An iron–nickel alloy or nickel–iron alloy, abbreviated FeNi or NiFe, is a group of alloys consisting primarily of the elements nickel (Ni) and iron (Fe). It is the main constituent of the "iron" planetary cores and iron meteorites. The acronym NiFe refers to various chemical reactions that involve an iron–nickel catalyst or component, or in geology, to the general composition of planetary cores (including Earth's).
Some iron–nickel alloys are called nickel steel and usually contain additional elements, depending on the purpose.
Habari ndugu zangu
Moja kwa moja kwenye mada! Kuna nyumba bi mkubwa amejenga karibuni ila changamoto ni kwamba mkoa aliojenga una joto kali sana! Nilikuwa naomba kuuliza hivi nyumba ikishafanyiwa finishing inaweza kuwekewa feni ile ya juukwenye ceiling??? Au kuna kifaa gani kingine cha...
Kuna tatizo tunaomba Serikali, Jamii na hasa mamlaka husika zifahamu ili hatua zichukuliwe, ni kuhusu kero ya joto kutokana na msongamano wa watu Kivukoni Jijini Dar es Salaam.
Abiria tunaotumia vivuko tunapata shida sana wakati wa kusubiri Kivuko kwenye lounge kutokana na joto kali...
Wikiendi hii timu ya mpira wa miguu ya Medeama ya nchini Ghana ilimenyana na timu ya mpira wa miguu ya Bechem
Mpaka dakika tisini zinakwishwa matokeo yalikuwa Bechem 1-2 Medeama
Chakufurahisha katika mechi hiyo Medeama walitanguliwa na Bechem Kwa goli moja amabalo lilisawazishwa na Jonathan...
Wadau nahitaji feni nzuri kubwa 56" at least ya darini yenye upepo mwingi but isiwe na kelele nyingi.
Budget tsh 100, 000 isizidi hapo kwa moja.
Nami nahitaji mbili zinazodumu
Wanajf habari zenu bana??
Nimepata dharura naondoka mkoa huu nilipo(Arusha) na nauza vitu vifuatavyo.
1.Kitanda 5 kwa 6. Tsh 320k
2.godoro.comfy 5 kwa sita inchi 8 .Tsh 170K
3.SeaPeano..tsh 95k
4.Feni..tsh 35k
Vitu ni vipya coz ndo nilikuwa naanza maisha Arusha lakini ndo hivyo naondoka...
Katika uzoefu wangu wa sleepover hizi over the years nimenotice wanaume mnapenda baridi Sana yaani Full ac au mfeni usiku kucha.
Sipendi joto ila sipendi baridi. Kuna mchepuko huo kidogo usiku nife kwa pnemonia. Yaani mwili wote kama barafu ukigusa kalio kama umeshika barafu yaani.
Shida ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.