Wale wenzetu wao wanatupia viwalo ili tu kustiri maungo yao.
Ila huku kwetu tunatupia ili kuvaa
Tumewapiga uwanjani na tumewapiga mtaani
Ule uzi wa Yanga unaweza ombea kura za urais wa JMT na ukapata kwa ushindi wa kishindo
Hakuna kama Yanga
Mimi huwa napenda sana namba na hesabu
Kwani hazidanganyi, haziongopi wala hazipendelei
Jinsi Simba alivyojizolea point 35 katika msimamo wa vilabu bora Afrika
1) Msimu wa 2018/2019 aliishia robo fainali Klabu Bingwa hivyo akajizolea point zake 3
2) Msimu wa 2019/2020 alipata point 0
Sijui...
Nimeona Wanasimba wengi wakiongozwa na yule mshereheshaji wao wa kule mtandao wa X wakijifariji kuwa wapo kiwango kimoja na Al Ahly.
MC wao wa Twitter Ndugu Micky Jr anawapamba kuwa mechi ya Simba vs Al Ahly iwe African Derby, ahaa!
Derby ambayo kabla ya mechi unakuwa ushajua nani anashinda na...
Mapema mwaka huu Al Ahly walitukwepa
Na kidondokela wakachukua kombe la CAF CL dhidi yaWydad
Na jana refa akawa anafanya kila mbinu ili mtukwepe tena kwa kumpa a straight red card beki wetu kisiki M.Mvala ili mpate kamserereko kwa Atletico de Luanda
Mungu si Selemani,tumekutana
Enyi Simba...
Mapema mwaka huu Al Ahly walitukwepa
Na kudondokela wakachukua kombe la CAF CL dhidi ya Wydad
Na jana refa akawa anafanya kila mbinu ili mtukwepe tena kwa kumpa a straight red card beki wetu kisiki M.Mvala ili mpate kamserereko kwa Atletico de Luanda
Mungu si Selemani, tumekutana.
Enyi Simba...
Mwaka jana mke wetu Al Ahly alitukwepa kwenye CAF CL
Akapata kombe la ndondokela dhidi Wydad
Sasa tunakutana kwenye AFL,mjiandae na muupake kabisa mafuta
Enyi wana simba njoeni mumuone kaka yake na Yanga anavyompiga nje ndani Al Ahly
Tena siyo kwa goli chache,kuanzia tano kwenda juu...
Dakika ya nne ya mchezo tayari keshatoa kadi nyekundu kwa mchezaji wa Mamelodi
Beki wa Mamelodi ndiyo alicheza faulo ila haikustahili straight red card
Tunajua Al ahyl hana ujanja mbele ya mume wao Masandawana
Huwa tunajipigia nje ndani
Refa tunakuangalia kwa jicho la mwewe
Ombeno Mamelodi...
Wakuu japo nimetanguliza uzalendo mbele kwa taifa na nchi yangu,
Ila upenzi wa kandanda safi na la burudani, unanifanya nitamani mnyama ashinde njaa Misri
Nakumbuka kama isingekuwa makosa ya beki M.Mvala wa Mamelodi Sundowns kuisawazishia Wydad kwa goli la kujifunga mnamo dakika ya 83 basi...
Kuna member ameuliza swali la nani kati ya Simba na Yanga ana mashabiki wengi. Uchunguzi wangu ulijikita katika takwimu za mitandaoni (online) ambazo ni rahisi kuzipata. Next time nitajitahidi kuleta takwimu za mitaani kupitia sensa ya mtu kwa mtu.
Baada ya kuzurura katika mitandao ya X, Insta...
Ili kuonyesha uchu aliyonao dhidi ya wekundu wa msimbazi mshambuliaji muuaji wa mashetani wekundu wa Misri ameamua kuikacha timu ya Taifa ya Afrika Kusini Ili kutunza nguvu za kuja kuwaadabisha wekundu wa msimbazi
Chanzo changu kilicho ndani ya timu ya Al Ahyl kimeninyetishia kuwa muuaji Percy...
Huyu ni Bingwa wa Soka la Afrika, hivyo kama ingekuwa masuala ya kisiasa tungesema huyu ndio Raia namba moja wa Afrika.
Sasa hapa Bongo Al Ahyl atakuja mara mbili, ya kwanza kucheza na Simba, na ya pili kucheza dhidi ya Yanga.
Al Ahyl kufungwa hapa Bongo siyo jambo geni, alishafungwa na Simba...
Beki huyu kisiki ndiyo litmus paper ya nini na vipi beki wa kulia anavyotakiwa acheze
Anakaba,ana dribble,anafanya interceptions za mashambulizi ya wapinzani,anashuka na kupanda kirahisi kwenye flank yake bila kumhatarisha kipa wake.
Yao Yao ndo SI Unit ya beki wa kulia aweje...
Bila mbeleko wala maelekezo toka juu,
Yashika nafasi ya pili Afrika Kwa kufuatiliwa katika mtandao wa Instagram kwa mwezi September
Na Kwa wasijua namba hizi zinareflect kile ambacho Yanga anaenda kufanya kimataifa
Kwa kimataifa namanisha Klabu Bingwa na Klabu Bingwa Dunia
Mafanikio bila...
Wikiendi hii timu ya mpira wa miguu ya Medeama ya nchini Ghana ilimenyana na timu ya mpira wa miguu ya Bechem
Mpaka dakika tisini zinakwishwa matokeo yalikuwa Bechem 1-2 Medeama
Chakufurahisha katika mechi hiyo Medeama walitanguliwa na Bechem Kwa goli moja amabalo lilisawazishwa na Jonathan...
Kumbe jana watu wametetema huko kwa farao,
Ndugu muhasibu daraja la kwanza ebu njoo huku utupe maoni Yako Mayele ni liability au ni asset
OKW BOBAN SUNZU
Huyu Al Ahyl Hana maajabu yeyote ya maana
Na siku zote Ili uwe bora na lazima upambane na aliye bora Ili kupitia yeye na wewe upande chati.
Simba hazingumziwi sana kwenye haya mashindano kwakuwa ni kawaida yake kuishia robo,hana kipya
Yanga ndiye anayetrend kwakuwa ni first time kuingia...
Baada ya tu kupangwa Kwa makundi ya CAF CL kuna kitu Cha kushangaza kulitokea katika matandao wa X
Ukiingia katika ukurasa rasimi wa CAF wa mtandao wa X,katika makundi yote yaliyopostiwa,ni makundi mawili tu yanayoshiriki klabu bingwaa Afrika ndiyo yaliyoongoza Kwa kutoa namba kubwa ya online...
Ukiangalia ukurasa rasimi wa X wa CAF Champions League tangu kuingia kwa makundi utajionea kitu Cha kushangaza na kufurahisha pia
Tangu admin wa ukurasa ule alipoanza kutoa kadi za pongezi Kwa miamba iliyoingia CL ni kadi mbili tu ambazo zimepata engagements kubwa sana
Na hapa namanisha...
Kongole kwa Simba kwa kufanya vyema miaka sita huko nyuma Kwa kuingia makundi na kuishia robo,
Kongole pia kwa kutinga nusu fainali CL mwaka miaka ya 1970 huko
Sasa tuje leo,wote tupo makundi,wote tutacheza home and away mechi sita na ninajua wote tutaingia robo
Simba ashafika nusu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.