Maganga wakakataa uteuzi. Jana wamefikishwa mahakamani kwa kesi za uhujumu uchumi na utakatishaji fedha. Je, ni kweli walitakatisha fedha au ni kisasi? Pia soma Watatu walioteuliwa Ukuu wa Wilaya, akiwemo Japheth...
  15. E

    JamiiForums Tanzania Uteuzi majaji Mahakama ya Rufani utaharakisha mlundikano wa kesi?

    Mei 20, Rais Samia Suluhu Hassan aliteua majaji tisa wa Majaji wa Mahakama ya Rufani na hivyo kuongeza idadi yao kufikia 49. Uteuzi huo umeibua matumaini utatuzi wa ucheleweshwaji wa kesi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, walioteuliwa kuwa...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Dkt. Evaline Munisi ateuliwa kuwa Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu(Kazi, Ajira na Mahusiano)

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi na uhamisho wa viongozi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, uteuzi na uhamisho huo ni kama ifuatavyo:- (i) Mhe. Dkt. Evaline Wilbard Munisi (Mb.) ameteuliwa...
  17. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Uteuzi wa Angela Kizigha kama Magufuli angerejea angemnasa makofi

    Pamoja na kusifiwa sana, rais Mama kazidi. Jana, kwa kutumia viti kumi vya rais vya ubwete, alimteua mtu wake aka black box ya mama Angela Kizigha kuwa mbunge. SIyo huyu ambaye marehemu Magufuli aliamuru akamatwe kwa kuhujumu uchumi? Ama kweli, Jiwe angerejea, angenasa nyani makofi. Kweli, paka...
  18. A

    JamiiForums Tanzania Uteuzi wa Kizigha ni kuonyesha kwamba Ofisi ya CAG haifanyi kazi ipasavyo

    Uteuzi wa ubunge wa Kizigha , licha ya kuwa na kashfa lukuki , ktk manunuzi serikali kwenye vyombo vya Ulinzi na usalama , kunaonyesha kwamba Utendaji , wa sieji Una walakini au katika mrorongó wa hatua za uteuzi kuna mapungufu. Soma pia Uteuzi/Utenguzi Aprili 2, 2026: Angela Kizigha...
  19. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Tanzania Dr. Eveline Munisi hongera kwa uteuzi wa Ubunge

    Dkt. Eveline Wilbard Munisi, Katibu Mkuu wa NCCR MAGEUZI na Mgombea mwenza wa nafasi ya Urais kupitia tiketi ya NCCR ameteuliwa na Rais kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
  20. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania Kuzima ishu ya Jambo tumeletewa uteuzi wa Angela Kizigha kuwa mbunge, na Mkurugenzi wa Ewura kutenguliwa!

    Wakuu, Aweee hii ni kali! Yaani mtu ana skendo kama mia kidogo anateuliwa kuwa Mbunge badala ya kwenda kuchunguzwa kwa tuhuma zote zilizoibuliwa dhidi yake. Samia anazidi kutuona manyani aisee! Halafu mkurugenzi wa EWURA anatenguliwa kwa nini ikiwa yeye anafuata maelezo tu? Samia alikuwa...
Back
Top Bottom