Search results

  1. Kilimbatz

    Uzi mpya wa Yanga: Tofauti ya wanaovaa na wanaostiri mwili

    Wale wenzetu wao wanatupia viwalo ili tu kustiri maungo yao. Ila huku kwetu tunatupia ili kuvaa Tumewapiga uwanjani na tumewapiga mtaani Ule uzi wa Yanga unaweza ombea kura za urais wa JMT na ukapata kwa ushindi wa kishindo Hakuna kama Yanga
  2. Kilimbatz

    Uchambuzi wa point za Simba kwa miaka mitano iliyopita kimataifa na harakati za Yanga kumpita

    Mimi huwa napenda sana namba na hesabu Kwani hazidanganyi, haziongopi wala hazipendelei Jinsi Simba alivyojizolea point 35 katika msimamo wa vilabu bora Afrika 1) Msimu wa 2018/2019 aliishia robo fainali Klabu Bingwa hivyo akajizolea point zake 3 2) Msimu wa 2019/2020 alipata point 0 Sijui...
  3. Kilimbatz

    Wanasimba, Derby ya Afrika ni kati ya Mamelodi Sundowns vs Al Ahly

    Nimeona Wanasimba wengi wakiongozwa na yule mshereheshaji wao wa kule mtandao wa X wakijifariji kuwa wapo kiwango kimoja na Al Ahly. MC wao wa Twitter Ndugu Micky Jr anawapamba kuwa mechi ya Simba vs Al Ahly iwe African Derby, ahaa! Derby ambayo kabla ya mechi unakuwa ushajua nani anashinda na...
  4. Kilimbatz

    Simba njoeni mjifunze kwa Mamelodi Sundowns jinsi ya kumtindua Al Ahly

    Mapema mwaka huu Al Ahly walitukwepa Na kidondokela wakachukua kombe la CAF CL dhidi yaWydad Na jana refa akawa anafanya kila mbinu ili mtukwepe tena kwa kumpa a straight red card beki wetu kisiki M.Mvala ili mpate kamserereko kwa Atletico de Luanda Mungu si Selemani,tumekutana Enyi Simba...
  5. Kilimbatz

    Simba njoeni mjifunze kwa Mamelodi Sundowns jinsi ya kumtindua Al Ahly

    Mapema mwaka huu Al Ahly walitukwepa Na kudondokela wakachukua kombe la CAF CL dhidi ya Wydad Na jana refa akawa anafanya kila mbinu ili mtukwepe tena kwa kumpa a straight red card beki wetu kisiki M.Mvala ili mpate kamserereko kwa Atletico de Luanda Mungu si Selemani, tumekutana. Enyi Simba...
  6. Kilimbatz

    Simba njoeni mjifunze kwa Mamelodi Sundowns jinsi ya kumtindua Al Ahly

    Mwaka jana mke wetu Al Ahly alitukwepa kwenye CAF CL Akapata kombe la ndondokela dhidi Wydad Sasa tunakutana kwenye AFL,mjiandae na muupake kabisa mafuta Enyi wana simba njoeni mumuone kaka yake na Yanga anavyompiga nje ndani Al Ahly Tena siyo kwa goli chache,kuanzia tano kwenda juu...
  7. Kilimbatz

    Refa anayechezesha gemu ya Mamelodi vs Atletico de Luanda anajaribu kuwatengenezea mazingira Al Ahyl ya ubingwa

    Dakika ya nne ya mchezo tayari keshatoa kadi nyekundu kwa mchezaji wa Mamelodi Beki wa Mamelodi ndiyo alicheza faulo ila haikustahili straight red card Tunajua Al ahyl hana ujanja mbele ya mume wao Masandawana Huwa tunajipigia nje ndani Refa tunakuangalia kwa jicho la mwewe Ombeno Mamelodi...
  8. Kilimbatz

    Natamani sana kuiona nusu fainali ya AFL kati ya Al Ahyl vs Mamelodi Sundowns

    Wakuu japo nimetanguliza uzalendo mbele kwa taifa na nchi yangu, Ila upenzi wa kandanda safi na la burudani, unanifanya nitamani mnyama ashinde njaa Misri Nakumbuka kama isingekuwa makosa ya beki M.Mvala wa Mamelodi Sundowns kuisawazishia Wydad kwa goli la kujifunga mnamo dakika ya 83 basi...
  9. Kilimbatz

    Majibu ya nani mwenye mashabiki wengi kati ya Simba na Yanga

    Kuna member ameuliza swali la nani kati ya Simba na Yanga ana mashabiki wengi. Uchunguzi wangu ulijikita katika takwimu za mitandaoni (online) ambazo ni rahisi kuzipata. Next time nitajitahidi kuleta takwimu za mitaani kupitia sensa ya mtu kwa mtu. Baada ya kuzurura katika mitandao ya X, Insta...
  10. Kilimbatz

    Percy Muzi Tau awagomea Bafana Bafana kucheza mechi za kirafiki Ili kutunza nguvu za kuwaangamiza Simba tarehe 20/10/2023

    Ili kuonyesha uchu aliyonao dhidi ya wekundu wa msimbazi mshambuliaji muuaji wa mashetani wekundu wa Misri ameamua kuikacha timu ya Taifa ya Afrika Kusini Ili kutunza nguvu za kuja kuwaadabisha wekundu wa msimbazi Chanzo changu kilicho ndani ya timu ya Al Ahyl kimeninyetishia kuwa muuaji Percy...
  11. Kilimbatz

    Al Ahyl kucheza na Simba na Yanga, atakayempiga home and away ndio Kidume wa Soka la Bongo

    Huyu ni Bingwa wa Soka la Afrika, hivyo kama ingekuwa masuala ya kisiasa tungesema huyu ndio Raia namba moja wa Afrika. Sasa hapa Bongo Al Ahyl atakuja mara mbili, ya kwanza kucheza na Simba, na ya pili kucheza dhidi ya Yanga. Al Ahyl kufungwa hapa Bongo siyo jambo geni, alishafungwa na Simba...
  12. Kilimbatz

    Beki wa kulia kisiki Kouassi Yao Attohoula aongoza kwa assists katika mechi tano za NBC PL zilizochezwa mpaka sasa

    Beki huyu kisiki ndiyo litmus paper ya nini na vipi beki wa kulia anavyotakiwa acheze Anakaba,ana dribble,anafanya interceptions za mashambulizi ya wapinzani,anashuka na kupanda kirahisi kwenye flank yake bila kumhatarisha kipa wake. Yao Yao ndo SI Unit ya beki wa kulia aweje...
  13. Kilimbatz

    Yanga nambari wani kwa online engagements katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kati

    Bila mbeleko wala maelekezo toka juu, Yashika nafasi ya pili Afrika Kwa kufuatiliwa katika mtandao wa Instagram kwa mwezi September Na Kwa wasijua namba hizi zinareflect kile ambacho Yanga anaenda kufanya kimataifa Kwa kimataifa namanisha Klabu Bingwa na Klabu Bingwa Dunia Mafanikio bila...
  14. Kilimbatz

    Mchezaji Jonathan Sowah wa Medeama apewa feni kama zawadi ya mchezaji bora wa mechi(MVP)

    Wikiendi hii timu ya mpira wa miguu ya Medeama ya nchini Ghana ilimenyana na timu ya mpira wa miguu ya Bechem Mpaka dakika tisini zinakwishwa matokeo yalikuwa Bechem 1-2 Medeama Chakufurahisha katika mechi hiyo Medeama walitanguliwa na Bechem Kwa goli moja amabalo lilisawazishwa na Jonathan...
  15. Kilimbatz

    Kumbe Jana Mayele katia kambani goli moja pekee na la ushindi na hatuambiani?

    Kumbe jana watu wametetema huko kwa farao, Ndugu muhasibu daraja la kwanza ebu njoo huku utupe maoni Yako Mayele ni liability au ni asset OKW BOBAN SUNZU
  16. Kilimbatz

    Wanasimba wengi wanajaribu kumtisha Yanga dhidi ya Al Ahyl wakihofia akishinda nyuso zao wataziweka wapi

    Huyu Al Ahyl Hana maajabu yeyote ya maana Na siku zote Ili uwe bora na lazima upambane na aliye bora Ili kupitia yeye na wewe upande chati. Simba hazingumziwi sana kwenye haya mashindano kwakuwa ni kawaida yake kuishia robo,hana kipya Yanga ndiye anayetrend kwakuwa ni first time kuingia...
  17. Kilimbatz

    Simba na Yanga ndio vinara wa kufuatiliwa mitandaoni kulingana na mtandao wa X

    Baada ya tu kupangwa Kwa makundi ya CAF CL kuna kitu Cha kushangaza kulitokea katika matandao wa X Ukiingia katika ukurasa rasimi wa CAF wa mtandao wa X,katika makundi yote yaliyopostiwa,ni makundi mawili tu yanayoshiriki klabu bingwaa Afrika ndiyo yaliyoongoza Kwa kutoa namba kubwa ya online...
  18. Kilimbatz

    Utabiri wa Makundi ya CAF CL ya Mwandishi wa Habari MickyJr

    Naona ibaki hivi hivi: ๐†๐ซ๐จ๐ฎ๐ฉ ๐€: โ€ข Mamelodi Sundowns ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ โ€ข CR Belouizdad ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ โ€ข Al Hilal ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฉ โ€ข Medeama ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ญ ๐†๐ซ๐จ๐ฎ๐ฉ ๐: โ€ข Wydad AC ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ โ€ข Simba SC ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ โ€ข ASEC Mimosas ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ โ€ข Jwaneng Galaxy ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ผ ๐†๐ซ๐จ๐ฎ๐ฉ ๐‚: โ€ข Al Ahly ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ โ€ข Petro de Luanda ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ด โ€ข Yanga SC ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ โ€ข FC Nouadhibou ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ท ๐†๐ซ๐จ๐ฎ๐ฉ ๐ƒ: โ€ข ES Tunis ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ณ โ€ข Pyramids...
  19. Kilimbatz

    Simba na Yanga ndiyo miamba ya Online Engagements Afrika nzima

    Ukiangalia ukurasa rasimi wa X wa CAF Champions League tangu kuingia kwa makundi utajionea kitu Cha kushangaza na kufurahisha pia Tangu admin wa ukurasa ule alipoanza kutoa kadi za pongezi Kwa miamba iliyoingia CL ni kadi mbili tu ambazo zimepata engagements kubwa sana Na hapa namanisha...
  20. Kilimbatz

    Ukweli mchungu: Iwapo Yanga ataingia fainali CL msimu huu, jitihada zote za Simba kwa miaka sita nyuma zitakuwa na maana!?

    Kongole kwa Simba kwa kufanya vyema miaka sita huko nyuma Kwa kuingia makundi na kuishia robo, Kongole pia kwa kutinga nusu fainali CL mwaka miaka ya 1970 huko Sasa tuje leo,wote tupo makundi,wote tutacheza home and away mechi sita na ninajua wote tutaingia robo Simba ashafika nusu...
Back
Top Bottom